Maisha baada ya kuacha kula nyama

Maisha baada ya kuacha kula nyama

Neno kuchomoa betri limeanza baada ya Ajali ya Lori LA mafuta pale Msamvu Morogoro, MTU mjinga akachomoa betri watu wakaungua 97 wamefariki. Sasa siku hizi kuchomoa betri imekuwa kamsemo pendwa hadi magazetini. Hii ni upungufu Wa utu kwa mtumiaji Wa msemo huo. Ni kushabikia janga lililotoa roho za ndugu zetu pale msamvu morogoro. Fikiria mmoja Wa wahanga angekuwa ndugu yako Wa damu ungeshabikia msemo Wa kuchomoaa betri? Au ungekuwa eneo LA tukip ukaungua kidogo na Leo ukawa umelazwa unauguza majeraha ungeshabikia msemo huo. ? Ni kama kimbunga cha tsunami kilivyoacha msemo miaka ile nayo ilikuwa upungufu Wa ubinadamu. Watz . tuache kushabikia majanga na kugeuza msemo. Nikuakisi ukosefu mkubwa Wa ubinadamu
Yaani tuue albino ,sisi hawahawa tushabikie mmajanga yanyotoa roho , tunajenga jamii katili ya kiwango gani?
Sio suala la upungufu wa utu bali tunalitumia kuwakilisha watu wote wanaofanya au kusema mambo bila kutumia akili na hivyo kusababisha maafa au tabu kwa wengine. Imagine unakula mapapai mabichi na majani kama ngombe ili kutetea uhai wako afu mwenzako anakuambukiza ngoma! Uko ndo kuchomoa betri kwenyewe
 
Af mtu anakuja kuchomoa betri unafariki kienyejiii
Hata betri lisipochomolewa una r.i.p.
Maisha hayaeleweki haya ndio maana kuna watu wanakula vyakula vya jalalani januari hadi disemba na hawaugui hata kipindupindu.
 
Jitahidi kuwa mkarimu na mwenye msaada kwa wahitaji hasa kama una ofisi ya kuhudumia jamii kama shule hospital au ofisi zingine za serikali na binafsi kwa namna hii utakuwa na tabasamu zuri sana na maisha marefu
 
Jitahidi kuwa mkarimu na mwenye msaada kwa wahitaji hasa kama una ofisi ya kuhudumia jamii kama shule hospital au ofisi zingine za serikali na binafsi kwa namna hii utakuwa na tabasamu zuri sana na maisha marefu
Hii comment nzuri lkn haiendani na mada..unamaanisha nini kwani?
 
Kama unamfatilia sky mara nyingi huleta mada zinazohusu mtindo mzuri wa maisha unaoweza kumuepusha mtu kupata magonjwa au kuishi maisha ya huzuni
Nimechangia hivyo kama njia mojawapo ya kumfanya awe na furaha zaidi kama unazingatia mlo kamili lakini ni mtu jeuri wa visasi na mwenye kuonea wengine ni rahisi kupata msongo wa mawazo na kuishia kwenye magonjwa ambayo ulikuwa unayaepuka kwa kula nyama na vyakula hatarishi
Hii comment nzuri lkn haiendani na mada..unamaanisha nini kwani?
 
Kama unamfatilia sky mara nyingi huleta mada zinazohusu mtindo mzuri wa maisha unaoweza kumuepusha mtu kupata magonjwa au kuishi maisha ya huzuni
Nimechangia hivyo kama njia mojawapo ya kumfanya awe na furaha zaidi kama unazingatia mlo kamili lakini ni mtu jeuri wa visasi na mwenye kuonea wengine ni rahisi kupata msongo wa mawazo na kuishia kwenye magonjwa ambayo ulikuwa unayaepuka kwa kula nyama na vyakula hatarishi
ohooo.umeeleweka
 
Mwanzo nilisita sikujua options za mboga bila nyama. Baada ya kuacha kula nyama nimegundua options ni nyingi sana tena mno.

Si nyama tu bali hata vyakula vya wanga nimepunguza sana. Nina mpango wa kula mbegu za amaranth kama nafaka huko mbeleni nikibadilisha na ndizi mbichi, maboga na mapapai mabichi.

Pamoja na kula mboga ninakunywa lita mbili za maji na herbal teas. Constipation ni msamiati kwangu na uzito unaondoka wenyewe.

View attachment 1185606

Pilipili hoho na uyoga

View attachment 1185611
Bamia, nyanya, vitunguu na hoho

View attachment 1185632

Amaranth seeds zinareplace wali.
chakula chenye afya ni hicho chakula cha Amaranth grain na kipo hapo nyumbani Tanzania?
 
Mhhhh niache nyama kabisa kabisaaa?..mimi uyuu

Naachaje seafoods,Fried fishhhh uwiii
Kukuuu haswa mchemsho aka chukuchuku km ya breakpoint ilee
Ama kuku chomaa ya kienyejii

Beeffff hasa mbuziii ama beef ya foil woiiii ni ngumuu

Ntaongeza tu salads, water, wine for digestion and watch my portions baaas
 
Napenda sana kuku na samaki, siwezi kuacha kula hivyo.
Kwakuwa unapunguza uzito basi heri, mie sidhani kama nitakuja kunenepa, na nikinenepa sijui nitafanyaje maana napenda sana nyama haswa ya kuku.
Kuku na samaki hapo tupo pamoja, nyama nyekundu nimeacha rasmi
 
Mwanzo nilisita sikujua options za mboga bila nyama. Baada ya kuacha kula nyama nimegundua options ni nyingi sana tena mno.

Si nyama tu bali hata vyakula vya wanga nimepunguza sana. Nina mpango wa kula mbegu za amaranth kama nafaka huko mbeleni nikibadilisha na ndizi mbichi, maboga na mapapai mabichi.

Pamoja na kula mboga ninakunywa lita mbili za maji na herbal teas. Constipation ni msamiati kwangu na uzito unaondoka wenyewe.

View attachment 1185606

Pilipili hoho na uyoga

View attachment 1185611
Bamia, nyanya, vitunguu na hoho

View attachment 1185632

Amaranth seeds zinareplace wali.
Nazipata wapi hizi? Mi nimeacha kula wali na ugali na vyote vinavyopikwa na ngano muda mrefu
 
Mwanzo nilisita sikujua options za mboga bila nyama. Baada ya kuacha kula nyama nimegundua options ni nyingi sana tena mno.

Si nyama tu bali hata vyakula vya wanga nimepunguza sana. Nina mpango wa kula mbegu za amaranth kama nafaka huko mbeleni nikibadilisha na ndizi mbichi, maboga na mapapai mabichi.

Pamoja na kula mboga ninakunywa lita mbili za maji na herbal teas. Constipation ni msamiati kwangu na uzito unaondoka wenyewe.

View attachment 1185606

Pilipili hoho na uyoga

View attachment 1185611
Bamia, nyanya, vitunguu na hoho

View attachment 1185632

Amaranth seeds zinareplace wali.
Dr. Sebi speaks on we are not supposed to be eating meat
 
Neno kuchomoa betri limeanza baada ya Ajali ya Lori LA mafuta pale Msamvu Morogoro, MTU mjinga akachomoa betri watu wakaungua 97 wamefariki. Sasa siku hizi kuchomoa betri imekuwa kamsemo pendwa hadi magazetini. Hii ni upungufu Wa utu kwa mtumiaji Wa msemo huo. Ni kushabikia janga lililotoa roho za ndugu zetu pale msamvu morogoro. Fikiria mmoja Wa wahanga angekuwa ndugu yako Wa damu ungeshabikia msemo Wa kuchomoaa betri? Au ungekuwa eneo LA tukip ukaungua kidogo na Leo ukawa umelazwa unauguza majeraha ungeshabikia msemo huo. ? Ni kama kimbunga cha tsunami kilivyoacha msemo miaka ile nayo ilikuwa upungufu Wa ubinadamu. Watz . tuache kushabikia majanga na kugeuza msemo. Nikuakisi ukosefu mkubwa Wa ubinadamu
Yaani tuue albino ,sisi hawahawa tushabikie mmajanga yanyotoa roho , tunajenga jamii katili ya kiwango gani?


Mkuu kila neno lina sababu/chanzo chake, kiwe kimetokana na matukio mabaya au mazuri lakini ni lazima lugha ikue.
 
The Metabolism of meat causes acidic environment in the blood, the best place for bacteria to thrive.


Is it who was expelled from Zimbabwe by Mugabe after he had claimed to have got or invented a cure for HIV ??🤣🤣.
 
Back
Top Bottom