Mahusiano ya kimapenzi bila pesa hayawezekani?

Naweza kupenda mwanaume asie na pesa..lakini awe na uwezo wa kujikimu na kujiingizia japo kidogo.yani awe anasimama kama mwanaume.anapambana kama mwanaume..sio wale kitu kidogo ngoja nkamwombe mama au bro!
Lakini awe na upendo wa kweli.
Sasa unamvumilia mtu Maisha mnayoishi shida.bado umalaya,akipata 5000 ishahongwa Kwa akina halima na kidawa.nivumilie Nini sasa hapo?
 
Mapenzi bwana wenye hela wanalalamika tunapendwa kwa ajiri ya pesa zetu.Maskini nae anasema tafuta pesa upendwe hii ni pasua kichwa.
Mapenzi haya fomula kuna watu hapa town na huko vijijini wanapendana na hawana mbele wala nyuma na wanahaso daily lakini wanapebdana hasa.Kina bill gate nilisikia mkewe anaomba talaka sasa kma pesa zingekua zinasaidia si zingemsave abaki na mkewe.
Bora ukawa na hela ya kuweza kumudu maisha yako kuliko kua na pesa mingi maana masnich wengi hutaka kupora mali zako ww angalia swala la Marehem Mengi.
 
Kwa maana hiyo mapenzi hayana kanuni , ila pesa nayo nimuhimu maana kiukweli hakuna mapenzi ambayo hayajawahi kuhusishwa bila pesa
 
KabisaπŸ˜‚
 
Ushauri mzuri kabisa πŸ™
 
Kabisa
 
Unatafuta tena wa levo yako huku ukideal na maisha yako, mwanamke akikuacha muache aende kamwe usimlilie wala akirudi usimpokee....
Mkuu una misimamo mikali sana πŸ˜‚
 
Na shetani alivyokua na makusudi,kila ukimpata wa level yako,Shetani nae anamletea demu wako kidume kingine kinachokupita level yako na Mwanamke anakuacha! hapo ndiyo utajua kua hujui!!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ na nyie si mkipata hela mnawaacha wa level yenu mnaenda kwa wale mliokua hamuwezi kuwapata
 
eeh tunapenda kweli ndio sana tu alafu ujue mtu kuwa na pesa ni swala moja na kukupa ni swala lingine

anaweza asiwe nazo na akipata kidogo anakupa kutokea hapohapo kwenye kidogo😊😊
Mkipewa pesa mnazidisha upendo au ndo una muona bwege mtozeni??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…