X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
- Thread starter
- #21
naamua kunyoa tu kwa kumuacha aendeHupendwi,sasa amua kusuka au kunyoa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naamua kunyoa tu kwa kumuacha aendeHupendwi,sasa amua kusuka au kunyoa.
Sisi vibonde wetu ni man u na chelsea. Wewe tulishakupiga tukikikosa kibonde hichi tunaenda kutambikaJomba Jomba..kesho napo kichapo
Sema fresh kwa kumshauri mwana
Mkuu...Hakuna ndoa hapo...huo Ni mfano was ndoa.ni kweli sijaoa kaka lakini tunaishi wote takribani miaka 6 sasa...hapo kunautofauti gani na mtu alie oa...? harafu wazazi wote wanafahamiana...si ni kama wana ndoa tu hadi tumezaa...kweli
Acha tuoneSisi vibonde wetu ni man u na chelsea. Wewe tulishakupiga tukikikosa kibonde hichi tunaenda kutambika
asante nitajitahidiPOLE SANA MKUU KWA MKASA ULIOKUKUTA ILA POLEPOLE HUWA ANA KIPINDI CHANNEL TEN UNAWEZA MPIGIA AKUSAIDIE
Huu ni unyanyasi wa kijinsia mkuu pambania haki yako
sasa sijakuelewa kiongozi nijipe muda huku nikiwa naendelea kuishi nae au...?Jipe muda, kila kitu kitakuwa sawa.
Pole,
Ila inaonyesha huyo mwanamke hakukupenda toka mwanzo, desperation ya mwanaume wake kuwa mbali ndiyo iliyomleta kwako, hivyo ile excitement imeisha ikaondoka na hisia zake,
Mambo ya ndoa yananizidi uwezo, ngoja wanandoa wenzio waje kukupea somo, ujue cha kufanya..!!
nimefurahi kukuonaPole,
Ila inaonyesha huyo mwanamke hakukupenda toka mwanzo, desperation ya mwanaume wake kuwa mbali ndiyo iliyomleta kwako, hivyo ile excitement imeisha ikaondoka na hisia zake,
Mambo ya ndoa yananizidi uwezo, ngoja wanandoa wenzio waje kukupea somo, ujue cha kufanya..!!
Ukioa utagundua haya yapo,unakuwa na kiu na mwenzako ila yeye harespond kwa namna yoyote ile,yani yuko cold,na nguvu anayotumia kukukataa ni kubwa kiasi cha kwamba hamu inakatika kabisa,kwahiyo usishangae mwanandoa kukaa mwezi mzima bilabila...Huwa nawashangaa sana wanaume waliooa af wanalalamika wananyimwa papuchi..naelewa unaweza kunyimwa one day mama hajiskii lakini in long run bado unakuwa unabaniwa i don't get it..
Japo case yako ni tofauti..wewe hujamuoa
Ushauri mzuri huuuMimi nakushauli hivi...mwambie aende nyumbani akapumzike .. yaani Fanya kama unamuacha vile Ila usimuoneshe kama umemuacha halafu usimpigie simu mpaka yeye atakapokutafuta.
Nakupa miez 2 tu, life litampiga na ataludi Kwa heshima zote...Kwa Sasa anakula , kulala na amekuzoea anakuona kama baba kaka vile.
Hisia zikishapotea hata ufanye nini unapoteza muda tu huyo anakuvumilia tu ila huenda hata akikuona anatamani ungebaki huko unamkera sana tu. Mkuu anza kujiandaa kisaikolojiamimi ni kijana ambae nipo kwenye umri wa kuuvuka ujana na kuuendea utu uzima. miaka ya nyuma mara kadhaa nimeshawahi kuumizwa sana kwenye mahusiano. ilifikia kipindi nikaamua kuyapa kisogo mahusiano. mbinu haswa niliyokuwa naitumia ni ku hit and run.
ila baadae miaka 6 nyuma nilikuta na msichana wa KIMACHAME nilimpenda akanipenda ila kwa bahati mbaya alikuwa na mpenzi wake tuseme walikuwa kwenye long-distance relationship hope uzalendo ulimshinda huyu msichana tukajikuta tumeingia kwenye mahusiano, akamuacha mpenzi wake waliosoma wote chuo huko mwanza.
Hakuna mafundisho ya kuishi hivyo kwenye Uislam.asante.....ni shauri kama vile ungemshauri mtu ambaye yupo kwenye ndoa...hakuna binaadam alie kamirika kumbuka
ubaya ni kuwa mimi ndie ninae ishi kwake...hivyo itanilazimu kuondoka bila shaka...na ndio uamuzi wangu huuMimi nakushauli hivi...mwambie aende nyumbani akapumzike .. yaani Fanya kama unamuacha vile Ila usimuoneshe kama umemuacha halafu usimpigie simu mpaka yeye atakapokutafuta.
Nakupa miez 2 tu, life litampiga na ataludi Kwa heshima zote...Kwa Sasa anakula , kulala na amekuzoea anakuona kama baba kaka vile.
Ohhh uliolewa wew? Au nime elewa vbyaubaya ni kuwa mimi ndie ninae ishi kwake...hivyo itanilazimu kuondoka bila shaka...na ndio uamuzi wangu huu