Mahusiano ya kimapenzi kati ya kaka na dada wa tumbo moja

....... katika wagunduzi wakubwa wote nitajie mmoja tu ambaye katokea uswahilini......ukishindwa nitaanza kukuita bogas na hii comment n ya kipumbav sijawahi ona maisha yangu yote.......all in all watoto wa uswahili wapo vizur kwenye style za ngono uvutaji bangi wizi chuki uchoyo kuiba na nk..hivi si ndo vpaji unamaanisha??.....hao wa geti kali wanaishia ulaya huko Wala huwaoni huku kajamba nyani na hao washenzi wala sio sabb ni geti kali ni upumbav wao tu........kama we n mzazi bas watoto wako watakua na bahat mbaya kwa akili hiz n ulichoandika.....kwa akili hizi ndo mana mitoto inaishia kuvuta bangi tu mitaani.....pumbapoint..
 
Hivi Kuna madhara gani kugegedana na Kaka au dada yako?
 
..
....Pumbaaaaa....
 
.....sio mwanaume rijali yoyote sema mwanaume yoyote asiyejitambua mjinga mpumbav na mwenye tamaa........
 
...umeanza vizuri umemaliza na Pumbaaaaa.
 
.....Pumbaaaaa wap wamesema mtoto wa kiume anachelewa kujitambua??? miaka 17 n jitu zima hilo unatetea ujinga hapa ..hilo jamaa n domo zege linalonea dada zake tu sio kujitambua......leta ushahid wa kiscience kwamba watoto wa kiume wanachelewa kujitambua.... ukishindwa tambua we ni bogas high ends.........tumia akil Soo unaandika ushubwada....
 
Waliposema mwanamke ni dhaif walimaanisha hata mama yako ukikomaa anakupa bila ajiz
 
Middle Adolescence (Ages 14 to 17).

1. Physical changes from puberty continue during middle adolescence. Most males will have started their growth spurt, and puberty-related changes continue. They may have some voice cracking, for example, as their voices lower. Some develop acne. Physical changes may be nearly complete for females, and most girls now have regular periods.

2. At this age, many teens become interested in romantic and sexual relationships. They may question and explore their sexual identity―which may be stressful if they do not have support from peers, family, or community.

Angalie line 2 tunaweza kuchukulia poa lakini huo ndio ukweli wenyewe mkubwa kabisa.Hapo haijalishi unakaa na dada au nani usipokuwa makini kuna vitendo vya ajabu sana unafanya.Mafundisho ya dini yaendane na kutambua miili ya watoto wetu si kusema ni dhambi hapana.Je wana namna ya kuikabili hiyo dhambi na kuto kuvunja sheria?

Wengi tumo humu tumepitia hizi nyakati tusijisaulishe kwa sababu tumeona tukio hio hapana.Kuna haja sana jamii zetu ilwe geti kali na hata uswahilini.Watoto wetu wajue na watambue kuna kuna hizi hali.Na mbaya zaidi kama tuna kaa kimya kutoeleza matukio haya yatazidi kuwa mabaya ziaid na mengi zaidi.

hapa nazungumzia vijana wanao balehe si watu wazima.
 
ABELI NA KAINI NDIO UZAO WETU WA KWANZA KWA tuaminio.

Ila sijui waliwatia mimba watoto wa nani ikiwa ADAM NA HAWA/EVA NDIO CHANZO CHETU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…