Mahusiano ya hivi kitaalamu yanaitwaje?

Mahusiano ya hivi kitaalamu yanaitwaje?

Hataki kabisa kuzungumzia maisha yake ya zamani. Na mimi sijataka kwenda nae haraka. May be with time anaweza kunifungukia.

Sent using Jamii Forums mobile app
We jifanye naenda nae garatibu(maana upo kwenye gia ya chini), akija anaejua kusaundisha,utarudi hapa na mada nyingine,kwamba sijui boda kakudanganya, mara wanawake hawafai. Mpaka unamla hivyo ujue ameshapatikana.

Ila sasa,chondechonde,usije muolea kwake na ukakaa. Utaolewa mwenyewe
 
Mama Miaka 28 ana mtoto ambaye yupo form one.

Tafuta umri wa mama alio beba mimba.

Je, tukifanya 28-14 =14

Kwahiyo alibeba mimba na miaka 14 siyo.

Au honi hapa utakua umetudanganya sana mkuu,

Au ndugu zangu ni mimi sijamuelewa mtoa mada?


Jitajidi ukienda kulala kwake uwe na roho ya spare
Kwani binti wa miaka 13 habebi mimba mkuu?
 
Mmh miaka 28 ana mtoto yupo form one,.
Chazo Cha huo uchumi wake ni nin urithi au mgawo kutoka Kwa mmewake coz Kwa umri huo kuwa na gari, supermarket, office ya huduma za kifedha mmh kibongobongo kweli mPambanaji.
means alipata mimba ana miaka 15,😳
 
Iko hivi,

Huu mkoa niliopo kuna dogo mmoja wa bodaboda huwa namuagiza vitu nikipata dharura, tumezoeana sana. Hata akipata shida ndogondogo sitosita kumsaidia.

Sasa siku moja nilimualika kwangu aje tupate chakula cha mchana. Kwenye maongezi akaniuliza, "Bro hivi huna mtoto?". Nikamjibu sina. Akauliza tena, "Mke je?". Nikamwambia sijao. Akaniuliza, "kwanini?". Na mimi nikamuuliza, "Sasa nitamuoa nani?". Akasema bro hukosi wa kuoa labda kama hujaamua tu. Akaniambia kuna dada anamfahamu anafaa kuwa mke. Kweli akanilengesha kwake.

Siku moja nikaenda kwa huyo dada. She is 28 years, ana mini-supermarket kubwa tu, lakini pia ni wakala wa M-Pesa, TigoPesa, Airtel Money, HaloPesa na CRDB. Nikashtuka kidogo kwa namna alivyo stable kiuchumi katika umri wake. Mwanzoni nikajua ni mwajiriwa, baadaye ndio nikagundua vyote ni mali yake.

Basi tukazoeana. Nikawa mteja wake mzuri tu. After a while tukawa wapenzi. Nikaanza kumdadisi, ndio nikajua umri wake. Pia akanieleza kwamba alishafunga ndoa, akazaa na mumewe wakaachana, so ana mtoto mmoja wa form one. Hakutaka tena kumzungumzia huyo mtalaka wake.

Kinachonishangaza ni hiki. Nisipomtafuta halalamiki wala hanitafuti. Nikizidiwa nikamcheki anakuja kwangu nalala nae. Akizidiwa ananicheki, naenda kwake kumuhudumia. Hajawahi kuniomba hela hata siku moja! Nikiwa na shida na hela ndogondogo kwa dharura ananitumia kwenye simu na hanidai, unakuta najishtukia mwenyewe ndio namlipa.

Kuna siku lock ya lango kuu la chuma la kuingia dukani kwake lilikataa kufunguka akaniomba nimtafutie fundi welding, nikamtuma fundi aende ila asichukue hela nitamlipa mimi. Nikaenda dukani wakati fundi anaendelea na kazi. Alipomaliza ile jioni nampigia fundi aniambie gharama, fundi ananiambia dada kashamlipa, nikamwambia kamrudishie pesa yake, dada kagoma kuipokea!

Juzi Ijumaa akaniomba nikae dukani kwake aende msikitini, nikakubali ila nikamwambia sitauza kitu, so wateja wakawa wakija nawaambia ametoka. Pembeni ya kiti chake akaacha 'safe' wazi, nikaifungua nikakuta miburungutu ya hela, nikaifunga nikanyamaza.

Leo ni siku ya 4 tangu niuze gari yangu ndogo, lengo ni kuongeza hela ninunue ingine, asubuhi kanipigia anasema kwasababu yeye anashinda dukani basi naweza kutumia gari yake kwa muda ili nisipate shida, nimeogopa nikaona huu ni mtego, nikamwambia asante nikamchomolea.

Sasa wakuu nashindwa kabisa kumuelewa huyu mwanamke! Ni kwamba ameyachoka mapenzi au nini nini hiki! Amejenga nyumba yake ya vyumba 2 na sebule, majuzi kanunua kiwanja kingine kikubwa mji mpya na ameshapeleka mchanga, kokoto, mawe na kapiga uzio.

Hebu tusaidiane wajameni, usije ukawa ni mtego huu, pengine ana sponsor naweza kujikuta naishia pabaya. Kiukweli sijawahi kuwa suspicious hata siku moja kwamba ana mahusiano mengine. Simu yake yuko free nayo sana, ndio anazidi kunichanganya!

Nje ya mada:
Pamoja na miaka yangu 11 humu JF, nashindwa kuona notifications mpya, ni wiki sasa inakatika, sijui nimebonyeza wapi, wajuvi mnisaidie.

Asanteni.

Sent using Jamii Forums mobile app

kwani mwenyewe anasemaje kuhusu ndoa,?
 
Cha kujiuliza ni huo usuper woman kwanza. Hapo ndo penye majibu yote.

Ni kawaida wanawake kutokuficha simu zao kama sisi. Sisi mbinu zetu ni chakavu sana mbele yao.
Kua makini aisee, sema ukakasi mwingine ni huyo dogo wa form 1 na yeye ako na 28, means alimzaa akiwa under 18.
Eti "sisi mbinu zetu ni chakavu sana mbele yao" [emoji23][emoji23]

Hapo kwenye umri wake pengine kanificha umri wake halisi au alipata zile mimba za utotoni kama ulivyobashiri.

With time nitaujua ukweli wote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iko hivi,

Huu mkoa niliopo kuna dogo mmoja wa bodaboda huwa namuagiza vitu nikipata dharura, tumezoeana sana. Hata akipata shida ndogondogo sitosita kumsaidia.

Sasa siku moja nilimualika kwangu aje tupate chakula cha mchana. Kwenye maongezi akaniuliza, "Bro hivi huna mtoto?". Nikamjibu sina. Akauliza tena, "Mke je?". Nikamwambia sijao. Akaniuliza, "kwanini?". Na mimi nikamuuliza, "Sasa nitamuoa nani?". Akasema bro hukosi wa kuoa labda kama hujaamua tu. Akaniambia kuna dada anamfahamu anafaa kuwa mke. Kweli akanilengesha kwake.

Siku moja nikaenda kwa huyo dada. She is 28 years, ana mini-supermarket kubwa tu, lakini pia ni wakala wa M-Pesa, TigoPesa, Airtel Money, HaloPesa na CRDB. Nikashtuka kidogo kwa namna alivyo stable kiuchumi katika umri wake. Mwanzoni nikajua ni mwajiriwa, baadaye ndio nikagundua vyote ni mali yake.

Basi tukazoeana. Nikawa mteja wake mzuri tu. After a while tukawa wapenzi. Nikaanza kumdadisi, ndio nikajua umri wake. Pia akanieleza kwamba alishafunga ndoa, akazaa na mumewe wakaachana, so ana mtoto mmoja wa form one. Hakutaka tena kumzungumzia huyo mtalaka wake.

Kinachonishangaza ni hiki. Nisipomtafuta halalamiki wala hanitafuti. Nikizidiwa nikamcheki anakuja kwangu nalala nae. Akizidiwa ananicheki, naenda kwake kumuhudumia. Hajawahi kuniomba hela hata siku moja! Nikiwa na shida na hela ndogondogo kwa dharura ananitumia kwenye simu na hanidai, unakuta najishtukia mwenyewe ndio namlipa.

Kuna siku lock ya lango kuu la chuma la kuingia dukani kwake lilikataa kufunguka akaniomba nimtafutie fundi welding, nikamtuma fundi aende ila asichukue hela nitamlipa mimi. Nikaenda dukani wakati fundi anaendelea na kazi. Alipomaliza ile jioni nampigia fundi aniambie gharama, fundi ananiambia dada kashamlipa, nikamwambia kamrudishie pesa yake, dada kagoma kuipokea!

Juzi Ijumaa akaniomba nikae dukani kwake aende msikitini, nikakubali ila nikamwambia sitauza kitu, so wateja wakawa wakija nawaambia ametoka. Pembeni ya kiti chake akaacha 'safe' wazi, nikaifungua nikakuta miburungutu ya hela, nikaifunga nikanyamaza.

Leo ni siku ya 4 tangu niuze gari yangu ndogo, lengo ni kuongeza hela ninunue ingine, asubuhi kanipigia anasema kwasababu yeye anashinda dukani basi naweza kutumia gari yake kwa muda ili nisipate shida, nimeogopa nikaona huu ni mtego, nikamwambia asante nikamchomolea.

Sasa wakuu nashindwa kabisa kumuelewa huyu mwanamke! Ni kwamba ameyachoka mapenzi au nini nini hiki! Amejenga nyumba yake ya vyumba 2 na sebule, majuzi kanunua kiwanja kingine kikubwa mji mpya na ameshapeleka mchanga, kokoto, mawe na kapiga uzio.

Hebu tusaidiane wajameni, usije ukawa ni mtego huu, pengine ana sponsor naweza kujikuta naishia pabaya. Kiukweli sijawahi kuwa suspicious hata siku moja kwamba ana mahusiano mengine. Simu yake yuko free nayo sana, ndio anazidi kunichanganya!

Nje ya mada:
Pamoja na miaka yangu 11 humu JF, nashindwa kuona notifications mpya, ni wiki sasa inakatika, sijui nimebonyeza wapi, wajuvi mnisaidie.

Asanteni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mafuta yatakuhusu
 
Eti "sisi mbinu zetu ni chakavu sana mbele yao" [emoji23][emoji23]

Hapo kwenye umri wake pengine kanificha umri wake halisi au alipata zile mimba za utotoni kama ulivyobashiri.

With time nitaujua ukweli wote.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye anga za uchepukaji na kupretend "wakiamua hasa kwa wanaowapenda" wametuzidi, wana mbinu sana.

Kikubwa uwe makini tu, lakini hata huo uchunguzi wako usimkere. Inaboa sana kutoaminika kwa mwenza wako
 
Mkuu, kwa umri huo na mtoto aliyenae, ni dhahili kazaa bado mdogo sana. Iwe baba mtoto au mtu mwingine,kuachana nae ni kufikia tu.
Kwanza mnunulie supu na chapati huyo dogo wa boda boda then uje hapa.

Sasa basi, ngono za mapema huwaathiri wanawake kisaikologia. Ukute yeye kama yeye,tena si demu wa kubembelezana.
Si umesema we hupigwi mizinga!?
Haya,umelala nae umegegeda. Dogo alikwambia kuna mdada anafaa kuwa mke. Je,umeshamaliza shida ilokupeleka,au umeogopa tu kusema!?
Ndoa za siku hizi ni kujitosa tu. Huku unagonga,na yeye pengine kule anagonga.
Ila sasa:
-Ukiwa kwake, anachukuliaje(anakuheshimu kama mme,au unaenda tu unalala unadinya na kusepa)
-Maongezi yenu yanaashilia nini.
-Uliwahi mtania kuhusu kuishi nae? Alijibuje!

Si kwamba kila mwanamke mwenye uwezo ana bwana;wengine wamepambana kivyao. Either kwa kujiuza, kupiga mizinga,kutapeli,kuiba, kama ilivyo tu kwa wanaume wengine.
Haimaanishi kwamba kuwa na mtalo kule chini,hata akilini ni hivo hivo kwa wote.

Wewe tu epuke pesa za bule(ukikopa rudisha).

Jaribu kutoka nae nje ya mazingira ya kazi(pasiwe mbali),enjoy, lala huko,then geuza.
Siku ukisikia anaongelea miradi yake na anakushirikisha, na pengine angependa mkasaidizane,na wewe piga hatua moja mbele.
Kwani kuachika nini? Huko unagonga, hajui. Nae pengine anagongwa,hujui.
Mkuu, umenyumbulisha kwa ustadi wa hali ya juu sana.

Kusema ukweli, huyu binti ananiheshimu sana. Yani kuna wakati huwa navunga nimechukia, mara zote huwa anashuka na kuniomba msamaha, tena kwa upole mno, no arrogance at all.

Nimewahi kumtania mara kadhaa kuhusu kuishi nae, hakukataa. Alichosema nimpe muda aendelee kuniamini.

Likizo ya juzi nilibahatika kukutana na mwanae, akanitambulisha. Ila kuna kitu kilinipa moyo, manake alinielezea tabia za huyo mtoto wake wa kiume kwamba anafanya vizuri sana darasani ila he is too demanding, yani akitaka kitu anataka hapohapo, sasa yeye anakereka anasema hawezi kumlea mtoto hivyo hata kama anacho, kwasababu akimzoesha halafu ikatokea siku kakosa mtoto hatamuelewa. Nikamuahidi nitazungumza na dogo, ilikuwa too late coz dogo alisharudi Shule.

Kwa kifupi ni kama ananielewa ingawa simuamini sana. Pia ameniomba nimsindikize kwa mwanae siku ya visiting day, anataka nikaongee nae siku hiyo kama mwanaume mwenzangu.

She is cooperative, understanding and humble. Sema ni vile tu moyo wa mtu ni kichaka mkuu [emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We jifanye naenda nae garatibu(maana upo kwenye gia ya chini), akija anaejua kusaundisha,utarudi hapa na mada nyingine,kwamba sijui boda kakudanganya, mara wanawake hawafai. Mpaka unamla hivyo ujue ameshapatikana.

Ila sasa,chondechonde,usije muolea kwake na ukakaa. Utaolewa mwenyewe
[emoji28][emoji28]

Mkuu na mimi naishi kwangu. Nina nyumba kubwa na nzuri ambayo hata yeye aliisifia kunzia ramani.

So nikimuoa atakuja kwangu ile tutapangisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom