Statesmann
JF-Expert Member
- Jul 16, 2019
- 2,344
- 3,461
ukifanya hayo ndio hautakufa au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dr. Sebi speaks on we are not supposed to be eating meat
kwahyo ukila nyama ndio hauheshimu organs na uhai?Ninaheshimu organs na uhai aliyonipa Mungu. Ninautunza vizuri.
Wewe ulinunua wapi? Niko darKwenye maduka ya health foods
Kama unamfatilia sky mara nyingi huleta mada zinazohusu mtindo mzuri wa maisha unaoweza kumuepusha mtu kupata magonjwa au kuishi maisha ya huzuni
Nimechangia hivyo kama njia mojawapo ya kumfanya awe na furaha zaidi kama unazingatia mlo kamili lakini ni mtu jeuri wa visasi na mwenye kuonea wengine ni rahisi kupata msongo wa mawazo na kuishia kwenye magonjwa ambayo ulikuwa unayaepuka kwa kula nyama na vyakula hatarishi
Hivi kuna watu wanakula nyama kama wamasai hapa Tanzania mkuu?
Ebu jaribu kufuatilia life expectancy zao,halafu uje utupe mrejesho.
White meat hazina shida,.. Zingatia mboga mboga, matunda na maji mengi... Mbaya ni zile red meat...Napenda sana kuku na samaki, siwezi kuacha kula hivyo.
Kwakuwa unapunguza uzito basi heri, mie sidhani kama nitakuja kunenepa, na nikinenepa sijui nitafanyaje maana napenda sana nyama haswa ya kuku.