Mahusiano ya siku mbili, nimepoteza 67k, roho inaniuma!

Dah! Nimecheka sana.hakika vijana tunapitishwa kwenye moto wa mateso japo mengine ni kujitakia.kwa hali ya sasa ukiombwa hela kimbia bila kugeuka isitoshe kwa mdangaji.
 
Vinane pale kwa wamburaa umejichanganya
 
Dah! Nimecheka sana.hakika vijana tunapitishwa kwenye moto wa mateso japo mengine ni kujitakia.kwa hali ya sasa ukiombwa hela kimbia bila kugeuka isitoshe kwa mdangaji.
Acha tu babu 35 yangu nimeonga wanawake na hkun hata mmoja nimemla Niko na chati na aliyetafuna 12 yangu Bado. Ananiletea ujinga yule aliye tumia 17 yeye nimemtumia tuz kubwa San asbh na nikamlima bloku kubwa

Sasa HV siongi Tena mwisho Jana imetosha
 
Wanaume ehhh ila wanaume tutafika mbinguni tupo hoi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kama mimi tu mkuu, naanza kutafiti chimbo la mal*y* wa buku 3 kwa gori pale Manz*s* ili kusudi ndani ya siku 3 nimemwaga mabao matatu hata kwa 9,000 kuliko kumwaga maelfu unaishia kupigia puli picha zao za dp!
[emoji24][emoji24][emoji24]
 
Ha ha ha
 
Unatoaje pesa na bidhaa ingali kwa 'mangi'!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…