Mahusiano ya siku mbili, nimepoteza 67k, roho inaniuma!

Mahusiano ya siku mbili, nimepoteza 67k, roho inaniuma!

dah me nilihonga laki moja na demu alionesha kunipenda Yuko hawezi kuniacha nikimuomba gemu anadai atakuja na haraka gani baada ya kumkabidhi hiyo laki akajidai Sina hisia na ww dah sahizi namimi naenda nipe nikupe tu
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Awali nilijua kuwa mahusiano na vibinti ambavyo bado vinalishwa ndio yanayochanganya ubongo

Leo nimeamini kuwa mwanamke ni mwanamke tu!

Nilikuwa nikimuomba mbususu niichakate kitambo sana, ila alinikatalia, ikafikia kipindi nikaona niachane nae, ndipo aliponitumia sms kuniuliza kama nampenda au! Nikamjibu kuwa nampenda, na hiyo ndo sababu ya kumuomba mbususu! Kidogo kidogo akaingia line!

Nikampanga siku, yaani siku ya 3 tokea siku tumezungumza, akakubali, jioni yake kanitumia sms kuwa ana shida na 40k, nikamtumia kwa M pesa!

Siku ya tukio mchana akanipigia akanambia ana shida na 50k nikamwambia kwa sasa nina 30k kwenye simu, akaiomba, nikamtumia 27k, jioni yake aka mute, nilimtafuta mpaka nikachoka, muda huo nishamtafunia karanga, nazi ya kusagwa, mo energy, glucose, chupa la maji baridi! Nishaukanda mkuyenge na maji ya moto, nimejiogea zangu niko gheto! ila hakutokea, asubuhi yake kaniomba msamaha akanambia kuwa yuko njiani anakuja, lakini wapi, hakutokea! Na simu haipatikani tokea jana hadi leo [emoji24][emoji24] Kasababisha nimerudi rasmi kwenye chama cha CHAPUTA kwa kasi ya 6G+

Halafu kwenye kibubu nina 20k ndo ninayoitegemea inifikishe tarehe 1
[emoji24][emoji24]
Wanaume tumeumbiwa matesooo, matesooo kuhangaika.
Man down.
 
Awali nilijua kuwa mahusiano na vibinti ambavyo bado vinalishwa ndio yanayochanganya ubongo

Leo nimeamini kuwa mwanamke ni mwanamke tu!

Nilikuwa nikimuomba mbususu niichakate kitambo sana, ila alinikatalia, ikafikia kipindi nikaona niachane nae, ndipo aliponitumia sms kuniuliza kama nampenda au! Nikamjibu kuwa nampenda, na hiyo ndo sababu ya kumuomba mbususu! Kidogo kidogo akaingia line!

Nikampanga siku, yaani siku ya 3 tokea siku tumezungumza, akakubali, jioni yake kanitumia sms kuwa ana shida na 40k, nikamtumia kwa M pesa!

Siku ya tukio mchana akanipigia akanambia ana shida na 50k nikamwambia kwa sasa nina 30k kwenye simu, akaiomba, nikamtumia 27k, jioni yake aka mute, nilimtafuta mpaka nikachoka, muda huo nishamtafunia karanga, nazi ya kusagwa, mo energy, glucose, chupa la maji baridi! Nishaukanda mkuyenge na maji ya moto, nimejiogea zangu niko gheto! ila hakutokea, asubuhi yake kaniomba msamaha akanambia kuwa yuko njiani anakuja, lakini wapi, hakutokea! Na simu haipatikani tokea jana hadi leo [emoji24][emoji24] Kasababisha nimerudi rasmi kwenye chama cha CHAPUTA kwa kasi ya 6G+

Halafu kwenye kibubu nina 20k ndo ninayoitegemea inifikishe tarehe 1
[emoji24][emoji24]
Ulikosea sana ungewapigia Voda chap urudishe muamala
 
Awali nilijua kuwa mahusiano na vibinti ambavyo bado vinalishwa ndio yanayochanganya ubongo

Leo nimeamini kuwa mwanamke ni mwanamke tu!

Nilikuwa nikimuomba mbususu niichakate kitambo sana, ila alinikatalia, ikafikia kipindi nikaona niachane nae, ndipo aliponitumia sms kuniuliza kama nampenda au! Nikamjibu kuwa nampenda, na hiyo ndo sababu ya kumuomba mbususu! Kidogo kidogo akaingia line!

Nikampanga siku, yaani siku ya 3 tokea siku tumezungumza, akakubali, jioni yake kanitumia sms kuwa ana shida na 40k, nikamtumia kwa M pesa!

Siku ya tukio mchana akanipigia akanambia ana shida na 50k nikamwambia kwa sasa nina 30k kwenye simu, akaiomba, nikamtumia 27k, jioni yake aka mute, nilimtafuta mpaka nikachoka, muda huo nishamtafunia karanga, nazi ya kusagwa, mo energy, glucose, chupa la maji baridi! Nishaukanda mkuyenge na maji ya moto, nimejiogea zangu niko gheto! ila hakutokea, asubuhi yake kaniomba msamaha akanambia kuwa yuko njiani anakuja, lakini wapi, hakutokea! Na simu haipatikani tokea jana hadi leo [emoji24][emoji24] Kasababisha nimerudi rasmi kwenye chama cha CHAPUTA kwa kasi ya 6G+

Halafu kwenye kibubu nina 20k ndo ninayoitegemea inifikishe tarehe 1
[emoji24][emoji24]
Hahaha
 
Usijali kwani shida huwa haziishi na njia ya muongo ni fupi atarudi tena tu kukuomba pesa … plus achana na hao jamaa puchu haina madhara yoyote kama upigi na ugongi ndio utapata madhara

Muongo na muasherati si Lao moja. Kwenye nyumba za ibada anatoa 500 fungu la 10 hakuna ana Muibia hadi Mungu ye akiibiwa anapiga kelele. Na bado
 
Dah pole sana mkulungwa, juzi kati na mm yalinikuta kuna ka manzi kalikuwa mkoa fulan muhuni si nikatuma nauli manzi kaingia mitini imekula kwangu, sasa juzi kuna demu fulan kaja na shida zake oh nisaidie elf 40 nikamwambia njoo uchukue geto eti kagoma anaogopa ntamtia nikamwambia ukija ili nikupe ela lazm nikutmbe zen nakupa sahivi unyama unyama tu kila mtu abaki na chake
 
nikamwambia njoo uchukue geto eti kagoma anaogopa ntamtia nikamwambia ukija ili nikupe ela lazm nikutmbe zen nakupa
Na kwanini sasa wanaogopa kutiwa? Yaani hawa wanawake bhana! Au kuna siri ipi iko nyuma ya pazia kuhusu wao kutiwa!
 
Dah pole sana mkulungwa, juzi kati na mm yalinikuta kuna ka manzi kalikuwa mkoa fulan muhuni si nikatuma nauli manzi kaingia mitini imekula kwangu, sasa juzi kuna demu fulan kaja na shida zake oh nisaidie elf 40 nikamwambia njoo uchukue geto eti kagoma anaogopa ntamtia nikamwambia ukija ili nikupe ela lazm nikutmbe zen nakupa sahivi unyama unyama tu kila mtu abaki na chake
Ulituma nauli shs ngap?
 
Back
Top Bottom