Maisha bila Mungu yamekuwa ya amani na furaha

Maisha bila Mungu yamekuwa ya amani na furaha

Kila kiungo chako ulichonacho kina manufaa yake pua inanusa harufu, meno yanasagia chakula, macho yanasaidia kuona, kwanini Sasa tusingekua na kiungo kimoja tu ambacho kinafanya vitu vyote hivyo .ndio unajua kwamba Kuna designer alkaa chini akafikiria
 
Huyo daktari aliyekusaidia tatizo la kutokuona mbali, mwambie akusaidie atengeneze tu hata atengeneze jicho. Achanganye changanye anavyojua afu atutolee jicho la binadam
 
Unachanganya mambo.
Kwanza, hiyo earthism ni nini katika hii context? Ulimaanisha atheism?

Pili, kama ulimaanisha atheism, basi kwa taarifa yako, binadamu wote originally ni atheist. So, hakuna aliyeanzisha atheism.
Binadamu kama mammal mwingine yeyote amekuwa atheist mpaka pale wanadamu walivyoanza kuishi pamoja kama jumuiya,.watu wakaongezeka, hadithi zikaandikwa halafu wakatokea wajanjajanja wakaanzisha dini kwa malengo yao ya kisiasa, kiuchumi, kitamaduni n.k

Tatu, usichangange atheism na Science. Hayo ni mambo mawili tofauti. Kuhusisha uzito wa dunia au umbali wa kutoka duniani mpaka kwenye jua na atheism ni kujidhalilisha mbele ya kadamnasi.

Natumai tunaelewana.
Okay nmekuelewa sana tu kwa hiyo hufungamani na sayansi kwa namna yoyote ile si ndio?

Kama ndio unaamini how did life began?
 
Unataka Utafiti gani kwa kitu ambacho hakipo?

Wewe ndiye unayetakiwa uni prove wrong kwamba Mungu huyo hayupo.

Maana wewe ndiye unayedai Mungu huyo yupo.

Sasa thibitisha huyo Mungu yupoje, ili uni prove wrong kwamba hayupo.

Ukishindwa kuthibitisha uwepo wa huyo Mungu ni kwamba hayupo.

Utakuwa unafosi mawazo yako yasiyo na uthibitisho wowote ule wala uhalisia.
No research no right to talk
So kama huwezi kuprove absence ya MUNGU huwezi kuniambia hayupo njoo na ushahidi kwamba hayupo nikubaliane na ww
Kama unataka kujua uwepo wa MUNGU fuatilia tafiti za Isak Newtown utaelewa vzr
 
Habari wana-JF!

Najua huu uzi wafia dini watausoma kwa kusonya ila ndiyo hivyo inabidi tuvumiliane tu.

Mimi nimekulia katika Ukristo, sijaukana ila nimeliacha kanisa kimyakimya. Baada ya kuanza kukua na kujitambua nilikuwa na maswali mengi sana juu ya nadharia zote kumuhusu Mungu na maswali yangu yote yalikuwa hayana majibu yaliyonyooka.

Baada ya udadisi wa muda mrefu nikafikia hitimisho kuwa "hakuna Mungu" kwasababu angekuwepo na majibu ya maswali yangu yangekuwepo.

Uwanda wa imani ni mpana ila ukiwa ndani ya imani chini ya tawi la dini ni mwiko kudadisi uwepo wa Mungu, huko ni "ndiyo" tu hakuna kuhoji.

Maisha baada ya kulikimbia kanisa yamekuwa na amani kwasababu:

1. Maisha yangu yapo mikononi mwangu.

2. Sina hofu juu ya kifo wala kuzimu kwasababu siamini hadithi za maisha baada ya kifo.

3. Naishi kwa kufuata katiba na sheria za nchi na si vinginevyo.

4. Siishi maisha kwaajili ya kumpendeza yoyote au kitu chochote.

5. Napata muda mwingi wa kufanya mambo ya msingi, siku ya Jumapili kwangu ni kama siku nyingine ya wiki.

6. Badala ya kuhangaika kutafuta maarifa ya maisha ya mbinguni (kusoma biblia), natafuta zaidi maarifa yatakonisaidia kwenye maisha ya hapa duniani maana ndiyo sehemu pekee ninayothibitisha ni ya kweli.

7. Najiheshimu. Kwangu kulia na kuomba msaada kwa M(i)ungu ni kutojiheshimu kama binadamu.

8. Nikipata matatizo sikai chini kuomba na kusubiri miujiza badala yake natumia maarifa niliyonayo kutafuta ufumbuzi.

9. Siishi kwa matumaini ya kuzawadiwa uzima wa milele.

10. Nimepishana na utapeli. Kama wanavyosema "wajinga ndiyo waliwao".

Siamini kama kweli Mungu yupo, lakini kama yupo hawezi kuwa mjinga kama anavyoelezewa kwenye vitabu vya dini.

Mungu hayupo, lakini kama angekuwepo hastahili utukufu wala unyenyekevu kutoka kwangu.

The sweet, sweet relief of knowing I'm going to hell no matter what I do! 🙃
Hiyo sentensi yako mwisho inaonesha dhahiri una ugonjwa wa afya ya akili u dont believe in God how come u are believing in hell.
 
Science ni proven facts tu! Ni mjinga pekee ndiyo anaweza asiamini Science. Bila Science binadamu tusingeweza ku-survive kwenye uso wa Dunia.

Science inaendelea kurekebisha makosa aliyofanya Mungu mnayedai yupo. Mimi nilizaliwa na tatizo la macho (myopia) bila Science leo hii ningekuwa siwezi kuona mbali.

Science ndiyo uti wa mgongo kwenye maisha ya binadamu na itaendelea kubaki hivyo.
Sayansi haiaminiki ila unatakiwa ujue not by faith but by knowledge
If you believe in science then hamna haja ya kuacha kuamini na MUNGU
 
Hizi akili ndio zinawaongoza kulawiti na kubaka.

Mungu awafunguwe macho, usipokuwa na hofu ya Mungu wewe ni zaidi ya mnyama.
Mkuu Dini haijazui uovu wowote ule Zaidi Tu ya kukusanya maokoto.
Mfano mkoa wa mbeya si kuna nyumba za Ibada kibao lakini matendo ya kikatili yanatokea huko Je ni mangap?
Juzi hapa paroko kapigwa mvua ya miaka 30 ,kuhusika na mauaji ya Mtoto mwenye ualbino.

Mashek, maostadhi ,Padre wangapi wamefunguliwa mashitaka ya ulawiti na ubakaji?.

Cha msingi ni watu kupewa Elimu ya siha njema, Sheria, ustawi wa Jamii. Ili Jamii iweze kuendelea ni lazima wananchi wapate Elimu itakayo wanufaisha .
 
Thank God I'm an Atheist!

Sarcasm..... You either get it or you don't.
Thank God I'm an Atheist!

Sarcasm..... You either get it or you don't.
Sio dhambi kua adheist amani iwe nanyi
Mkuu Dini haijazui uovu wowote ule Zaidi Tu ya kukusanya maokoto.
Mfano mkoa wa mbeya si kuna nyumba za Ibada kibao lakini matendo ya kikatili yanatokea huko Je ni mangap?
Juzi hapa paroko kapigwa mvua ya miaka 30 ,kuhusika na mauaji ya Mtoto mwenye ualbino.

Mashek, maostadhi ,Padre wangapi wamefunguliwa mashitaka ya ulawiti na ubakaji?.

Cha msingi ni watu kupewa Elimu ya siha njema, Sheria, ustawi wa Jamii. Ili Jamii iweze kuendelea ni lazima wananchi wapate Elimu itakayo wanufaisha .
Padri akilala na sister haibadilishi ukatoliki
 
Mkuu Dini haijazui uovu wowote ule Zaidi Tu ya kukusanya maokoto.
Mfano mkoa wa mbeya si kuna nyumba za Ibada kibao lakini matendo ya kikatili yanatokea huko Je ni mangap?
Juzi hapa paroko kapigwa mvua ya miaka 30 ,kuhusika na mauaji ya Mtoto mwenye ualbino.

Mashek, maostadhi ,Padre wangapi wamefunguliwa mashitaka ya ulawiti na ubakaji?.

Cha msingi ni watu kupewa Elimu ya siha njema, Sheria, ustawi wa Jamii. Ili Jamii iweze kuendelea ni lazima wananchi wapate Elimu itakayo wanufaisha .
Nazungumzia hofu ya Mungu, sizungumzii dini, dini tunajuwa ni miradi ya watu.
 
Back
Top Bottom