Uchaguzi 2020 Maisha baada ya uchaguzi!

Uchaguzi 2020 Maisha baada ya uchaguzi!

Lissu ni msaliti wa Nchi km huyo na anatesa Watanzania kwa kufundisha tabia chafuAbas
Albashiir hajawahi kua msaliti wala hajawahi kuwafundisaha watu wa Sudan mchezo mbaya
Ila alikua kiongozi katili anaetesa wapinzani na kuwauwa kama kafiri fulani unamjua kwa ukatili wake hapa kwetu
 
Chief
acha hasira

Unapomzungumzia Mtume wa Allah ﷺ ni lazima uwe makini na ushahidi sahihi....
Mtume ﷺ alipokuwa Makka,aliteswa yeye na Maswahaba wake,hawakuweza kufanya kitu,Bali alibaki akifundisha na kutoa muongozo sahihi kwa Umma wake

Mpaka alipokwenda Madina
Madina,alikutana na Tawala na magomvi yao,ila yeye alitengeneza Serikali yake,kwakuwa alikuwa na nguvu ya kutosha kwa wakati ule na sehemu ile husika(Madina)

Ama kuhusu utiifu juu ya Kiongozi(Hata akiwa Dhalimu)ni jambo tulilo amrishwa na Sheria yetu(muda wa kuwa hatuna nguvu ya kumtoa...na kuchelea madhara makubwa zaidi kama vile uvunjifu wa amani,umwagaji wa damu nk)

Angalia Hadithi hii Chief
حديث حذيفة رضي الله عنه لما قال لرسول الله صلى الله عليه وسلم كيف اصنع يا رسول الله إن أدركت ذلك يعني ما يقع من جور الولاة وظلمهم قال: تسمع وتطيع للأمير وأن ضرب ظهرك وأخذ مالك (مسلم)

Swahaba wa Mtume wa Allah
Hudhayfah
anaelezea jinsi maongezi baina yake na Mtume wa Allah Sala na Salamu ziwe juu yake,pale kiongozi anapokuwa Muovu(Dhaalim)

Mtume wa Allah ﷺ
Jilazimishe na usiku na utiifu kwa Kiongozi,Hata kama atapiga Mgongo wako na kuchukua Mali yako.....

Hali hii
Ni pale unapohisi unyonge na huna nguvu za kupambana
Hali hii
Ni pale unapohisi hatari zaidi,pale unapomuasi kiongozi
Hali hii
Ni pale,unapoangalia hasara na faida na kumkataa Kiongozi na kumnyooshea Silaha au Kidole

Tunachopaswa sisi kama Watanzania
Ni amani na utulivu

Kisha
tujiangalie kwa makini,ni wapi tumekosea...ili tuweze kurekebisha makosa yetu

Hakika
Kiongozi hutengenezwa na Jamii
Jamii salama,hutengeneza Kiongozi mwema na mwenye huruma

Shukran
Iraqi na Libya kulikua na Madikteta walifikiri nchi hizo ni Mali yao na Familia
Ndio walaumiwe
Hujui dini wewe
Rasulullah SAW wakati yupo Makkah kulikua na viongozi dhalim wala hakuwatii Ndio maana waislamu waliteswa sana na kule madina pia kulikua na viongozi wanafiki..... hakuwatii.........
Someni dini acheni kutoa fatwa bila elimu
 
Sasa Kwanini lissu ameamua kusaliti Nchi ?

Kwanini anasema mashoga wasibugudhiwe
Albashiir hajawahi kua msaliti wala hajawahi kuwafundisaha watu wa Sudan mchezo mbaya
Ila alikua kiongozi katili anaetesa wapinzani na kuwauwa kama kafiri fulani unamjua kwa ukatili wake hapa kwetu
 
Chief
acha hasira

Unapomzungumzia Mtume wa Allah ﷺ ni lazima uwe makini na ushahidi sahihi....
Mtume ﷺ alipokuwa Makka,aliteswa yeye na Maswahaba wake,hawakuweza kufanya kitu,Bali alibaki akifundisha na kutoa muongozo sahihi kwa Umma wake

Mpaka alipokwenda Madina
Madina,alikutana na Tawala na magomvi yao,ila yeye alitengeneza Serikali yake,kwakuwa alikuwa na nguvu ya kutosha kwa wakati ule na sehemu ile husika(Madina)

Ama kuhusu utiifu juu ya Kiongozi(Hata akiwa Dhalimu)ni jambo tulilo amrishwa na Sheria yetu(muda wa kuwa hatuna nguvu ya kumtoa...na kuchelea madhara makubwa zaidi kama vile uvunjifu wa amani,umwagaji wa damu nk)

Angalia Hadithi hii Chief
حديث حذيفة رضي الله عنه لما قال لرسول الله صلى الله عليه وسلم كيف اصنع يا رسول الله إن أدركت ذلك يعني ما يقع من جور الولاة وظلمهم قال: تسمع وتطيع للأمير وأن ضرب ظهرك وأخذ مالك (مسلم)

Swahaba wa Mtume wa Allah
Hudhayfah
anaelezea jinsi maongezi baina yake na Mtume wa Allah Sala na Salamu ziwe juu yake,pale kiongozi anapokuwa Muovu(Dhaalim)

Mtume wa Allah ﷺ
Jilazimishe na usiku na utiifu kwa Kiongozi,Hata kama atapiga Mgongo wako na kuchukua Mali yako.....

Hali hii
Ni pale unapohisi unyonge na huna nguvu za kupambana
Hali hii
Ni pale unapohisi hatari zaidi,pale unapomuasi kiongozi
Hali hii
Ni pale,unapoangalia hasara na faida na kumkataa Kiongozi na kumnyooshea Silaha au Kidole

Tunachopaswa sisi kama Watanzania
Ni amani na utulivu

Kisha
tujiangalie kwa makini,ni wapi tumekosea...ili tuweze kurekebisha makosa yetu

Hakika
Kiongozi hutengenezwa na Jamii
Jamii salama,hutengeneza Kiongozi mwema na mwenye huruma

Shukran
Peleka Fatwa za Ulamaa wa NAJD huko
Ndio maana mmeamua kuwatelekeza Palestinian na Masjid Aqsa
Wewe nenda na wanafiki wenzenu wa NAJD kama Abuu khadija n, k
Rasulullah SAW wakati yupo makkah hajawahi kuwaambia maswahaba wawatii madhalim Bali aliwaambia wafanye subira na hijra.... hijira ya kwanza ilikua kwenda habasha kwa Mfalme najash.... Unajua historia mpaka makafiri waliwafuata swahaba kule habasha
Rasulullah SAW alipoenda madina alimkuta mtu anaitwa Abdallah Bin Ubbayah Bin Saluul kuwa tayari amechaguliwa kuwa Ndio mtawala wa madina.....
Mbona Rasulullah SAW hakumtii na hakuamrisha watu wamtii
Yaani uislamu wa kinafiki na wa kinyonge mlionao ninyi kama sahaba wangekua kama ninyi wala tusingepata Khilafa na Uislamu ungeisha
 
Sasa Kwanini lissu ameamua kusaliti Nchi ?

Kwanini anasema mashoga wasibugudhiwe
Hizo ni tuhuma za kuwaambia darasa la saba
Amesaliti kitu gani?
Ushahidi tafadhali....
Wapi kasema mashoga wapewe haki...
Ushahidi tafadhali....
Ushahidi mkubwa wa makafiri mnasema eti kwa sababu atawaachia mashekh wetu Ndio mnazuzuka maana mnajua atavuna kura nyingi za waislam...
Je uliona Kwetu Tanga yaliojiri?
Waislamu hawadanganywi Tena tupo kwenye digital ✌️✌️😜😜😜
 
Peleka Fatwa za Ulamaa wa NAJD huko
Ndio maana mmeamua kuwatelekeza Palestinian na Masjid Aqsa
Wewe nenda na wanafiki wenzenu wa NAJD kama Abuu khadija n, k
Rasulullah SAW wakati yupo makkah hajawahi kuwaambia maswahaba wawatii madhalim Bali aliwaambia wafanye subira na hijra.... hijira ya kwanza ilikua kwenda habasha kwa Mfalme najash.... Unajua historia mpaka makafiri waliwafuata swahaba kule habasha
Rasulullah SAW alipoenda madina alimkuta mtu anaitwa Abdallah Bin Ubbayah Bin Saluul kuwa tayari amechaguliwa kuwa Ndio mtawala wa madina.....
Mbona Rasulullah SAW hakumtii na hakuamrisha watu wamtii
Yaani uislamu wa kinafiki na wa kinyonge mlionao ninyi kama sahaba wangekua kama ninyi wala tusingepata Khilafa na Uislamu ungeisha
Duh....
Mpaka aibu Chief
Nimekuletea mpaka andiko Ndg yangu...!!!

Kisha
Kuwa mstaarabu katika maandishi yako na maneno yako.....
Style uliyo nayo...ni hatari Bro kwa future yako

Ila
Tuseme yamekwisha
Barikiwa sana ndugu yangu
 
Mimi sipo na BAKWATA(kwanza SIWAPENDI)...Na wala sipo upande wa PONDA(wala simuungi mkono vilevile)...

Na wala mimi sio CCM wala CHADEMA...Na uchaguzi huu haunihusu...

Kinachonihusu ni maisha yetu binafsi baada ya kuwapigania matumbo ya watu...

Hakuna anayeingia kwenye uongozi kwa maslahi ya mtu hata siku moja. .
Usikubali kudanganywa na waliodanganyika!!,
 
NASAHA MUHIMU SANA...

Maisha mazuri au mabaya hayaletwi na kiongozi, bali ni kwa yale yanayochuma mikono yetu, tubadilike na tuwe wema kwanza sisi!

Tusijidanganye kwa kura, tufanye subra na tumche Allah tumtii kiongozi tuliyepewa na tuwe waadilifu...

Kura haziwezi kumuondoa au kumweka kiongozi ila akitaka Allah yeyote yule atamuweka...

UTAPIGA KURA KWA UNAYEMTAKA, ILA HATAKUWA KIONGOZI ISIPOKUWA ALIYEMTAKA ALLAH...NA HATA KAMA AKIWA YULE ULIYEMTAKA...ALLAH HASHINDWI KUWATAABISHA JUU YA HUYO HUYO MLIYEMTAKA...

Jamani ndugu Watanzania, tusifanye majaribio ya kumbugudhi au kutaka kumuondoa Kiongozi aliye madarakani...
Hatuwezi wote kuwa viongozi, ALLAH HUMPA UONGOZI YEYOTE ANAYEMTAKA YEYE...NA ATAMUONDOA AKITAKA YEYE!
TUZIKUBALI NA KUZITII MAMLAKA ZOZOTE AMBAZO ALLAH ATAZIWEKA KWA AJILI YETU...

Inawezekana kabisa mkafanikiwa kumuondoa kiongozi aliyopo madarakani, ila kutokana na dhambi za mikono yetu ALLAH akatuletea kiongozi DHAALIM ZAIDI kuliko tuliyemtoa hata kama tumemchagua wenyewe...

Wangapi wamechagua wao wenyewe machaguo yao wenyewe wanaowapenda lakini mwisho wa siku walipoingia madarakani walikuwa waovu kuliko walivyotarajia, na walijuta juu ya yule wakitamani angerudi...?

Jamani ndugu Watanzania, tusifanye majaribio ya kumbugudhi au kutaka kumuondoa Kiongozi aliye madarakani...
Hatuwezi wote kuwa viongozi, ALLAH HUMPA UONGOZI YEYOTE ANAYEMTAKA YEYE...NA ATAMUONDOA AKITAKA YEYE!
TUZIKUBALI NA KUZITII MAMLAKA ZOZOTE AMBAZO ALLAH ATAZIWEKA KWA AJILI YETU!

Tumche allah kwa kuzitii Mamlaka alizotuwekea Allah...

TUBADILIKE KWANZA SISI WATANZANIA WENYEWE, TUACHE KUDHULUMIANA WENYEWE KWANZA, ALLAH ANATULETEA VIONGOZI WANAOENDANA NA SISI JINSI TULIVYO...

TUKIWA WAJEURI, MAJABARI, WAKOROFI BASI ATATUPA KIONGOZI AMBAYE ATAKUWA ZAIDI YETU...

TUKIWA WEZI KUIBIANA WENYEWE KWA WENYEWE ALLAH ATATULETEA MAFISADI MAJIZI MAKUBWA ZAIDI YETU...

TUTENDEANE WEMA...

TUHURUMIANE...

TUFANYIANE UADILIFU...

TUMCHE ALLAH...

#MaishaMema_BaadaYaUchaguzi
Nilichokiona ni umeandika "ALLAH" mara 13.
Waovu wote duniani hujificha kwenye mwamvuli wa "ucha Mungu".
 
Back
Top Bottom