Maisha bila Mungu yamekuwa ya amani na furaha

Maisha bila Mungu yamekuwa ya amani na furaha

Kuamini unaweza kuamini hata uongo, Lakini ili kujua kwamba unacho kiamini ni kweli kipo lazima utoe uthibitisho ili tuhakikishe.
Ndio maana amekwambia ni jambo personal,

Yeye binafsi alishajithibitishia, hivyo wewe kuita ni imani ya uongo haibadili kitu chochote kwake


Mimi nkikutana na mbwa mwenye miguu nane nkaja kuieleza jamii nmekutana na mbwa mwenye miguu nane hata wakatae ikiwezekana kuniua kabisa haitobadili ukweli kuwa nlikutana na mbwa wa miguu nane
 
Ndio maana amekwambia ni jambo personal,

Yeye binafsi alishajithibitishia, hivyo wewe kuita ni imani ya uongo haibadili kitu chochote kwake
Alijithibitisha lini?

Tarehe ngapi?

Mwezi gani?

Mwaka gani?

Na muda gani exactly?
Mimi nkikutana na mbwa mwenye miguu nane nkaja kuieleza jamii nmekutana na mbwa mwenye miguu nane hata wakatae ikiwezekana kuniua kabisa haitobadili ukweli kuwa nlikutana na mbwa wa miguu nane
Lazima uelezee huyo mbwa ulikutana naye wapi?

Lini? Tarehe ipi? Mwezi upi? Mwaka upi?

Na muda upi exactly uliokutana na huyo mbwa?
 
Alijithibitisha lini?

Tarehe ngapi?

Mwezi gani?

Mwaka gani?

Na muda gani exactly?

Lazima uelezee huyo mbwa ulikutana naye wapi?

Lini? Tarehe ipi? Mwezi upi? Mwaka upi?

Na muda upi exactly uliokutana na huyo mbwa?
Soma upya maelezo yangu utanielewa.
 
Soma upya maelezo yangu utanielewa.
Hujibu ulicho ulizwa, unajibu usivyo ulizwa.

Ulimuona wapi huyo Mungu akijithibitisha yeye binafsi?

Ulimuona lini huyo Mungu akijithibitisha yeye binafsi?

Tarehe ngapi?
Mwezi gani?
Mwaka gani?

Na muda gani exactly?
 
Ndio maana amekwambia ni jambo personal,

Yeye binafsi alishajithibitishia, hivyo wewe kuita ni imani ya uongo haibadili kitu chochote kwake


Mimi nkikutana na mbwa mwenye miguu nane nkaja kuieleza jamii nmekutana na mbwa mwenye miguu nane hata wakatae ikiwezekana kuniua kabisa haitobadili ukweli kuwa nlikutana na mbwa wa miguu nane
Jambo personal mtu anaweza ku hallucinate akaona kitu ambacho hakipo kipo.

Unaweza vipi kuthibitisha Mungu yupo kweli, objectively, kwa ukweli ambao ni ule ule kwa watu wote, si habari za kuungaunga za personal experience?
 
Hujibu ulicho ulizwa, unajibu usivyo ulizwa.

Ulimuona wapi huyo Mungu akijithibitisha yeye binafsi?

Ulimuona lini huyo Mungu akijithibitisha yeye binafsi?

Tarehe ngapi?
Mwezi gani?
Mwaka gani?

Na muda gani exactly?
Nlimuona Goba tarehe 12/12/1997
 
Jambo personal mtu anaweza ku hallucinate akaona kitu ambacho hakipo kipo.

Unaweza vipi kuthibitisha Mungu yupo kweli, objectively, kwa ukweli ambao ni ule ule kwa watu wote, si habari za kuungaunga za personal experience?
Jambo personal mtu anaweza ku hallucinate akaona kitu ambacho hakipo kipo.

Unaweza vipi kuthibitisha Mungu yupo kweli, objectively, kwa ukweli ambao ni ule ule kwa watu wote, si habari za kuungaunga za personal experience?
Maelezo ya Smartkhan yalijitosheleza rudi ukasome upya uelewe.
 
Maelezo ya Smartkhan yalijitosheleza rudi ukasome upya uelewe.

Maelezo gani? Hayana post number? Hayana link?

Jambo personal mtu anaweza ku hallucinate akaona kitu ambacho hakipo kipo.

Unaweza vipi kuthibitisha Mungu yupo kweli, objectively, kwa ukweli ambao ni ule ule kwa watu wote, si habari za kuungaunga za personal experience?
 
Maelezo gani? Hayana post number? Hayana link?

Jambo personal mtu anaweza ku hallucinate akaona kitu ambacho hakipo kipo.

Unaweza vipi kuthibitisha Mungu yupo kweli, objectively, kwa ukweli ambao ni ule ule kwa watu wote, si habari za kuungaunga za personal experience?
Unataka uthibitisho wa aina gani ?
 
Maelezo gani? Hayana post number? Hayana link?

Jambo personal mtu anaweza ku hallucinate akaona kitu ambacho hakipo kipo.

Unaweza vipi kuthibitisha Mungu yupo kweli, objectively, kwa ukweli ambao ni ule ule kwa watu wote, si habari za kuungaunga za personal experience?
Npe sababu 1 ni kwanini unataka kuthibitishiwa ?

Pili, Kama huwa unasikia kuhusu Mungu je umewahi kufanya jitihada zako binafsi kumjua Mungu ?
 
Npe sababu 1 ni kwanini unataka kuthibitishiwa ?

Pili, Kama huwa unasikia kuhusu Mungu je umewahi kufanya jitihada zako binafsi kumjua Mungu ?
Nataka uthibitisho uwekwe wazi ili tujue uweli ni upi na uongo ni upi.

Nimefanya jitihada binafsi. Nimesoma

Biblia
Quran
Torah
Talmud
Ahura Mazda
Bhagavad Gita
Vedas
Dhammapada
Tripitaka
Uppnishads
Tao Te Ching
Tibetan Book Of The Dead
Egyptian Book of The Dead
The Norton Anthology if World Religions
Philosophy of Religion An Anthology

Just to mention a few.

Kati ya hivyo, wewe umesoma vingapi?
 
Nataka uthibitisho uwekwe wazi ili tujue uweli ni upi na uongo ni upi.

Nimefanya jitihada binafsi. Nimesoma

Biblia
Quran
Torah
Talmud
Ahura Mazda
Bhagavad Gita
Vedas
Dhammapada
Tripitaka
Uppnishads
Tao Te Ching
Tibetan Book Of The Dead
Egyptian Book of The Dead
The Norton Anthology if World Religions
Philosophy of Religion An Anthology

Just to mention a few.

Kati ya hivyo, wewe umesoma vingapi?
Mungu hayupo kwenye hivyo vitabu,

Kwenye hivyo vitabu nachambua vitu vichache vinavyonifaa kutokana na nyakati ambayo nipo, kwahiyo hivyo vitabu sio vipaumbele kwa upande wangu
 
Mungu hayupo kwenye hivyo vitabu,

Kwenye hivyo vitabu nachambua vitu vichache vinavyonifaa kutokana na nyakati ambayo nipo, kwahiyo hivyo vitabu sio vipaumbele kwa upande wangu
Ni kweli Mungu hayupo kwenye hivyo vitabu.

Kwa sababu hayupo.

Ukibisha, thibitisha yupo.
 
Uthibitisho wenye logical consistency na usioweza kuwa contradicted logically.
Mtu ambae anaweza kuthibitisha ni wewe mwenyewe ( Najua hautanielewa hapa )

Lakini utaweza kama utaamua kufuata kanuni za kuthibitisha
 
Mtu ambae anaweza kuthibitisha ni wewe mwenyewe ( Najua hautanielewa hapa )

Lakini utaweza kama utaamua kufuata kanuni za kuthibitisha
Kutoelewa chochote, popote, muda wowote, kwa kiumbe chochote, ni uthibitisho kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, hayupo.
 
Kutoelewa chochote, popote, muda wowote, kwa kiumbe chochote, ni uthibitisho kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, hayupo.
Lakini utaweza kama utaamua kufuata kanuni za kuthibitisha
 
Lakini utaweza kama utaamua kufuata kanuni za kuthibitisha
Yani kuhitaji kufuata kanuni yoyote nako ni uthibitisho kuwa Mungu hayupo.

Hili ni jambo ambalo, katika ulimwengu ambao Mungu huyo yupo, lilitakiwa kuwa guaranteed default ambalo halihitaji uamuzi wowote.

Ukishaona habari za kufuata kanuni ujue hilo ni changa la macho la kuficha ukweli kuwa Mungu hayupo.
 
Yani kuhitaji kufuata kanuni yoyote nako ni uthibitisho kuwa Mungu hayupo.

Hili ni jambo ambalo, katika ulimwengu ambao Mungu huyo yupo, lilitakiwa kuwa guaranteed default ambalo halihitaji uamuzi wowote.

Ukishaona habari za kufuata kanuni ujue hilo ni changa la macho la kuficha ukweli kuwa Mungu hayupo.
Ni jambo gani Duniani halihitaji kanuni ???????

Hata wewe kufanikiwa kwenye maisha utahitaji kanuni za kufuata
 
Back
Top Bottom