Mahusiano ya hivi kitaalamu yanaitwaje?

Mahusiano ya hivi kitaalamu yanaitwaje?

Mama Miaka 28 ana mtoto ambaye yupo form one.

Tafuta umri wa mama alio beba mimba.

Je, tukifanya 28-14 =14

Kwahiyo alibeba mimba na miaka 14 siyo.

Au honi hapa utakua umetudanganya sana mkuu,

Au ndugu zangu ni mimi sijamuelewa mtoa mada?


Jitajidi ukienda kulala kwake uwe na roho ya spare
 
Mkuu hiyo ni zari naomba faster ukamilishe taratibu za kumuoa ana nyota ta utajiri na ni mama mwenye mtazamo wa kimaendeleo ukizubaa wenzako watakamata fursa.Hiyo ya kutokutafuta ni kwa vile yuko busy na shughuli ya miradi yake maana hana msaidizi.
Wewe mwenyewe umetueleza ameshakuamini analuachia duka uuze na mzigo wa hela hakutaka kuufungia kwenye safe unataka imani gani tena kwake?
Mkuu umezungumza kwa busara ya hali ya juu.

Ila siwezi kufanya haraka hadi nijiridhishe kuhusu usalama wangu kwanza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iko hivi,

Huu mkoa niliopo kuna dogo mmoja wa bodaboda huwa namuagiza vitu nikipata dharura, tumezoeana sana. Hata akipata shida ndogondogo sitosita kumsaidia.

Sasa siku moja nilimualika kwangu aje tupate chakula cha mchana. Kwenye maongezi akaniuliza, "Bro hivi huna mtoto?". Nikamjibu sina. Akauliza tena, "Mke je?". Nikamwambia sijao. Akaniuliza, "kwanini?". Na mimi nikamuuliza, "Sasa nitamuoa nani?". Akasema bro hukosi wa kuoa labda kama hujaamua tu. Akaniambia kuna dada anamfahamu anafaa kuwa mke. Kweli akanilengesha kwake.

Siku moja nikaenda kwa huyo dada. She is 28 years, ana mini-supermarket kubwa tu, lakini pia ni wakala ya M-Pesa, TigoPesa, Airtel Money, HaloPesa na CRDB. Nikashtuka kidogo kwa namna alivyo stable kiuchumi katika umri wake. Mwanzoni nikajua ni mwajiriwa, baadaye ndio nikagundua vyote ni mali yake.

Basi tukazoeana. Nikawa mteja wake mzuri tu. After a while tukawa wapenzi. Nikaanza kumdadisi, ndio nikajua umri wake. Pia akanieleza kwamba alishafunga ndoa, akazaa na mumewe wakaachana, so ana mtoto mmoja wa form one. Hakutaka tena kumzungumzia huyo mtalaka wake.

Kinachonishangaza ni hiki. Nisipomtafuta halalamiki wala hanitafuti. Nikizidiwa nikamcheki anakuja kwangu nalala nae. Akizidiwa ananicheki, naenda kwake kumuhudumia. Hajawahi kuniomba hela hata siku moja! Nikiwa na shida na hela ndogondogo kwa dharura ananitumia kwenye simu na hanidai, unakuta najishtukia mwenyewe ndio namlipa.

Kuna siku lock ya lango kuu la chuma la kuingia dukani kwake lilikataa kufunguka akaniomba nimtafutie fundi welding, nikamtuma fundi aende ila asichukue hela nitamlipa mimi. Nikaenda dukani wakati fundi anaendelea na kazi. Alipomaliza ile jioni nampigia fundi aniambie gharama, fundi ananiambia dada kashamlipa, nikamwambia kamrudishie pesa yake, dada kagoma kuipokea!

Juzi Ijumaa akaniomba nikae dukani kwake aende msikitini, nikakubali ila nikamwambia sitauza kitu, so wateja wakawa wakija nawaambia ametoka. Pembeni ya kiti chake akaacha 'safe' wazi, nikaifungua nikakuta miburungutu ya hela, nikaifunga nikanyamaza.

Leo ni siku ya 4 tangu niuze gari yangu ndogo, lengo ni kuongeza hela ninunue ingine, asubuhi kanipigia anasema kwasababu yeye anashinda dukani basi naweza kutumia gari yake kwa muda ili nisipate shida, nimeogopa nikaona huu ni mtego, nikamwambia asante nikamchomolea.

Sasa wakuu nashindwa kabisa kumuelewa huyu mwanamke! Ni kwamba ameyachoka mapenzi au nini nini hiki! Amejenga nyumba yake ya vyumba 2 na sebule, majuzi kanunua kiwanja kingine kikubwa mji mpya na ameshapeleka mchanga, kokoto, mawe na kapiga uzio.

Hebu tusaidiane wajameni, usije ukawa ni mtego huu, pengine ana sponsor naweza kujikuta naishia pabaya. Kiukweli sijawahi kuwa suspicious hata siku moja kwamba ana mahusiano mengine. Simu yake yuko free nayo sana, ndio anazidi kunichanganya!

Nje ya mada:
Pamoja na miaka yangu 11 humu JF, nashindwa kuona notifications mpya, ni wiki sasa inakatika, sijui nimebonyeza wapi, wajuvi mnisaidie.

Asanteni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hujaizoea pesa na hujakulia kwenye pesa, pesa itakutisha, kwanza ni mkoa Gani huo na wilaya ipi?
 
Iko hivi,

Huu mkoa niliopo kuna dogo mmoja wa bodaboda huwa namuagiza vitu nikipata dharura, tumezoeana sana. Hata akipata shida ndogondogo sitosita kumsaidia.

Sasa siku moja nilimualika kwangu aje tupate chakula cha mchana. Kwenye maongezi akaniuliza, "Bro hivi huna mtoto?". Nikamjibu sina. Akauliza tena, "Mke je?". Nikamwambia sijao. Akaniuliza, "kwanini?". Na mimi nikamuuliza, "Sasa nitamuoa nani?". Akasema bro hukosi wa kuoa labda kama hujaamua tu. Akaniambia kuna dada anamfahamu anafaa kuwa mke. Kweli akanilengesha kwake.

Siku moja nikaenda kwa huyo dada. She is 28 years, ana mini-supermarket kubwa tu, lakini pia ni wakala ya M-Pesa, TigoPesa, Airtel Money, HaloPesa na CRDB. Nikashtuka kidogo kwa namna alivyo stable kiuchumi katika umri wake. Mwanzoni nikajua ni mwajiriwa, baadaye ndio nikagundua vyote ni mali yake.

Basi tukazoeana. Nikawa mteja wake mzuri tu. After a while tukawa wapenzi. Nikaanza kumdadisi, ndio nikajua umri wake. Pia akanieleza kwamba alishafunga ndoa, akazaa na mumewe wakaachana, so ana mtoto mmoja wa form one. Hakutaka tena kumzungumzia huyo mtalaka wake.

Kinachonishangaza ni hiki. Nisipomtafuta halalamiki wala hanitafuti. Nikizidiwa nikamcheki anakuja kwangu nalala nae. Akizidiwa ananicheki, naenda kwake kumuhudumia. Hajawahi kuniomba hela hata siku moja! Nikiwa na shida na hela ndogondogo kwa dharura ananitumia kwenye simu na hanidai, unakuta najishtukia mwenyewe ndio namlipa.

Kuna siku lock ya lango kuu la chuma la kuingia dukani kwake lilikataa kufunguka akaniomba nimtafutie fundi welding, nikamtuma fundi aende ila asichukue hela nitamlipa mimi. Nikaenda dukani wakati fundi anaendelea na kazi. Alipomaliza ile jioni nampigia fundi aniambie gharama, fundi ananiambia dada kashamlipa, nikamwambia kamrudishie pesa yake, dada kagoma kuipokea!

Juzi Ijumaa akaniomba nikae dukani kwake aende msikitini, nikakubali ila nikamwambia sitauza kitu, so wateja wakawa wakija nawaambia ametoka. Pembeni ya kiti chake akaacha 'safe' wazi, nikaifungua nikakuta miburungutu ya hela, nikaifunga nikanyamaza.

Leo ni siku ya 4 tangu niuze gari yangu ndogo, lengo ni kuongeza hela ninunue ingine, asubuhi kanipigia anasema kwasababu yeye anashinda dukani basi naweza kutumia gari yake kwa muda ili nisipate shida, nimeogopa nikaona huu ni mtego, nikamwambia asante nikamchomolea.

Sasa wakuu nashindwa kabisa kumuelewa huyu mwanamke! Ni kwamba ameyachoka mapenzi au nini nini hiki! Amejenga nyumba yake ya vyumba 2 na sebule, majuzi kanunua kiwanja kingine kikubwa mji mpya na ameshapeleka mchanga, kokoto, mawe na kapiga uzio.

Hebu tusaidiane wajameni, usije ukawa ni mtego huu, pengine ana sponsor naweza kujikuta naishia pabaya. Kiukweli sijawahi kuwa suspicious hata siku moja kwamba ana mahusiano mengine. Simu yake yuko free nayo sana, ndio anazidi kunichanganya!

Nje ya mada:
Pamoja na miaka yangu 11 humu JF, nashindwa kuona notifications mpya, ni wiki sasa inakatika, sijui nimebonyeza wapi, wajuvi mnisaidie.

Asanteni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kamata mtoto huyo unaogopa kupiga mtungo
 
Usiende kulala kwake tena, better yeye awe anakuja kulala kwako, lkn pia katika maongezi yenu mgusie issue ya kuachana na mumewe je waliachana official? iseje ikawa waliachana kwa maneno kumbe mwanaume anajua siku moja watarudiana, wewe ni mwanaume huwezi kushindwa kumdadisi chanzo cha kipato chake, maybe walivyoachana na mumewe alipewa mgao wa mali, au familia yao ina uwezo waliamua kumuwezesha, mwisho usiingie kwa miguu yote miwili kwenye hayo mahusiano ingia na mguu mmoja kwanza, kupitia bodaboda aliyekuunganisha endelea kupata infomation zake, mwisho utajua mbivu na mbichi
Kwenye kutokulala kwake tena nimelichukua na nitalizingatia.

Kuhusu kuachana na mumewe kwa taratibu za kimahakama nimeshamuhoji, hawakufanya hivyo ila anajaribu kuniaminisha kwamba anamchukia sana huyo mwanaume na kamwe hawezi kumrudia, anaishia hapo. Hamtaji jina, kazi yake wala chanzo cha kuachana.

Ni kweli ni vizuri nimtumie huyu bodaboda kuujua ukweli kwasababu huyu dogo wa boda anamuita huyo dada "mama", na huyo dada anamuita "mwanangu", so wamezoeana sana, nitalifanyia kazi.

Asante kwa ushauri mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo Mwanamke inaonekana aliteswa sana kimapenzi na huyo mtalaka wake,hachukulii tena serious mapenzi,ndio maana hakuchukulii serious coz anaogopa kurudia maumivu aliyoyapitia,

Usimpende coz ya mali alizonazo bali mpende kutoka ndani ya nafsi yako,wewe ndio uwe tabibu wake wa kumrudisha na kuanza kuyathamini mapenzi tena,mtu wa kumbadilisha ni wewe,kumpenda,kua muaminifu kwake,kua karibu nae unapopata fursa,

Usipende kumuuliza issue za mtalaka wake,kwani hiyo itakua ni kama kukitonesha kidonda,just nenda nae pole pole,au unaweza kupata maelezo zaidi kupitia kwa huyo Bodaboda aliyekuelekeza huko,huenda yeye ana mengi anayoyajua.
Mkuu, umezungumza vizuri sana na nadhani hauko mbali na ukweli.

Huyo mtalaka wake atakua alimpiga tukio la kihistoria kwasababu hataki kabisa kumzungumzia, anachofanya ni kuniaminisha kwamba kamwe hawezi kurudiana nae. Hamtaji jina, kabila, kazi wala sababu ya kuachana nae. Ukianzisha hiyo mada anakuwa mwekundu. Pengine uko sahihi kwamba sitakiwi kumkumbusha machungu yake ya zamani.

Kuhusu kumtumia huyu bodaboda pia uko sahihi, kwasababu huyu dogo anamuita "mama" na huyu bidada anamuita "mwanangu", so naona huyo dogo yuko kwenye nafasi nzuri ya kunisaidia kuujua ukweli.

Asante mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mama Miaka 28 ana mtoto ambaye yupo form one.

Tafuta umri wa mama alio beba mimba.

Je, tukifanya 28-14 =14

Kwahiyo alibeba mimba na miaka 14 siyo.

Au honi hapa utakua umetudanganya sana mkuu,

Au ndugu zangu ni mimi sijamuelewa mtoa mada?


Jitajidi ukienda kulala kwake uwe na roho ya spare
Kamata mtoto huyo unaogopa kupiga mtungo
Siogopi mkuu ila nahofia usalama wangu [emoji28]. Dunia imebadilika sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mama Miaka 28 ana mtoto ambaye yupo form one.

Tafuta umri wa mama alio beba mimba.

Je, tukifanya 28-14 =14

Kwahiyo alibeba mimba na miaka 14 siyo.

Au honi hapa utakua umetudanganya sana mkuu,

Au ndugu zangu ni mimi sijamuelewa mtoa mada?


Jitajidi ukienda kulala kwake uwe na roho ya spare
Uko sahihi kwa sehemu.

Two things are involved here. Inawezekana kanidanganya umri au alipata mimba za utotoni, jamaa akaja kumuoa baadaye.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iko hivi,

Huu mkoa niliopo kuna dogo mmoja wa bodaboda huwa namuagiza vitu nikipata dharura, tumezoeana sana. Hata akipata shida ndogondogo sitosita kumsaidia.

Sasa siku moja nilimualika kwangu aje tupate chakula cha mchana. Kwenye maongezi akaniuliza, "Bro hivi huna mtoto?". Nikamjibu sina. Akauliza tena, "Mke je?". Nikamwambia sijao. Akaniuliza, "kwanini?". Na mimi nikamuuliza, "Sasa nitamuoa nani?". Akasema bro hukosi wa kuoa labda kama hujaamua tu. Akaniambia kuna dada anamfahamu anafaa kuwa mke. Kweli akanilengesha kwake.

Siku moja nikaenda kwa huyo dada. She is 28 years, ana mini-supermarket kubwa tu, lakini pia ni wakala ya M-Pesa, TigoPesa, Airtel Money, HaloPesa na CRDB. Nikashtuka kidogo kwa namna alivyo stable kiuchumi katika umri wake. Mwanzoni nikajua ni mwajiriwa, baadaye ndio nikagundua vyote ni mali yake.

Basi tukazoeana. Nikawa mteja wake mzuri tu. After a while tukawa wapenzi. Nikaanza kumdadisi, ndio nikajua umri wake. Pia akanieleza kwamba alishafunga ndoa, akazaa na mumewe wakaachana, so ana mtoto mmoja wa form one. Hakutaka tena kumzungumzia huyo mtalaka wake.

Kinachonishangaza ni hiki. Nisipomtafuta halalamiki wala hanitafuti. Nikizidiwa nikamcheki anakuja kwangu nalala nae. Akizidiwa ananicheki, naenda kwake kumuhudumia. Hajawahi kuniomba hela hata siku moja! Nikiwa na shida na hela ndogondogo kwa dharura ananitumia kwenye simu na hanidai, unakuta najishtukia mwenyewe ndio namlipa.

Kuna siku lock ya lango kuu la chuma la kuingia dukani kwake lilikataa kufunguka akaniomba nimtafutie fundi welding, nikamtuma fundi aende ila asichukue hela nitamlipa mimi. Nikaenda dukani wakati fundi anaendelea na kazi. Alipomaliza ile jioni nampigia fundi aniambie gharama, fundi ananiambia dada kashamlipa, nikamwambia kamrudishie pesa yake, dada kagoma kuipokea!

Juzi Ijumaa akaniomba nikae dukani kwake aende msikitini, nikakubali ila nikamwambia sitauza kitu, so wateja wakawa wakija nawaambia ametoka. Pembeni ya kiti chake akaacha 'safe' wazi, nikaifungua nikakuta miburungutu ya hela, nikaifunga nikanyamaza.

Leo ni siku ya 4 tangu niuze gari yangu ndogo, lengo ni kuongeza hela ninunue ingine, asubuhi kanipigia anasema kwasababu yeye anashinda dukani basi naweza kutumia gari yake kwa muda ili nisipate shida, nimeogopa nikaona huu ni mtego, nikamwambia asante nikamchomolea.

Sasa wakuu nashindwa kabisa kumuelewa huyu mwanamke! Ni kwamba ameyachoka mapenzi au nini nini hiki! Amejenga nyumba yake ya vyumba 2 na sebule, majuzi kanunua kiwanja kingine kikubwa mji mpya na ameshapeleka mchanga, kokoto, mawe na kapiga uzio.

Hebu tusaidiane wajameni, usije ukawa ni mtego huu, pengine ana sponsor naweza kujikuta naishia pabaya. Kiukweli sijawahi kuwa suspicious hata siku moja kwamba ana mahusiano mengine. Simu yake yuko free nayo sana, ndio anazidi kunichanganya!

Nje ya mada:
Pamoja na miaka yangu 11 humu JF, nashindwa kuona notifications mpya, ni wiki sasa inakatika, sijui nimebonyeza wapi, wajuvi mnisaidie.

Asanteni.

Sent using Jamii Forums mobile app
sioni tatizo lolote....lakini siwezi nikamruhusu mwanangu au mwana wa rafiki yangu akaoa mwanamke ambaye tayari ana mtoto au aliyewahi kuolewa na akaachika. Hata binti kuolewa na mwanaume aliyeacha mke, ni lazima kuwa makini sana. Pengine mwanamke aliamua kukimbia mateso.
Never! hata kama ana qualities zote
 
sioni tatizo lolote....lakini siwezi nikamruhusu mwanangu au mwana wa rafiki yangu akaoa mwanamke ambaye tayari ana mtoto au aliyewahi kuolewa na akaachika.
Never! hata kama ni qualities zote
Kwanini mkuu? Sio kwamba umefanya fallacy of generalization? Manake wapo wanawake wenye watoto na wameachika ila ni wife material bado.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom