Mahusiano ya kimapenzi kati ya kaka na dada wa tumbo moja

Mahusiano ya kimapenzi kati ya kaka na dada wa tumbo moja

Hii hasa hasa inachangia kuwalea watoto kigeti kali sana watoto wanakosa ata faragha ati adi waoe au kiolewa, mtu unabarehe unamiaka 13 unakuja kuoa unamiaka 29 unafikiri iyo miaka yote 15 atapiga nyeto.. Tuwape watoto uhuru kwakwel. Watoto wa geti kali ndio maana uwa wazembe ata ktk ugunduzi au vipaji fulani uwa hawapo ni watoto wa uswahilin tu ndio konki wa vipaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
....... katika wagunduzi wakubwa wote nitajie mmoja tu ambaye katokea uswahilini......ukishindwa nitaanza kukuita bogas na hii comment n ya kipumbav sijawahi ona maisha yangu yote.......all in all watoto wa uswahili wapo vizur kwenye style za ngono uvutaji bangi wizi chuki uchoyo kuiba na nk..hivi si ndo vpaji unamaanisha??.....hao wa geti kali wanaishia ulaya huko Wala huwaoni huku kajamba nyani na hao washenzi wala sio sabb ni geti kali ni upumbav wao tu........kama we n mzazi bas watoto wako watakua na bahat mbaya kwa akili hiz n ulichoandika.....kwa akili hizi ndo mana mitoto inaishia kuvuta bangi tu mitaani.....pumbapoint..
 
Hivi Kuna madhara gani kugegedana na Kaka au dada yako?
 
..
Mi nadhani chanzo kinaanzia kwenye malezi na lifestyle ya familia, hii dhana ya kujenga majumba yenye fence na kuwazuia watoto wasiende kuchanganyika, ina athari nyingi sana kwa socialization ya mtoto.

Kuna umri mtoto anahitaji kujua na kufaham yale yaliyo nje ya uzio wa home kwa ku practise, sio kwa socio media wala kwa TV.

Mbali ya shule, inabidi mtoto kujua kama mtaani kuna watu wanaitwa "Wajuba" , "Mabaharia" n.k.

Wazazi kuweni makini kweny ulezi, yaani hapo mawili kama sio hili mnalosema linakuja kwa kasi basi linatokea lile la ushoga na usagaji, inategemea na structure ya familia.


Alexander
....Pumbaaaaa....
 
Mabinti siku hizi wanamavazi ya ajabu sana.
Niliwahi kuongea na ndugu mmoja,
Alinambia x anavaa vibaya sana.kwa mwanaume rijali yoyote hawezi kuvumilia uvaaji ule akamwacha apite salama.
Alinambia hajawahi fanya naye chochote,
Ila aliwahi mtamani kwa sababu ya mavazi yake anayovaaa

My take....wazazi wawe waangalizi na mavazi wanayovaa watoto mbele ya ndugu zao.kaka mmoja...
Acheni uzungu...
.....sio mwanaume rijali yoyote sema mwanaume yoyote asiyejitambua mjinga mpumbav na mwenye tamaa........
 
mara nyingi hii inatokana na too much uzungu na jufungia watoto ndani..ni bora kumfungia kijana wa kiume na beki 3 ndani kuliko yeye na dada yake hususani kwa vijana waliopo kwenye kipindi cha balehe.......mwisho wa siku huwa wanakulana wenyewe kwa wenyewe...

jamani jambo la msingi ni kuwapa elimu ya afya ya uzazi na kuwapa freedom huku ukimonitor mwenendo wao..lasivyo utavuna viumbe visivyokuwa na majina....
...umeanza vizuri umemaliza na Pumbaaaaa.
 
Hiyo ni kutokana hasa familia za geti kali. Watoto unawazoesha kuwa pamoja wa kike na wa kiume muda mwingi. Watoto hawaoni mambo mengine huko nje. Na mbaya sana kama mkubwa ni wa kiume. Watoto wa kiume anachelewa zaidi kukua kiakili kuliko wa kike. Kama hicho kisa cha kwanza huyo wa miaka 17 angekuwa wa kike then huyo wa 15 awe wa kiume isingetokea hivyo,sabubu ni moja huyo wa miaka 17 angekuwa wa kike angejielewa mapema yeye ndio wa kuulizwa hivyo angejielewa mapema hata kama wangefanya wasingepata mimba. Tatizo la kike kuwa na umri mdogo kuliko wa kiume ni kwamba sasa hao wa kike wakawekeza akili yao yote kwa kakaako,kwamba ndio kiongozi wao,chochote atakachofanya kwao ni sawa,ksbb ndio kiongozi wao. Kisa cha pili ni bora tu ujitenge na ukoo muoe tu dadaako endelea maisha mapya kivyako. Watakuelewa mbele baada ya kuendeleza kizazi,piga sana watoto. Uwe nao hata 8.

Sent using Jamii Forums mobile app
.....Pumbaaaaa wap wamesema mtoto wa kiume anachelewa kujitambua??? miaka 17 n jitu zima hilo unatetea ujinga hapa ..hilo jamaa n domo zege linalonea dada zake tu sio kujitambua......leta ushahid wa kiscience kwamba watoto wa kiume wanachelewa kujitambua.... ukishindwa tambua we ni bogas high ends.........tumia akil Soo unaandika ushubwada....
 
Waliposema mwanamke ni dhaif walimaanisha hata mama yako ukikomaa anakupa bila ajiz
 
Middle Adolescence (Ages 14 to 17).

1. Physical changes from puberty continue during middle adolescence. Most males will have started their growth spurt, and puberty-related changes continue. They may have some voice cracking, for example, as their voices lower. Some develop acne. Physical changes may be nearly complete for females, and most girls now have regular periods.

2. At this age, many teens become interested in romantic and sexual relationships. They may question and explore their sexual identity―which may be stressful if they do not have support from peers, family, or community.

Angalie line 2 tunaweza kuchukulia poa lakini huo ndio ukweli wenyewe mkubwa kabisa.Hapo haijalishi unakaa na dada au nani usipokuwa makini kuna vitendo vya ajabu sana unafanya.Mafundisho ya dini yaendane na kutambua miili ya watoto wetu si kusema ni dhambi hapana.Je wana namna ya kuikabili hiyo dhambi na kuto kuvunja sheria?

Wengi tumo humu tumepitia hizi nyakati tusijisaulishe kwa sababu tumeona tukio hio hapana.Kuna haja sana jamii zetu ilwe geti kali na hata uswahilini.Watoto wetu wajue na watambue kuna kuna hizi hali.Na mbaya zaidi kama tuna kaa kimya kutoeleza matukio haya yatazidi kuwa mabaya ziaid na mengi zaidi.

hapa nazungumzia vijana wanao balehe si watu wazima.
 
ABELI NA KAINI NDIO UZAO WETU WA KWANZA KWA tuaminio.

Ila sijui waliwatia mimba watoto wa nani ikiwa ADAM NA HAWA/EVA NDIO CHANZO CHETU.
 
Back
Top Bottom