Mahusiano ya hivi kitaalamu yanaitwaje?

Nadhani uko sahihi mkuu.

Lakini je, kwa maoni yako, siwezi nikambadilisha akayaamini tena mapenzi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mama Miaka 28 ana mtoto ambaye yupo form one.

Tafuta umri wa mama alio beba mimba.

Je, tukifanya 28-14 =14

Kwahiyo alibeba mimba na miaka 14 siyo.

Au honi hapa utakua umetudanganya sana mkuu
Kwanini uhitimishe kuwa amedanganya ikiwa biologically binti wa umri huo anaweza kushika mimba? Huoni kuwa kimantiki wewe ndio una shida ya uelewa mdogo?

Mimi mdogo wangu alipewa mimba akiwa form one ana miaka 13, tena aliyempa mimba ni mwanafunzi mwenzie aliyekua na miaka 17 yuko form 3.

sasa hivi huyo dogo yuko form 2 na mwezi uliopita Amefikisha miaka 14. Mama yake sasa hivi yuko mzumbe anafanya masters.
 
endeleea watakuokota ukiwa kwenye deadly zone mtaroni
 
inawezekana maisha wanawake wanapitia mengi ukute alibakwa akiwa na miaka 13/14
 
Kwani huyo dogo aliekuunganishia ukimuuliza kuhusu historia ya huyo mwanamke anasemaje mkuu?
 
1 Usirudie kwenda kulala kwa huyo dada muwe mnakutana lodge na hapo unapoishi hama asipajue kabisa.
2 Usichukue pesa yake yoyote, ukiwa na shida waombe watu ulokua ukiwaomba zamani.
 
Asante sana mkuu kwa back up hii. Kuna watu humu ndani sijui wanatumia akili zao kufanyia nini! Yani nyakati zote mtu akishare kisa chake humu ndani wao wanadhani ni hadithi za kutunga! Mimi nina mwaka wa 11 humu JF na sidhani kama naweza kufanya utoto kama watoto wengi wa 2000 ambao wameingia humu juzijuzi.

Nashukuru kwamba JF bado ina watu wa sampuli yako. Kongole mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…