Maisha bila Mungu yamekuwa ya amani na furaha

Maisha bila Mungu yamekuwa ya amani na furaha

Kaniboa kweli sijui ilikuwaje mpk kasahau? 😂😂😂
Yani nimepitia uzi comments kidogo nikamuona kaka mkubwa Kiranga sijakaa vizuri nikakuona nimecheka balaaa.!!

Hapa ngoja nimalize kimeo kimoja nirudi rasmi kufatilia mchuano 😹😹😹
Wafia dini washakimbia wala hawana hoja za kujibu.

Wanajaribu kufosi mawazo yao uchwara na hekaya zao za Biblia na Quran ziwe ukweli kumbe ni takataka tu.
 
Wema wake uko wap
Mbna hamtaki kujbu swal langu
Na unavyojibu link na yanatokea dunian uko kama congo sudan palestina na israel
Dogo umesoma ukaelewa nilichokiandika lakini?kuna nilipozungumza habari za wema mimi?swali gani unataka nikujibu?mimi na wewe hakuna tulipokuwa tunaulizana maswali!!!

Una maana gani kunifananisha na hizo nchi hapo?
 
Dogo umesoma ukaelewa nilichokiandika lakini?kuna nilipozungumza habari za wema mimi?swali gani unataka nikujibu?mimi na wewe hakuna tulipokuwa tunaulizana maswali!!!

Una maana gani kunifananisha na hizo nchi hapo?
Ok sory mkuu kwa kukushtukiza
Hli ni swali nliloulza wote wanaosema mungu yupo
Pia sijajibiwa thats why na wew nimekuulza mkuu
 
Mkuu maswali yangu hawajajbu mkuu nasubli majbu lakin wap
Hawana majibu kwa vile huyo Mungu wanayedai yupo na kumhubiri yupo, Hajawahi kuwepo na hayupo kujiongelea na kujidhihirisha mwenyewe.

Wanahangaika sana kumuongelea na kumuelezea Mungu ambaye hajawahi kuwepo na hayupo kujitetea na kujidhihirisha mwenyewe kwamba yupo.

Mungu huyo angekuwepo wala kusingekuwa hata na haja ya kuhoji uwepo wake.
 
Ukija kuzeeka utakuwa lizee moja jinga sana! Nakumbuka babu yake mama alikuwa hana dini yeye alikuwa tu wa imani za kimila. Haki ya nani nyumbani kwake kulikuwa kama jehanamu. Simulizi tulizozikuta wanafamilia walikuwa wanapata suruba siyo kidogo!
Ilikuwaje Mkuu?
 
Hawana hoja za kujibu zaidi ya Viroja na mihemko yao tu.

They are not mentally enough to argue, they are only capable to
ad hominem attacks.

Hawajibu hoja ila wana mshambulia mleta hoja.
Wote mpo sahihi kwa mujibu wa nafsi zenu na ufahamu wenu.

Debate yoyote inaleta maana pale inapozidi kukinzana so bado wewe na wenzako kwa upande wenu mpo sahihi na wao kwa upande wao wapo sahihi vile vile,na mara nyingi hii mijadala hatutegemei mmoja kusema sawa kwa mwenzake kwa sababu mwisho wa siku ninyi hamtapeana adhabu.
 
You are just throwing tantrums.

Unataka nikubaliane na uongo wako?

Thibitisha uwepo wa ulimwengu wa roho.

Sio kuleta stori zako uchwara za vilabuni huko.
You are just throwing tantrums.

Unataka nikubaliane na uongo wako?

Thibitisha uwepo wa ulimwengu wa roho.

Sio kuleta stori zako uchwara za vilabuni huko.
Nkikuita wewe ni mpumbavu haswa ntakua sijakosea, Nmekwambia twende huko kuna mambo ukayashuhudie lakini bado unaleta maneno maneno
 
Mkuu,nenda nao taratibu hakuna haja ya kuwatukana.

Mimi naamini kwenye uhuru wa mtu ikiwa wao wameona hakuna Mungu sijui hakuna dini au uchawi or whatever hiyo ni juu yao ikitambulika zaidi kwamba kila mtu alikuja peke yake na ataondoka peke yake tuwaache soon kila mmoja wetu ataenda kuthibitisha alichokuwa anakifanya duniani,hayupo atakaeishi miaka 200 hapa wote ni hii hii 50,66 70 42 43 etc so tupeane nafasi ya kuchagua.
Hakika, Lakini mambo mengine yanathibitishika hapa hapa bila kusubiri siku ya kufa

Na uzuri ni kwamba wao wenyewe kuna mambo wanadai uthibitisho ajabu ni kwamba unapotaka kufanya jambo la kutimiza matakwa yao bado wanaleta mapingamizi ya kijinga
 
Wote mpo sahihi kwa mujibu wa nafsi zenu na ufahamu wenu.
Usahihi wa kusema Mungu yupo Halafu kumthibitisha yupo huwezi uko wapi?

Nikisema kwamba Duniani kuna Dragons watemao moto midomoni mwao bila kuthibitisha uwepo wa Dragons🐉 hao utakubali tu bila uthibitisho?
Debate yoyote inaleta maana pale inapozidi kukinzana so bado wewe na wenzako kwa upande wenu mpo sahihi na wao kwa upande wao wapo sahihi vile vile,na mara nyingi hii mijadala hatutegemei mmoja kusema sawa kwa mwenzake kwa sababu mwisho wa siku ninyi hamtapeana adhabu.
Mtu anayedai kitu fulani kipo, Ndio anatakiwa akionyeshe kitu hicho kipoje na akithibitishe kwamba kipo kijulikane na kila mtu kipo, bila utata wowote.

Akishindwa kufanya hivyo, Ni kwamba kitu hicho hakipo ni mawazo yake tu.
 
Usahihi wa kusema Mungu yupo Halafu kumthibitisha yupo huwezi uko wapi?

Nikisema kwamba Duniani kuna Dragons watemao moto midomoni mwao bila kuthibitisha uwepo wa Dragons🐉 hao utakubali tu bila uthibitisho?

Mtu anayedai kitu fulani kipo, Ndio anatakiwa akionyeshe kitu hicho kipoje na akithibitishe kwamba kipo kijulikane na kila mtu kipo, bila utata wowote.

Akishindwa kufanya hivyo, Ni kwamba kitu hicho hakipo ni mawazo yake tu.
Akionyeshe sehemu gani au wapi ?
 
Kwenye ulimwengu huu huu uliopo.

Maana si mnadai Mungu huyo yupo.

Mueleze yuko wapi na mu mthibitishe.
Swala linalohusu mambo ya kiroho na uchawi upo, Nmekwambia twende sehemu nkakuonyeshe uchawi jinsi ulivyo unaleta bla bla,, Mnataka huo uthibitisho tuulete hapa JF au ?
 
Back
Top Bottom