Sister Abigail
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 2,886
- 9,088
Kupungua sindio yanapotea hivyo πMapenzi sio pesa, ila ikikosekana yanapunguaππ
Kwa maana hiyo mapenzi hayana kanuni , ila pesa nayo nimuhimu maana kiukweli hakuna mapenzi ambayo hayajawahi kuhusishwa bila pesaMj
Ni Lini mahusiano ya kimapenzi hayakuhusisha pesa? Embu taja kizazi ambacho unafikiri mwanamke hakuwahi kuhitaji pesa?
Ni kiasi gani cha pesa mwanaume akiwa nacho inampa uhakika wa mapenzi yake kwa mwanamke? Ni ndoa ngapi za watu matajiri ulishawahi kusikia zimevunjika?
Ushauri mzuri kabisa πKuhusu PESA
Usitafute PESA ukiwa umeweka nia kuwa hiyo PESA ni kwa ajili ya kuhudumia mahusiano.
Tafuta PESA ukiwa unajua kuwa hii PESA ni kwa ajili ya kuyaboresha MAISHA yangu na kuwa na kesho bora pamoja na kuwaninua waliopo chini.
Mwanamke anamtesa MTU aliyeamua kuteseka na sio vinginevyo.
PESA inachukua nafasi kubwa katika MAISHA ikiwemo kuhudumia mahitaji yako ya muhimu Kama AFYA ,ELIMU , n.k.
So tafuta PESA ikusaidie kukutoa katika dhiki na sio ili uwavutie wanawake.
Then kosa kubwa wanalolifanya vijana ni katika kutafuta Heshima kutoka kwa wanawake.
Kabla ya kutaka MTU akupe heshima au akukubali kupitia PESA yako unbidi kuangalia ni aina gani ya watu unataka wakuheshimu kwanza.
Ili MTU akupe heshima inabidi yeye awe anajiheshimu kwanza.
Ili MTU akupe adhi ya juu na yeye lazima awe na hiyo adhi ya juu
So usitegemee mwanamke ambaye anataka hela yako ili akuheshimu akawa na hizo sifa za kujiheshimu na kuwa na high status.
Make money
Love money
Spend it wisely
Don't go broke to impress women or people.
KabisaMi nasema kila siku humu, hamna mwanamke asiependa matunzo/kutunzwa....as a man jitahidi kutafuta wa level yako, wa kuendana nae, kama huna uwezo wa kuhonga "macho matatu" mbona wapo mabinti warembo tu mtaani ukimnunulia chipsi zege, ukampa hela ya vocha na kijora anaridhika tu, shida ni pale unapotaka makuu kujitutumua kwa vitu usivyoviweza, utaumia tu. Stay on your Lane.
Mnatunyoosha sanaNyie tafuteni pesa bwana. Tunazihitaji.
Si sana, kidogo tu.Mnatunyoosha sana
Mkuu una misimamo mikali sana πUnatafuta tena wa levo yako huku ukideal na maisha yako, mwanamke akikuacha muache aende kamwe usimlilie wala akirudi usimpokee....
Tena mkijua kwamba mnapendwa hapo ndipo tatizo huanzia πSi sana, kidogo tu.
ππππndo hivyoKupungua sindio yanapotea hivyo π
ππππ na nyie si mkipata hela mnawaacha wa level yenu mnaenda kwa wale mliokua hamuwezi kuwapataNa shetani alivyokua na makusudi,kila ukimpata wa level yako,Shetani nae anamletea demu wako kidume kingine kinachokupita level yako na Mwanamke anakuacha! hapo ndiyo utajua kua hujui!!
KATAA NDOA tunaunga mkono hoja sababu mapenzi sio ndoa.Ngoja wazee wa kataa ndoa waje
Hapana,. Tukipendwa, tunapendeka.Tena mkijua kwamba mnapendwa hapo ndipo tatizo huanzia π
Sio kweli KabisaHapana,. Tukipendwa, tunapendeka.
Mkipewa pesa mnazidisha upendo au ndo una muona bwege mtozeni??eeh tunapenda kweli ndio sana tu alafu ujue mtu kuwa na pesa ni swala moja na kukupa ni swala lingine
anaweza asiwe nazo na akipata kidogo anakupa kutokea hapohapo kwenye kidogoππ
upendo unazidi weweMkipewa pesa mnazidisha upendo au ndo una muona bwege mtozeni??