Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi huwa na nyie mnapenda kweli,Mapenzi sio pesa, ila ikikosekana yanapungua😂😂
Wwe kaa ukijua kua Mapenzi hayana formula, ukiwa na pesa unaweza ukaachwa au ukagongewa,na ukiwa huna pesa vilevile unaweza kugongewa au ukaachwa! Just go with the flow!!Mahusiano ya kimapenzi kwa sasa kama huna pesa mwanamke atakutesa Sana Atakudharau nainawezekana akakuacha kabisa au kukawa na migogoro isiyo isha.(wanaume tutafuteni pesa)
Kama kuna mtu anabisha aje na hoja au kama una chakuongezea unaweza ongezea.
MjMahusiano ya kimapenzi kwa sasa kama huna pesa mwanamke atakutesa Sana
Ni kiasi gani cha pesa mwanaume akiwa nacho inampa uhakika wa mapenzi yake kwa mwanamke? Ni ndoa ngapi za watu matajiri ulishawahi kusikia zimevunjika?Kama kuna mtu anabisha aje na hoja au kama una chakuongezea unaweza ongezea.
eeh tunapenda kweli ndio sana tu alafu ujue mtu kuwa na pesa ni swala moja na kukupa ni swala lingineHivi huwa na nyie mnapenda kweli,
Yani mtu unakuta yuko moyoni mwako kabisa awe na pesa asiwe nazo we sawa tu!
Amehlo nidadavulie hapa
Exactly, mapenzi sio pesa lakini ni pride ya mwanaume kumsaidia na kumspoil mwenza wake hasa nyakati za uhitaji, shida inakuja hata pale unapohitajika kutoa kidogo na ukashindwa, kuna kaunyonge huwa kanakuingia as a man.Mapenzi sio pesa, ila ikikosekana yanapungua😂😂
Mi nasema kila siku humu, hamna mwanamke asiependa matunzo/kutunzwa....as a man jitahidi kutafuta wa level yako, wa kuendana nae, kama huna uwezo wa kuhonga "macho matatu" mbona wapo mabinti warembo tu mtaani ukimnunulia chipsi zege, ukampa hela ya vocha na kijora anaridhika tu, shida ni pale unapotaka makuu kujitutumua kwa vitu usivyoviweza, utaumia tu. Stay on your Lane.eeh tunapenda kweli ndio sana tu alafu ujue mtu kuwa na pesa ni swala moja na kukupa ni swala lingine
anaweza asiwe nazo na akipata kidogo anakupa kutokea hapohapo kwenye kidogo😊😊
Eeh nilitamani kujua hapa tu, 😂maana mnavoishi na sisi ni kama vile hamnaga hisia za kupenda kabisaaeeh tunapenda kweli ndio sana tu
Mpende mke wako asikutawale!Mahusiano ya kimapenzi kwa sasa kama huna pesa mwanamke atakutesa Sana Atakudharau nainawezekana akakuacha kabisa au kukawa na migogoro isiyo isha.(wanaume tutafuteni pesa)
Kama kuna mtu anabisha aje na hoja au kama una chakuongezea unaweza ongezea.
hapana hisia tunazoEeh nilitamani kujua hapa tu, 😂maana mnavoishi na sisi ni kama vile hamnaga hisia za kupenda kabisaa
kabisa yaani, tafuta mmoja wa level yako mtunze vizuri maisha yaendeleeMi nasema kila siku humu, hamna mwanamke asiependa matunzo/kutunzwa....as a man jitahidi kutafuta wa level yako, wa kuendana nae, kama huna uwezo wa kuhonga "macho matatu" mbona wapo mabinti warembo tu mtaani ukimnunulia chipsi zege, ukampa hela ya vocha na kijora anaridhika tu, shida ni pale unapotaka makuu kujitutumua kwa vitu usivyoviweza, utaumia tu. Stay on your Lane.
Na shetani alivyokua na makusudi,kila ukimpata wa level yako,Shetani nae anamletea demu wako kidume kingine kinachokupita level yako na Mwanamke anakuacha! hapo ndiyo utajua kua hujui!!kabisa yaani, tafuta mmoja wa level yako mtunze vizuri maisha yaendelee
Unatafuta tena wa levo yako huku ukideal na maisha yako, mwanamke akikuacha muache aende kamwe usimlilie wala akirudi usimpokee....Na shetani alivyokua na makusudi,kila ukimpata wa level yako,Shetani nae anamletea demu wako kidume kingine kinachokupita level yako na Mwanamke anakuacha! hapo ndiyo utajua kua hujui!!