Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 5,351
- 7,639
- Thread starter
-
- #221
[emoji23][emoji23][emoji119]Kitaalam mahusiano hayo huitwa "akili ku mkichwa...mke wa mtu sumu....mume wa mtu...maziwa[emoji850][emoji850][emoji2955]
Hapa unatakiwa ucheze kete vizuri mkuuHana shida, ameniomba tu nimpe muda aniamini zaidi.
Ofcourse kwa namna anavyonishirikisha kuhusu personal life yake, nina kila sababu ya kuamini kwamba ananipenda, swali ni je, atanipenda kwa muda gani? [emoji2]
Jambo pekee asilopenda kulizungumzia ni mahusiano yake yaliyotangulia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee [emoji119]Nakupa zoezi dogo sana...Tembelea huyo mtoto wake shule, jifanye wewe ni rafiki wa babake then fanya kama mwanamme utapata ukweli wote wa lini babake ameonana nae, vp anamkubali nani zaidi baba au mama..
Tofauti na hapo kuna hatari inakuja mbele yako, wanaomwona huyo sister wako wengi sana au unadhani kitu gani anakificha hadi bodabada amwone kuwa ni wife materials?
Hakika. Nikikosea kidogo tu nitajichanganya.Hapa unatakiwa ucheze kete vizuri mkuu
Hapo nilipobold….. sidhani kama ni jambo la kukutia wasiwasi… sababu mahusiano lazima yaanzie mahali, na hatujui yataelekea wapi….Hana shida, ameniomba tu nimpe muda aniamini zaidi.
Ofcourse kwa namna anavyonishirikisha kuhusu personal life yake, nina kila sababu ya kuamini kwamba ananipenda, swali ni je, atanipenda kwa muda gani? [emoji2]
Jambo pekee asilopenda kulizungumzia ni mahusiano yake yaliyotangulia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza ujue humu unaongea na watu tofauti tofauti. Wamo vijana,wastaarabu na wah*****.Mkuu, umenyumbulisha kwa ustadi wa hali ya juu sana.
Kusema ukweli, huyu binti ananiheshimu sana. Yani kuna wakati huwa navunga nimechukia, mara zote huwa anashuka na kuniomba msamaha, tena kwa upole mno, no arrogance at all.
Nimewahi kumtania mara kadhaa kuhusu kuishi nae, hakukataa. Alichosema nimpe muda aendelee kuniamini.
Likizo ya juzi nilibahatika kukutana na mwanae, akanitambulisha. Ila kuna kitu kilinipa moyo, manake alinielezea tabia za huyo mtoto wake wa kiume kwamba anafanya vizuri sana darasani ila he is too demanding, yani akitaka kitu anataka hapohapo, sasa yeye anakereka anasema hawezi kumlea mtoto hivyo hata kama anacho, kwasababu akimzoesha halafu ikatokea siku kakosa mtoto hatamuelewa. Nikamuahidi nitazungumza na dogo, ilikuwa too late coz dogo alisharudi Shule.
Kwa kifupi ni kama ananielewa ingawa simuamini sana. Pia ameniomba nimsindikize kwa mwanae siku ya visiting day, anataka nikaongee nae siku hiyo kama mwanaume mwenzangu.
She is cooperative, understanding and humble. Sema ni vile tu moyo wa mtu ni kichaka mkuu [emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana kabisa mkuu. Ukweli nitaujua, ni swala la muda tu.huyoo atakuwa alianza kupambana na maisha mda mrefu ndo maana uchumi wake uko vizuri
Nashukuru kwa kunitia moyo mkuu.Hapo nilipobold….. sidhani kama ni jambo la kukutia wasiwasi… sababu mahusiano lazima yaanzie mahali, na hatujui yataelekea wapi….
Kikubwa kama umempenda na we mpambanie. Usikae tu kinyonge….wanawake tunapenda kupendwa na kuongozwa. Tusipoongozwa tunakinai haraka.
Man up!
Nakuja PM tuyajenge mkuu.Kwanza ujue humu unaongea na watu tofauti tofauti. Wamo vijana,wastaarabu na wah*****.
Kama upo serious uje inbox nikupe akili
Siyo bastola au jambia?Jitahidi unapoenda kulala kwake basi uwe na mafuta pembeni for emergency [emoji2]
HahaaaaaaJiamini,ila kikubwa unapolala kwake mkono wako mmoja uwe makalioni pako Kwa ulinzi zaidi
Labda ni manzi mwarabu MkuuWe kwakuwa unapata papuchi, gonga tuliza mshono, unataka nini sasa zaidi? Uombwe pesa ulalame anakudanga, haridhiki wakati pesa ipo.
Kwenye mapenzi cha kwanza mbususu mengine ni nyongeza tu.
Miaka 28 mtoto form one.. watoto wengi form one ni miaka 14,15 hiv ina maana huyo binti aliolewa na miaka 13,14 hivi?🤣
[emoji28][emoji28]Mwanaume unataka nn sasa ukiombwa pesa ulalame ukipewa pesa ww unalalama sa unataka nn tumia nafasi yako na mda wako ulonao kwa sasa utajuta ukiipoteza nafas iyo
Talaka hawajapeana mkuu. Naweza kusema baada ya kugombana wakatengana. Hawakupeana talaka.Wengine mna bahati sana, jitahidi kuitumia vizuri. Kumbuka kuna wanawake wengine hawana tamaa ya pesa ya mtu.
Jaribu kumuuliza kama alishapewa talaka na huyo mumewe.