Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Serikali makini popote pale duniani huwa haifanyi mabishano kwa namna yoyote ile na vyombo vya habari wala kufanya maamuzi yake kwa msingi ya hisia ama kupitia mihemko ya baadhi ya watu.....!!!!!!!!Katika siku za hivi karibuni kumekuwepo na taarifa kwenye vyombo vya habari vya Kenya na vya kimataifa hususani BBC vikielezea madai ya serikali ya Kenya kwamba serikali ya Tanzania inasaidia vyama vya upinzani nchini humo kufanya maandamano na mikutano ya kisiasa na kuvuruga amani ya nchi hiyo.Madai ya serikali ya Kenya yameenda mbali kwa kumtuhumu waziwazi Rais Magufuli kwamba wakati yeye amepiga marufuku mikutano na maandamano nchini Tanzania,anamfadhili rafiki yake Raila Odinga kuandaa maandamano haramu nchini kenya.Tunaiomba serikali yetu itoe kauli kuhusu madai haya ili kudumisha na kulinusuru shirikisho la Afrika Mashariki.
nadhani wanatafuta pa kujifichaKabisa kama ni kweli hii habari yahitaji kujibiw Coz ni ya kisiasa
Aache kuchukua hizo mbinu kwa mh kikwete achukue kwa magu!!!! Impossible
Hata Mh. Kikwete alikua swahiba wake!!?? Basi jamaa kajipanga.
Ndo mana kuna kijihari cha president wa wakikuyu kumtuhumu Huyu wakwetu