Mi nadhani chanzo kinaanzia kwenye malezi na lifestyle ya familia, hii dhana ya kujenga majumba yenye fence na kuwazuia watoto wasiende kuchanganyika, ina athari nyingi sana kwa socialization ya mtoto.
Kuna umri mtoto anahitaji kujua na kufaham yale yaliyo nje ya uzio wa home kwa ku practise, sio kwa socio media wala kwa TV.
Mbali ya shule, inabidi mtoto kujua kama mtaani kuna watu wanaitwa "Wajuba" , "Mabaharia" n.k.
Wazazi kuweni makini kweny ulezi, yaani hapo mawili kama sio hili mnalosema linakuja kwa kasi basi linatokea lile la ushoga na usagaji, inategemea na structure ya familia.
Alexander