Sister Abigail
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 2,886
- 9,088
Naweza kupenda mwanaume asie na pesa..lakini awe na uwezo wa kujikimu na kujiingizia japo kidogo.yani awe anasimama kama mwanaume.anapambana kama mwanaume..sio wale kitu kidogo ngoja nkamwombe mama au bro!
Lakini awe na upendo wa kweli.
Sasa unamvumilia mtu Maisha mnayoishi shida.bado umalaya,akipata 5000 ishahongwa Kwa akina halima na kidawa.nivumilie Nini sasa hapo?
Lakini awe na upendo wa kweli.
Sasa unamvumilia mtu Maisha mnayoishi shida.bado umalaya,akipata 5000 ishahongwa Kwa akina halima na kidawa.nivumilie Nini sasa hapo?