Maisha bila Mungu yamekuwa ya amani na furaha

Maisha bila Mungu yamekuwa ya amani na furaha

Miaka inazidi songa na shetani anazidi kujitwalia wafuasi.
 
Miaka inazidi songa na shetani anazidi kujitwalia wafuasi.
Huyo Mungu Alishindwaje kuumba Dunia isiyo na shetani?

Mungu mnayedai kwamba ni mwenye kujua yote tangu mwanzo na hata milele, Je Hakujua kwamba shetani atakuja kuwepo amdhibiti na kumzuia mapema?
 
Huyo Mungu Alishindwaje kuumba Dunia isiyo na shetani?

Mungu mnayedai kwamba ni mwenye kujua yote tangu mwanzo na hata milele, Je Hakujua kwamba shetani atakuja kuwepo amdhibiti na kumzuia mapema?
Kwani Mungu amesema shetani hakutakiwa kuwepo?
 
Kwa sasa hivi kinachokupa jeuri ni umri(ujana) na afya ngoja, sikuombei mabaya lakini ikifika wakati mwili na akili zimechoka lazima utarudi kwenye mstari tu.
Huyo Mungu anashindwa na ameshindwa kuwapatia afya njema maelfu ya wazee, watoto, wanawake na walemavu wanaokufa kila siku kwa njaa, magonjwa, vita na majanga mbalimbali ya asili duniani.

Halafu ndio unasema huyo Mungu anatoa afya?

Nakwambia hivi, Huyo Mungu anayetoa afya kwa watu hayupo na hajawahi kuwepo.

Ndio maana kuna kundi kubwa la watu ambao ni Wazee, wanawake, watoto ni wagonjwa hawana afya wanakufa kila siku kwa vile huyo Mungu anayetoa afya hayupo.
FB_IMG_1722976782305.jpg
 
Tunaweza kushuhudia ushahidi wa uwepo wa Aliens kabla ya Mungu. 🤣
 
Kwani Mungu amesema shetani hakutakiwa kuwepo?
Huyo Mungu aliyetaka shetani awepo halafu hapohapo anakulaumu wewe binadamu kwa maovu yako,

Ilihali alijua na anajua ni shetani huyohuyo ndio anafanya na kusababisha watu watende maovu, Ni Mungu Mpumbavu na mjinga sana.

Na wala hajielewi.
 
  • Kicheko
Reactions: 511
We can prove through existence of this cosmos , and we know through the experience of intelligence he has put on his cosmos
You are mixing a priori logical fallacy with non sequitur logical fallacy.

Without proving anything.
 
Huyo Mungu aliyetaka shetani awepo halafu hapohapo anakulaumu wewe binadamu kwa maovu yako,

Ilihali alijua na anajua ni shetani huyohuyo ndio anafanya na kusababisha watu watende maovu, Ni Mungu Mpumbavu na mjinga sana.

Na wala hajielewi.
Mungu hajawahi kumlaumu mwanadamu kwa maovu yake.
Ila aliamua mwenyewe kufanya upatanisho ili mwanadamu asiangamie.
 
Na wewe utakuwa kuni ya kuwashia moto.
Lamomy
Ukiwa Mkristo, unaitwa Kafiri na Waislam na lazima uende motoni. Wakristo nao wanaamini Mungu wao ndiyo wa kweli mpaka akamtoa mwanaye wa pekee kwa ajili yao, usipomuamini huyo ni motoni.

Sasa sisi wengine tumekataa pande zote. Shetani atungojee tu! 😁
 
Na kama mungu angekuwepo kwann asimuuwe shetani et amuuwe mwanae
Watu wanamfanga vibaya binti ya watu na mungu anawaangalia tuu lakkni anauwezo na anaweza kutuangalia wote kila tufanyalo kila tuwazalo, mungu anaipenda israeli tuu wengine aaaahh
 
Ukiwa Mkristo, unaitwa Kafiri na Waislam na lazima uende motoni. Wakristo nao wanaamini Mungu wao ndiyo wa kweli mpaka akamtoa mwanaye wa pekee kwa ajili yao, usipomuamini huyo ni motoni.

Sasa sisi wengine tumekataa pande zote. Shetani atungojee tu! 😁
Bro inauma sana kuwa kuni ya kuwashia moto😅
Shetani mwenyewe anatamani apate golden chance kama hii ayajenge na Mungu lakini ndio haipo tena.
 
Habari wana-JF!

Najua huu uzi wafia dini watausoma kwa kusonya ila ndiyo hivyo inabidi tuvumiliane tu.

Mimi nimekulia katika Ukristo, sijaukana ila nimeliacha kanisa kimyakimya. Baada ya kuanza kukua na kujitambua nilikuwa na maswali mengi sana juu ya nadharia zote kumuhusu Mungu na maswali yangu yote yalikuwa hayana majibu yaliyonyooka.

Baada ya udadisi wa muda mrefu nikafikia hitimisho kuwa "hakuna Mungu" kwasababu angekuwepo na majibu ya maswali yangu yangekuwepo.

Uwanda wa imani ni mpana ila ukiwa ndani ya imani chini ya tawi la dini ni mwiko kudadisi uwepo wa Mungu, huko ni "ndiyo" tu hakuna kuhoji.

Maisha baada ya kulikimbia kanisa yamekuwa na amani kwasababu:

1. Maisha yangu yapo mikononi mwangu.

2. Sina hofu juu ya kifo wala kuzimu kwasababu siamini hadithi za maisha baada ya kifo.

3. Naishi kwa kufuata katiba na sheria za nchi na si vinginevyo.

4. Siishi maisha kwaajili ya kumpendeza yoyote au kitu chochote.

5. Napata muda mwingi wa kufanya mambo ya msingi, siku ya Jumapili kwangu ni kama siku nyingine ya wiki.

6. Badala ya kuhangaika kutafuta maarifa ya maisha ya mbinguni (kusoma biblia), natafuta zaidi maarifa yatakonisaidia kwenye maisha ya hapa duniani maana ndiyo sehemu pekee ninayothibitisha ni ya kweli.

7. Najiheshimu. Kwangu kulia na kuomba msaada kwa M(i)ungu ni kutojiheshimu kama binadamu.

8. Nikipata matatizo sikai chini kuomba na kusubiri miujiza badala yake natumia maarifa niliyonayo kutafuta ufumbuzi.

9. Siishi kwa matumaini ya kuzawadiwa uzima wa milele.

10. Nimepishana na utapeli. Kama wanavyosema "wajinga ndiyo waliwao".

Siamini kama kweli Mungu yupo, lakini kama yupo hawezi kuwa mjinga kama anavyoelezewa kwenye vitabu vya dini.

Mungu hayupo, lakini kama angekuwepo hastahili utukufu wala unyenyekevu kutoka kwangu.

The sweet, sweet relief of knowing I'm going to hell no matter what I do! 🙃
Sio kila homa ni malaria.
 
Na kama mungu angekuwepo kwann asimuuwe shetani et amuuwe mwanae
Watu wanamfanga vibaya binti ya watu na mungu anawaangalia tuu lakkni anauwezo na anaweza kutuangalia wote kila tufanyalo kila tuwazalo, mungu anaipenda israeli tuu wengine aaaahh
Mungu anawapenda wanadamu wote.
Israel ni kama airport tu kama ilivyo macca
 
Mungu hajawahi kumlaumu mwanadamu kwa maovu yake.
Ila aliamua mwenyewe kufanya upatanisho ili mwanadamu asiangamie.
Mwanadamu Asiangamie na nini?

Kuangamia huko kulitokana na nini?

Kwa nini huyo Mungu aliumba binadamu wenye kuangamia?

Ilhali aliweza kuumba binadamu wasioweza kuangamia?

Hivi huyo Mungu anajielewa kweli?
 
Back
Top Bottom