Vonzelewsk
Member
- Sep 20, 2018
- 55
- 70
- Thread starter
-
- #41
Nilishawai kumuuliza lakini muhusika anasema amna kitu yani yuko sawaJifunze kut ku force upendwe au umuhimu wako uonekane.
Hiyo ni dalili moja wapo kuwa muhusika hakuhitaji. Lakini kabla ya hapo muite ongea nae kujua tatizo, ila asipokuwa muwazi
Ondoka, nenda unapokubalika
Asante mkuuOooh pole sana , unapitia kipindi kigum kwakwel.Ushaur wangu jitahid kumwelew mpenz wako ili ujue wap Pana changamoto , ukigundua kuwa ana mpango wa kando bas huna budi kufanya maamuzi."sio Kila utakae okota nae kuni ndio utaota nae moto".MOVE ON!
Shituka wewe mke wa mtu huyo ngoja siku wauni waje wakumulike tochi ndo
😀😀Shituka wewe mke wa mtu huyo ngoja siku wauni waje wakumulike tochi ndo utajua hujui.
Nikiwa apa apa ndani ya jiji la mzizimaUnateswa na mapenzi ukiwa wapi [emoji23]
Aliyekuambia sina hela naniTatizo huna hela. Yaani kwa kifupi hawezi kuishi na mtu kapuku kama wewe.
Nakushauri rudi kijijini kwenu nanjilinji ukatafute mke michosho kama wewe.
Mshahara wa laki nne/mwezi ndiyo hela?Aliyekuambia sina hela nani
Move on bro ,ushaona kabisa mtu haeleweki pita hivi...Katika maendeleo ya kitu chochote hatuangaliaga faida moja tunaenda extra nikiunganisha na mahusiano yako usiangalie kupewa tunda tu Kuna muda una shida unahitaji mtu wa kukusaidia unajibiwa SW unaangalia tu hio ni red light usipokuwa makini utapoteza fursa za muhimHabari ndugu zangu member wa JF ndugu yenu yamenifika.. Nina mpenzi wangu tumeanza mahusiano yetu toka mwaka jana mwezi wa 11, tulianza vizuri kama mnavyojua penzi jipya simu za kila mara kutumiana txt mpaka saa 8 za usiku.
Mwezi mmoja uliopita nilianza kuona mabadiriko anitumii txt mpaka mimi nianze, apigi mpaka nianze mimi yani mimi kama nikikausha ndio basi iyo na ata akijibu basi ujibu vile.. atakavyo kama vile PW,HAYA etc.. yaani unaweza kutuma txt inayohitaji maelezo mengi lakini majibu yake ni OKAY au SAWA..
Kwa uzoefu wangu naona kabisa hapa jahazi limeshazama yaani sihitajiki lakini moyo ndio umegoma kumuacha yaani nakuwa kama mtumwa kukubali kuendelea sehemu ambayo najua tayari sipendwi.. shida nyingine ni kuwa nikimuita anipe tunda huwa anakuja bila shida.
Msaada wenu member wenzangu kama mnavyojua moyo ukishapenda akili inaacha kufanya kazi.
Mwanaume hautakiwi kuwa na kimbelembele cha kumtafuta mwanamke kwa sms, piga simu ongea endelea na majukumu. Yeye pia aweza kuwa bize unampotezea muda na sms zako. Weka muda wako mwingi kazini.Mwezi mmoja uliopita nilianza kuona mabadiriko anitumii txt mpaka mimi nianze, apigi mpaka nianze mimi yani mimi kama nikikausha ndio basi iyo na ata akijibu basi ujibu vile.. atakavyo kama vile PW,HAYA etc.. yaani unaweza kutuma txt inayohitaji maelezo mengi lakini majibu yake ni OKAY au SAWA..
Kwani shida yako ni nini?Kwa uzoefu wangu naona kabisa hapa jahazi limeshazama yaani sihitajiki lakini moyo ndio umegoma kumuacha yaani nakuwa kama mtumwa kukubali kuendelea sehemu ambayo najua tayari sipendwi.. shida nyingine ni kuwa nikimuita anipe tunda huwa anakuja bila shida.
kwan we shida n tunda au nnHabari ndugu zangu member wa JF ndugu yenu yamenifika.. Nina mpenzi wangu tumeanza mahusiano yetu toka mwaka jana mwezi wa 11, tulianza vizuri kama mnavyojua penzi jipya simu za kila mara kutumiana txt mpaka saa 8 za usiku.
Mwezi mmoja uliopita nilianza kuona mabadiriko anitumii txt mpaka mimi nianze, apigi mpaka nianze mimi yani mimi kama nikikausha ndio basi iyo na ata akijibu basi ujibu vile.. atakavyo kama vile PW,HAYA etc.. yaani unaweza kutuma txt inayohitaji maelezo mengi lakini majibu yake ni OKAY au SAWA..
Kwa uzoefu wangu naona kabisa hapa jahazi limeshazama yaani sihitajiki lakini moyo ndio umegoma kumuacha yaani nakuwa kama mtumwa kukubali kuendelea sehemu ambayo najua tayari sipendwi.. shida nyingine ni kuwa nikimuita anipe tunda huwa anakuja bila shida.
Msaada wenu member wenzangu kama mnavyojua moyo ukishapenda akili inaacha kufanya kazi.
Umeongea ukweli mkuuMwanaume hautakiwi kuwa na kimbelembele cha kumtafuta mwanamke kwa sms, piga simu ongea endelea na majukumu. Yeye pia aweza kuwa bize unampotezea muda na sms zako. Weka muda wako mwingi kazini.
Kwani shida yako ni nini?
Mwanaume halilii kupendws, bali heshima. Anakuletea tunda, weka heshima mwanaume usiwaabishr wanaume wenzio. Pia hudumia.
Halafu sasa, acha mwanamke akutafute kwani yeye ndie anaehitaji upendo toka kwako
Umesema uko wapi?Habari ndugu zangu member wa JF ndugu yenu yamenifika.. Nina mpenzi wangu tumeanza mahusiano yetu toka mwaka jana mwezi wa 11, tulianza vizuri kama mnavyojua penzi jipya simu za kila mara kutumiana txt mpaka saa 8 za usiku.
Mwezi mmoja uliopita nilianza kuona mabadiriko anitumii txt mpaka mimi nianze, apigi mpaka nianze mimi yani mimi kama nikikausha ndio basi iyo na ata akijibu basi ujibu vile.. atakavyo kama vile PW,HAYA etc.. yaani unaweza kutuma txt inayohitaji maelezo mengi lakini majibu yake ni OKAY au SAWA..
Kwa uzoefu wangu naona kabisa hapa jahazi limeshazama yaani sihitajiki lakini moyo ndio umegoma kumuacha yaani nakuwa kama mtumwa kukubali kuendelea sehemu ambayo najua tayari sipendwi.. shida nyingine ni kuwa nikimuita anipe tunda huwa anakuja bila shida.
Msaada wenu member wenzangu kama mnavyojua moyo ukishapenda akili inaacha kufanya kazi.