Uchaguzi 2020 Maisha baada ya uchaguzi!

Uchaguzi 2020 Maisha baada ya uchaguzi!

Jambo lililo ndani ya uwezo wa Mwanadamu Mungu hahusiki.
 
NASAHA MUHIMU SANA...

Maisha mazuri au mabaya hayaletwi na kiongozi, bali ni kwa yale yanayochuma mikono yetu, tubadilike na tuwe wema kwanza sisi!

Tusijidanganye kwa kura, tufanye subra na tumche Allah tumtii kiongozi tuliyepewa na tuwe waadilifu...

Kura haziwezi kumuondoa au kumweka kiongozi ila akitaka Allah yeyote yule atamuweka...

UTAPIGA KURA KWA UNAYEMTAKA, ILA HATAKUWA KIONGOZI ISIPOKUWA ALIYEMTAKA ALLAH...NA HATA KAMA AKIWA YULE ULIYEMTAKA...ALLAH HASHINDWI KUWATAABISHA JUU YA HUYO HUYO MLIYEMTAKA...

Jamani ndugu Watanzania, tusifanye majaribio ya kumbugudhi au kutaka kumuondoa Kiongozi aliye madarakani...
Hatuwezi wote kuwa viongozi, ALLAH HUMPA UONGOZI YEYOTE ANAYEMTAKA YEYE...NA ATAMUONDOA AKITAKA YEYE!
TUZIKUBALI NA KUZITII MAMLAKA ZOZOTE AMBAZO ALLAH ATAZIWEKA KWA AJILI YETU...

Inawezekana kabisa mkafanikiwa kumuondoa kiongozi aliyopo madarakani, ila kutokana na dhambi za mikono yetu ALLAH akatuletea kiongozi DHAALIM ZAIDI kuliko tuliyemtoa hata kama tumemchagua wenyewe...

Wangapi wamechagua wao wenyewe machaguo yao wenyewe wanaowapenda lakini mwisho wa siku walipoingia madarakani walikuwa waovu kuliko walivyotarajia, na walijuta juu ya yule wakitamani angerudi...?

Jamani ndugu Watanzania, tusifanye majaribio ya kumbugudhi au kutaka kumuondoa Kiongozi aliye madarakani...
Hatuwezi wote kuwa viongozi, ALLAH HUMPA UONGOZI YEYOTE ANAYEMTAKA YEYE...NA ATAMUONDOA AKITAKA YEYE!
TUZIKUBALI NA KUZITII MAMLAKA ZOZOTE AMBAZO ALLAH ATAZIWEKA KWA AJILI YETU!

Tumche allah kwa kuzitii Mamlaka alizotuwekea Allah...

TUBADILIKE KWANZA SISI WATANZANIA WENYEWE, TUACHE KUDHULUMIANA WENYEWE KWANZA, ALLAH ANATULETEA VIONGOZI WANAOENDANA NA SISI JINSI TULIVYO...

TUKIWA WAJEURI, MAJABARI, WAKOROFI BASI ATATUPA KIONGOZI AMBAYE ATAKUWA ZAIDI YETU...

TUKIWA WEZI KUIBIANA WENYEWE KWA WENYEWE ALLAH ATATULETEA MAFISADI MAJIZI MAKUBWA ZAIDI YETU...

TUTENDEANE WEMA...

TUHURUMIANE...

TUFANYIANE UADILIFU...

TUMCHE ALLAH...

#MaishaMema_BaadaYaUchaguzi
Andiko bora
Shukran Bro

Kichaa huzaa kichaa
Ni mara chache sana kichaa kutozaa kichaa

Ni kweli kabisa
Inapaswa sisi kama sisi,tuzirudi nafsi zetu,na tuwe wema mbele ya Muumba wetu

Hakika
Tutapata Kiongozi mwenye baraka na kheri

بارك الله فيكم
 
NASAHA MUHIMU SANA...

Maisha mazuri au mabaya hayaletwi na kiongozi, bali ni kwa yale yanayochuma mikono yetu, tubadilike na tuwe wema kwanza sisi!

Tusijidanganye kwa kura, tufanye subra na tumche Allah tumtii kiongozi tuliyepewa na tuwe waadilifu...

Kura haziwezi kumuondoa au kumweka kiongozi ila akitaka Allah yeyote yule atamuweka...

UTAPIGA KURA KWA UNAYEMTAKA, ILA HATAKUWA KIONGOZI ISIPOKUWA ALIYEMTAKA ALLAH...NA HATA KAMA AKIWA YULE ULIYEMTAKA...ALLAH HASHINDWI KUWATAABISHA JUU YA HUYO HUYO MLIYEMTAKA...

Jamani ndugu Watanzania, tusifanye majaribio ya kumbugudhi au kutaka kumuondoa Kiongozi aliye madarakani...
Hatuwezi wote kuwa viongozi, ALLAH HUMPA UONGOZI YEYOTE ANAYEMTAKA YEYE...NA ATAMUONDOA AKITAKA YEYE!
TUZIKUBALI NA KUZITII MAMLAKA ZOZOTE AMBAZO ALLAH ATAZIWEKA KWA AJILI YETU...

Inawezekana kabisa mkafanikiwa kumuondoa kiongozi aliyopo madarakani, ila kutokana na dhambi za mikono yetu ALLAH akatuletea kiongozi DHAALIM ZAIDI kuliko tuliyemtoa hata kama tumemchagua wenyewe...

Wangapi wamechagua wao wenyewe machaguo yao wenyewe wanaowapenda lakini mwisho wa siku walipoingia madarakani walikuwa waovu kuliko walivyotarajia, na walijuta juu ya yule wakitamani angerudi...?

Jamani ndugu Watanzania, tusifanye majaribio ya kumbugudhi au kutaka kumuondoa Kiongozi aliye madarakani...
Hatuwezi wote kuwa viongozi, ALLAH HUMPA UONGOZI YEYOTE ANAYEMTAKA YEYE...NA ATAMUONDOA AKITAKA YEYE!
TUZIKUBALI NA KUZITII MAMLAKA ZOZOTE AMBAZO ALLAH ATAZIWEKA KWA AJILI YETU!

Tumche allah kwa kuzitii Mamlaka alizotuwekea Allah...

TUBADILIKE KWANZA SISI WATANZANIA WENYEWE, TUACHE KUDHULUMIANA WENYEWE KWANZA, ALLAH ANATULETEA VIONGOZI WANAOENDANA NA SISI JINSI TULIVYO...

TUKIWA WAJEURI, MAJABARI, WAKOROFI BASI ATATUPA KIONGOZI AMBAYE ATAKUWA ZAIDI YETU...

TUKIWA WEZI KUIBIANA WENYEWE KWA WENYEWE ALLAH ATATULETEA MAFISADI MAJIZI MAKUBWA ZAIDI YETU...

TUTENDEANE WEMA...

TUHURUMIANE...

TUFANYIANE UADILIFU...

TUMCHE ALLAH...

#MaishaMema_BaadaYaUchaguzi
Tulioko rohoni tunakuelewa, walio mwilini ni wa Mwilini.
 
Hataka kama.......
Ndio ashakuwa kiongozi tayari

kinyume chake
Tutakuwa hakuna tofauti kama Libya,Iraq nk
Iraqi na Libya kulikua na Madikteta walifikiri nchi hizo ni Mali yao na Familia
Ndio walaumiwe
Hujui dini wewe
Rasulullah SAW wakati yupo Makkah kulikua na viongozi dhalim wala hakuwatii Ndio maana waislamu waliteswa sana na kule madina pia kulikua na viongozi wanafiki..... hakuwatii.........
Someni dini acheni kutoa fatwa bila elimu
 

Attachments

  • IMG_20201015_054818.jpg
    IMG_20201015_054818.jpg
    100.9 KB · Views: 2
NASAHA MUHIMU SANA...

Maisha mazuri au mabaya hayaletwi na kiongozi, bali ni kwa yale yanayochuma mikono yetu, tubadilike na tuwe wema kwanza sisi!

Tusijidanganye kwa kura, tufanye subra na tumche Allah tumtii kiongozi tuliyepewa na tuwe waadilifu...

Kura haziwezi kumuondoa au kumweka kiongozi ila akitaka Allah yeyote yule atamuweka...

UTAPIGA KURA KWA UNAYEMTAKA, ILA HATAKUWA KIONGOZI ISIPOKUWA ALIYEMTAKA ALLAH...NA HATA KAMA AKIWA YULE ULIYEMTAKA...ALLAH HASHINDWI KUWATAABISHA JUU YA HUYO HUYO MLIYEMTAKA...

Jamani ndugu Watanzania, tusifanye majaribio ya kumbugudhi au kutaka kumuondoa Kiongozi aliye madarakani...
Hatuwezi wote kuwa viongozi, ALLAH HUMPA UONGOZI YEYOTE ANAYEMTAKA YEYE...NA ATAMUONDOA AKITAKA YEYE!
TUZIKUBALI NA KUZITII MAMLAKA ZOZOTE AMBAZO ALLAH ATAZIWEKA KWA AJILI YETU...

Inawezekana kabisa mkafanikiwa kumuondoa kiongozi aliyopo madarakani, ila kutokana na dhambi za mikono yetu ALLAH akatuletea kiongozi DHAALIM ZAIDI kuliko tuliyemtoa hata kama tumemchagua wenyewe...

Wangapi wamechagua wao wenyewe machaguo yao wenyewe wanaowapenda lakini mwisho wa siku walipoingia madarakani walikuwa waovu kuliko walivyotarajia, na walijuta juu ya yule wakitamani angerudi...?

Jamani ndugu Watanzania, tusifanye majaribio ya kumbugudhi au kutaka kumuondoa Kiongozi aliye madarakani...
Hatuwezi wote kuwa viongozi, ALLAH HUMPA UONGOZI YEYOTE ANAYEMTAKA YEYE...NA ATAMUONDOA AKITAKA YEYE!
TUZIKUBALI NA KUZITII MAMLAKA ZOZOTE AMBAZO ALLAH ATAZIWEKA KWA AJILI YETU!

Tumche allah kwa kuzitii Mamlaka alizotuwekea Allah...

TUBADILIKE KWANZA SISI WATANZANIA WENYEWE, TUACHE KUDHULUMIANA WENYEWE KWANZA, ALLAH ANATULETEA VIONGOZI WANAOENDANA NA SISI JINSI TULIVYO...

TUKIWA WAJEURI, MAJABARI, WAKOROFI BASI ATATUPA KIONGOZI AMBAYE ATAKUWA ZAIDI YETU...

TUKIWA WEZI KUIBIANA WENYEWE KWA WENYEWE ALLAH ATATULETEA MAFISADI MAJIZI MAKUBWA ZAIDI YETU...

TUTENDEANE WEMA...

TUHURUMIANE...

TUFANYIANE UADILIFU...

TUMCHE ALLAH...

#MaishaMema_BaadaYaUchaguzi
Aliyekuelewa atueleweshe please.
 
Wewe nenda msikitini kafanya adhkaar
Sisi tuache tupambane na mtu dhalim
Eti hata akiiba Ndio kachaguliwa....
Sasa je yakitokea machafuko halafu rais fake (feki) akapinduliwa akaja Rais mwingine tumtii yule wa kwanza au wa pili?
Yaani dah,ndo matokeo ya kusoma elimu akhera haya.
 
Lissu ni msaliti wa Nchi km huyo na anatesa Watanzania kwa kufundisha tabia chafu
Maana lissu anatesa wapinzani na kuwatishia jela??
Huyu alikua kiburi kama kafiri fulani anafikiri nchi Mali yake
 
NASAHA MUHIMU SANA...

Maisha mazuri au mabaya hayaletwi na kiongozi, bali ni kwa yale yanayochuma mikono yetu, tubadilike na tuwe wema kwanza sisi!

Tusijidanganye kwa kura, tufanye subra na tumche Allah tumtii kiongozi tuliyepewa na tuwe waadilifu...

Kura haziwezi kumuondoa au kumweka kiongozi ila akitaka Allah yeyote yule atamuweka...

UTAPIGA KURA KWA UNAYEMTAKA, ILA HATAKUWA KIONGOZI ISIPOKUWA ALIYEMTAKA ALLAH...NA HATA KAMA AKIWA YULE ULIYEMTAKA...ALLAH HASHINDWI KUWATAABISHA JUU YA HUYO HUYO MLIYEMTAKA...

Jamani ndugu Watanzania, tusifanye majaribio ya kumbugudhi au kutaka kumuondoa Kiongozi aliye madarakani...
Hatuwezi wote kuwa viongozi, ALLAH HUMPA UONGOZI YEYOTE ANAYEMTAKA YEYE...NA ATAMUONDOA AKITAKA YEYE!
TUZIKUBALI NA KUZITII MAMLAKA ZOZOTE AMBAZO ALLAH ATAZIWEKA KWA AJILI YETU...

Inawezekana kabisa mkafanikiwa kumuondoa kiongozi aliyopo madarakani, ila kutokana na dhambi za mikono yetu ALLAH akatuletea kiongozi DHAALIM ZAIDI kuliko tuliyemtoa hata kama tumemchagua wenyewe...

Wangapi wamechagua wao wenyewe machaguo yao wenyewe wanaowapenda lakini mwisho wa siku walipoingia madarakani walikuwa waovu kuliko walivyotarajia, na walijuta juu ya yule wakitamani angerudi...?

Jamani ndugu Watanzania, tusifanye majaribio ya kumbugudhi au kutaka kumuondoa Kiongozi aliye madarakani...
Hatuwezi wote kuwa viongozi, ALLAH HUMPA UONGOZI YEYOTE ANAYEMTAKA YEYE...NA ATAMUONDOA AKITAKA YEYE!
TUZIKUBALI NA KUZITII MAMLAKA ZOZOTE AMBAZO ALLAH ATAZIWEKA KWA AJILI YETU!

Tumche allah kwa kuzitii Mamlaka alizotuwekea Allah...

TUBADILIKE KWANZA SISI WATANZANIA WENYEWE, TUACHE KUDHULUMIANA WENYEWE KWANZA, ALLAH ANATULETEA VIONGOZI WANAOENDANA NA SISI JINSI TULIVYO...

TUKIWA WAJEURI, MAJABARI, WAKOROFI BASI ATATUPA KIONGOZI AMBAYE ATAKUWA ZAIDI YETU...

TUKIWA WEZI KUIBIANA WENYEWE KWA WENYEWE ALLAH ATATULETEA MAFISADI MAJIZI MAKUBWA ZAIDI YETU...

TUTENDEANE WEMA...

TUHURUMIANE...

TUFANYIANE UADILIFU...

TUMCHE ALLAH...

#MaishaMema_BaadaYaUchaguzi
kiongozi tupewe na Mungu sio Tupewe na NEC"
 
NASAHA MUHIMU SANA...

Maisha mazuri au mabaya hayaletwi na kiongozi, bali ni kwa yale yanayochuma mikono yetu, tubadilike na tuwe wema kwanza sisi!

Tusijidanganye kwa kura, tufanye subra na tumche Allah tumtii kiongozi tuliyepewa na tuwe waadilifu...

Kura haziwezi kumuondoa au kumweka kiongozi ila akitaka Allah yeyote yule atamuweka...

UTAPIGA KURA KWA UNAYEMTAKA, ILA HATAKUWA KIONGOZI ISIPOKUWA ALIYEMTAKA ALLAH...NA HATA KAMA AKIWA YULE ULIYEMTAKA...ALLAH HASHINDWI KUWATAABISHA JUU YA HUYO HUYO MLIYEMTAKA...

Jamani ndugu Watanzania, tusifanye majaribio ya kumbugudhi au kutaka kumuondoa Kiongozi aliye madarakani...
Hatuwezi wote kuwa viongozi, ALLAH HUMPA UONGOZI YEYOTE ANAYEMTAKA YEYE...NA ATAMUONDOA AKITAKA YEYE!
TUZIKUBALI NA KUZITII MAMLAKA ZOZOTE AMBAZO ALLAH ATAZIWEKA KWA AJILI YETU...

Inawezekana kabisa mkafanikiwa kumuondoa kiongozi aliyopo madarakani, ila kutokana na dhambi za mikono yetu ALLAH akatuletea kiongozi DHAALIM ZAIDI kuliko tuliyemtoa hata kama tumemchagua wenyewe...

Wangapi wamechagua wao wenyewe machaguo yao wenyewe wanaowapenda lakini mwisho wa siku walipoingia madarakani walikuwa waovu kuliko walivyotarajia, na walijuta juu ya yule wakitamani angerudi...?

Jamani ndugu Watanzania, tusifanye majaribio ya kumbugudhi au kutaka kumuondoa Kiongozi aliye madarakani...
Hatuwezi wote kuwa viongozi, ALLAH HUMPA UONGOZI YEYOTE ANAYEMTAKA YEYE...NA ATAMUONDOA AKITAKA YEYE!
TUZIKUBALI NA KUZITII MAMLAKA ZOZOTE AMBAZO ALLAH ATAZIWEKA KWA AJILI YETU!

Tumche allah kwa kuzitii Mamlaka alizotuwekea Allah...

TUBADILIKE KWANZA SISI WATANZANIA WENYEWE, TUACHE KUDHULUMIANA WENYEWE KWANZA, ALLAH ANATULETEA VIONGOZI WANAOENDANA NA SISI JINSI TULIVYO...

TUKIWA WAJEURI, MAJABARI, WAKOROFI BASI ATATUPA KIONGOZI AMBAYE ATAKUWA ZAIDI YETU...

TUKIWA WEZI KUIBIANA WENYEWE KWA WENYEWE ALLAH ATATULETEA MAFISADI MAJIZI MAKUBWA ZAIDI YETU...

TUTENDEANE WEMA...

TUHURUMIANE...

TUFANYIANE UADILIFU...

TUMCHE ALLAH...

#MaishaMema_BaadaYaUchaguzi
Sasa ALLAH mnamsingizia mambo mengine kwa hiyo unataka kuniambia ALLAH ndie alimchagua Al-Alhad Mussa kuwa Sheikh Mkuu wa wanafiki wa BAKWATA Dar es Salaam?
 
Mimi sipo na BAKWATA(kwanza SIWAPENDI)...Na wala sipo upande wa PONDA(wala simuungi mkono vilevile)...

Na wala mimi sio CCM wala CHADEMA...Na uchaguzi huu haunihusu...

Kinachonihusu ni maisha yetu binafsi baada ya kuwapigania matumbo ya watu...

Hakuna anayeingia kwenye uongozi kwa maslahi ya mtu hata siku moja. .
Uchaguzi utakuhusu tu utake usitake, utakuhusu tu. Mazingira yanayokuzunguka yapo mikononi mwa wanasiasa.
 
Back
Top Bottom