Maimartha wa Jesse ameweka majibu yake ya UKIMWI hadharani

Maimartha wa Jesse ameweka majibu yake ya UKIMWI hadharani

View attachment 613870

Mtangazaji mahiri Maimartha ameamua kuweka majibu yake ya kipimo cha Ukimwi hadharani kutokana na watu kumsema Sana yeye ni muathirika

View attachment 613873

Baada ya kuweka majibu hadharan ndipo watu walipobaini umri wake kumbe ana miaka 29 amemzidi Wema Sepetu miaka 2.
Lisemwalo lipo...hapo hata km kaweka bado hajanishawishi kitu...

Izi mambo zinfanywa Fanya mahospital, unamwaga mpunga basi unaandikwa ndivyo sivyo !!!.
 
Kifupi alitaka kuwaonesha watu kuwa ana mimba ya zaidi ya miez miwili.
Majibu halisi ya kupima UKIMWI huwa anapewa mhusika binafsi kwa mdomo, hizo vitu vya kuandikwa ni rubbish tu. Chochote kinaweza kuandikwa lakini kisiwe halisi.

Yote tisa, yule ni bibi, tena Kikongwe kusema ana miaka 29 ni kujaribu tu kucheza na Akili za watu.

Yote tisa, kumi ni kutafuta Kick tu.
Mara ya mwisho nipo knyama hakuwa na kope hata moja..VP siku hizi zimeota!?
 
Kifupi alitaka kuwaonesha watu kuwa ana mimba ya zaidi ya miez miwili.
Majibu halisi ya kupima UKIMWI huwa anapewa mhusika binafsi kwa mdomo, hizo vitu vya kuandikwa ni rubbish tu. Chochote kinaweza kuandikwa lakini kisiwe halisi.

Yote tisa, yule ni bibi, tena Kikongwe kusema ana miaka 29 ni kujaribu tu kucheza na Akili za watu.

Yote tisa, kumi ni kutafuta Kick tu.
UMESEMA MKUUUU ...ALAFU HAYO SITUNAYAONA.
 
Kifupi alitaka kuwaonesha watu kuwa ana mimba ya zaidi ya miez miwili.
Majibu halisi ya kupima UKIMWI huwa anapewa mhusika binafsi kwa mdomo, hizo vitu vya kuandikwa ni rubbish tu. Chochote kinaweza kuandikwa lakini kisiwe halisi.

Yote tisa, yule ni bibi, tena Kikongwe kusema ana miaka 29 ni kujaribu tu kucheza na Akili za watu.

Yote tisa, kumi ni kutafuta Kick tu.
Maimartha ni mkubwa kwangu sanaaa nakumbuka waktinwa ule wanatangaza ule mchezo wa bahati nasibu mie nilikua primary yy akiwa mdada how come mm ni 30+ yy bado awe hapo???
 
Alafu uchaguzi Wa maneno alotumia bado unanipa wasi tuuu.....

*sasa* .....*sasa* ...as if izo romance zimeanza Leo teheeee teheeeee...


Jaman jaman ,,mnasema ngoma nikm malaria ,,achen kuzenguaaaa ,,Ona MTU anavyotumia nguvu kubwa kuwaaminisha kua hana !!!!..
Achen ngoma iitwe ngoma.
 
Daaaah maimartha nilianza kumsikiliza enzi zile channel 5 akiwa na beni kinyaiya mi bado nilikuwa sekondari hahah eti Leo tuna umri unaokaribiana hahahahahah daaah

Mastaaa bhana
 
Kifupi alitaka kuwaonesha watu kuwa ana mimba ya zaidi ya miez miwili.
Majibu halisi ya kupima UKIMWI huwa anapewa mhusika binafsi kwa mdomo, hizo vitu vya kuandikwa ni rubbish tu. Chochote kinaweza kuandikwa lakini kisiwe halisi.

Yote tisa, yule ni bibi, tena Kikongwe kusema ana miaka 29 ni kujaribu tu kucheza na Akili za watu.

Yote tisa, kumi ni kutafuta Kick tu.
Kweli kabisa dunia imekwisha, watu wanapunguza umri waziwazi, maimartha huyu alikuwa anatangaza kipindi na Ben kinyaiya mimi niko primary eti leo hii nimemzidi umri[emoji23] [emoji23] [emoji87] [emoji87]
 
Nilimuona huyu Bibi kwa Mara ya mwisho maeneo ya mabibo karibu na chuo cha NIT ( National Institute of Transport) akiwa kwenye gari ikifanya promo' ya kinywaji flani hiv,japo nilikuwa mdogo na nilikuwa nasoma STD VII,nilimshangaa kwa kuwa nilikuwa nikimuona kwenye TV,niligundua kuwa anamagego...,sasa nimehtim chuo kikuu na bado mwonekano wake ni uleule na miaka yake ni ileile
Hatar sana!
😀😀😀😀😱😱😱
 
Mwaka 2012 Lulu alikuwa na miaka 18 {bado kulikuwa na utata wa umri wake} leo hii ni miaka mitano imepita ambapo Lulu kwahivi sasa anakadiriwa kufika miaka 23 sikatai. Sasa tulinganishe baadhi ya vitu baina ya Maimartha na Lulu;

1. Lulu anaonekana hata magego bado hajaota / Maimartha ameshang'oa

2. Sura ya Lulu bado ni ya mid 20s / Maimartha sura yake ni ya below 40
Ndio kweli Maimartha na Lulu wawe wamepishana miaka 4?[emoji15] [emoji15]

3. Sura ya Lulu inakaa poda / Ya Maimartha inalazimishwa tu[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] Aisee

Yote kumi lakini tisa, kipindi niko shule namkumbuka Maimartha akiwa tayari anatangaza Eatv, ni miaka 12 tangu nimalize shule, leo hii mimi ni 30+ yeye bado yuko 29[emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Itakuwa anahesabu kwa kutumia miaka ya Kabla Kristu (KK)[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Hahaaaaaaa soon utampita Mwenzio atabaki hapo hapo
 
Maimartha ni mkubwa kwangu sanaaa nakumbuka waktinwa ule wanatangaza ule mchezo wa bahati nasibu mie nilikua primary yy akiwa mdada how come mm ni 30+ yy bado awe hapo???
Jackpot bingo pamoja na monalisa
 
Back
Top Bottom