Mahusiano ya ndugu yanaharibika wakiingia katika ndoa

Mahusiano ya ndugu yanaharibika wakiingia katika ndoa

Mara nyingi mahusiano ya wanandugu huwa yanaharibika / kupungua pale wanapo oa au kuolewa , kuna wengine akili zinabadilika anaanza kutumia akili ya mke au mume zaidi na kudharau mambo ya familia aliyotoka.

Wanaume wengine wanaendleshwa na wake zao anafarakanishwa na ndugu zake
Dadadeki..mahusiano yangu na Niwaa yaliharibika baada ya kuolewa!
 
Mada moto hii

1. Biblia imesema kwamba mwanamke na mwanaume watawaacha wazazi wao na kuambatana pamoja.

2. Iwapo Wana-ndoa walitakiwa wawe na bond na wazazi wao, basi Biblia ingesema kwamba Wana-ndoa waunganishe familia watokazo na washirikiane. Lakini imetumia neno "kuachana na wazazi".

3. Ndiyo maana hata Jamii inawaasa Wana-ndoa wasikopeshe ukweni ama kujenga huko.


4. Nimewahi kushuhudia ndugu wakianza kumchukia Binti baada ya kupata mchumba na wanaleta figisu ikiwemo kugoma kupokea mahari na ama kupiga danadana suala la posa.

5. Kuna mmoja alitoa taarifa za kupata mchumba, mchumba akaahidi kwenda kwao mwezi wa 7, ilipofika wiki ya pili ya July husika, ndugu mmoja akaanza kulazimisha na kuuliza Kwa Binti vipi, July tayari mbona hatokei? Mara huyo Hana Hela huyo! Dah!

6.Mara mwingine akianza kununiwa na dada yake. Na hili nimeliona hata kwenye familia yetu.

Itoshe kusema undugu umekuwa mgumu sana Karne hii ya 21!
umezungumza vyema kwa reference za maandiko lakini kiuhalisia mtu anapo oa au kuolewa haiwi sababu ya kumfanya aipe kisogo familia aliyotokea
 
umezungumza vyema kwa reference za maandiko lakini kiuhalisia mtu anapo oa au kuolewa haiwi sababu ya kumfanya aipe kisogo familia aliyotokea

Unalazimishaje umoja na watu wenye chuki juu yako?

Kuna vitu mtambuka sana kwenye Jamii ambavyo utatuzi hutegemea na roho ya mtu na busara yake.

Adui hatokei mbali!
 
Unalazimishaje umoja na watu wenye chuki juu yako?

Kuna vitu mtambuka sana kwenye Jamii ambavyo utatuzi hutegemea na roho ya mtu na busara yake.

Adui hatokei mbali!
Kama kuna uhasama kati ya ndugu uliokuwepo muda mrefu kabla ya hio ndoa hio inaeleweka, lakini hoja ya msingi ndoa isiwe sababu ya kuharibu mahusiano kati ya mtu na ndugu zake
 
Nawahusia vijana.....

Ukizingatia hizi ndoa za siku hizi.....

Kamwe usiache au kuvunja ukaribu ( na marafiki zako(urafiki wenye kufaana)...kamwe usiwatenge ndugu zako kwa ajili ya mkeo/mumeo.......

Wenza wengi nyakati hizi hawasukumwi na upendo kuingia kwenye ndoa bali manufaa ambayo anayaona kwako.......

Akishaingia kwenye ndoa na wewe jambo la kwanza kabisa ni kuvunja daraja baina ya wewe na watu ambao anaona kuwa wanaweza kukutoa usingizini........

Atazidisha wema na mahaba huku akiwaongelea vibaya kwa lengo la kujenga chuki baina yako na wao......

Akishavuka hatua hii anaingia hatua ya kujifanya mshauri mzuri wa fedha zako katika mipango inayoonekana kama vile ina mantiki huku mkiwa watupu chumbani..... mipango inayoonekana kama inaleta mwanga kwenye safari yenu ya maisha......

Na hapo ndio inaanzia safari yako ya utumwa kwenye gereza lako la ndoa.......

Unakuja kushtuka mke na wanao wanakuwa bize na ile miradi na thamani yako inaanza kupotea mfano wa barafu kwenye maji.......

NB;
Hii ni mipango ya muda mrefu.... unaweza kuiona damage baada hata ya miaka kumi ijayo ....

BE WISE BROTHERS/ SISTERS....

WORD IS ENOUGH FOR THE WISE....
 
Nawahusia vijana.....

Ukizingatia hizi ndoa za siku hizi.....

Kamwe usiache au kuvunja ukaribu ( na marafiki zako(urafiki wenye kufaana)...kamwe usiwatenge ndugu zako kwa ajili ya mkeo/mumeo.......

Wenza wengi nyakati hizi hawasukumwi na upendo kuingia kwenye ndoa bali manufaa ambayo anayaona kwako.......

Akishaingia kwenye ndoa na wewe jambo la kwanza kabisa ni kuvunja daraja baina ya wewe na watu ambao anaona kuwa wanaweza kukutoa usingizini........

Atazidisha wema na mahaba huku akiwaongelea vibaya kwa lengo la kujenga chuki baina yako na wao......

Akishavuka hatua hii anaingia hatua ya kujifanya mshauri mzuri wa fedha zako katika mipango inayoonekana kama vile ina mantiki huku mkiwa watupu chumbani..... mipango inayoonekana kama inaleta mwanga kwenye safari yenu ya maisha......

Na hapo ndio inaanzia safari yako ya utumwa kwenye gereza lako la ndoa.......

Unakuja kushtuka mke na wanao wanakuwa bize na ile miradi na thamani yako inaanza kupotea mfano wa barafu kwenye maji.......

NB;
Hii ni mipango ya muda mrefu.... unaweza kuiona damage baada hata ya miaka kumi ijayo ....

BE WISE BROTHERS/ SISTERS....

WORD IS ENOUGH FOR THE WISE....
Mh. Umeandika mambo mazito sana natamani watu wapite hapa wasome
 
Nawahusia vijana.....

Ukizingatia hizi ndoa za siku hizi.....

Kamwe usiache au kuvunja ukaribu ( na marafiki zako(urafiki wenye kufaana)...kamwe usiwatenge ndugu zako kwa ajili ya mkeo/mumeo.......

Wenza wengi nyakati hizi hawasukumwi na upendo kuingia kwenye ndoa bali manufaa ambayo anayaona kwako.......

Akishaingia kwenye ndoa na wewe jambo la kwanza kabisa ni kuvunja daraja baina ya wewe na watu ambao anaona kuwa wanaweza kukutoa usingizini........

Atazidisha wema na mahaba huku akiwaongelea vibaya kwa lengo la kujenga chuki baina yako na wao......

Akishavuka hatua hii anaingia hatua ya kujifanya mshauri mzuri wa fedha zako katika mipango inayoonekana kama vile ina mantiki huku mkiwa watupu chumbani..... mipango inayoonekana kama inaleta mwanga kwenye safari yenu ya maisha......

Na hapo ndio inaanzia safari yako ya utumwa kwenye gereza lako la ndoa.......

Unakuja kushtuka mke na wanao wanakuwa bize na ile miradi na thamani yako inaanza kupotea mfano wa barafu kwenye maji.......

NB;
Hii ni mipango ya muda mrefu.... unaweza kuiona damage baada hata ya miaka kumi ijayo ....

BE WISE BROTHERS/ SISTERS....

WORD IS ENOUGH FOR THE WISE....
❤️
 
Back
Top Bottom