Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Okay nmekuelewa sana tu kwa hiyo hufungamani na sayansi kwa namna yoyote ile si ndio?Unachanganya mambo.
Kwanza, hiyo earthism ni nini katika hii context? Ulimaanisha atheism?
Pili, kama ulimaanisha atheism, basi kwa taarifa yako, binadamu wote originally ni atheist. So, hakuna aliyeanzisha atheism.
Binadamu kama mammal mwingine yeyote amekuwa atheist mpaka pale wanadamu walivyoanza kuishi pamoja kama jumuiya,.watu wakaongezeka, hadithi zikaandikwa halafu wakatokea wajanjajanja wakaanzisha dini kwa malengo yao ya kisiasa, kiuchumi, kitamaduni n.k
Tatu, usichangange atheism na Science. Hayo ni mambo mawili tofauti. Kuhusisha uzito wa dunia au umbali wa kutoka duniani mpaka kwenye jua na atheism ni kujidhalilisha mbele ya kadamnasi.
Natumai tunaelewana.
No research no right to talkUnataka Utafiti gani kwa kitu ambacho hakipo?
Wewe ndiye unayetakiwa uni prove wrong kwamba Mungu huyo hayupo.
Maana wewe ndiye unayedai Mungu huyo yupo.
Sasa thibitisha huyo Mungu yupoje, ili uni prove wrong kwamba hayupo.
Ukishindwa kuthibitisha uwepo wa huyo Mungu ni kwamba hayupo.
Utakuwa unafosi mawazo yako yasiyo na uthibitisho wowote ule wala uhalisia.
Hiyo sentensi yako mwisho inaonesha dhahiri una ugonjwa wa afya ya akili u dont believe in God how come u are believing in hell.Habari wana-JF!
Najua huu uzi wafia dini watausoma kwa kusonya ila ndiyo hivyo inabidi tuvumiliane tu.
Mimi nimekulia katika Ukristo, sijaukana ila nimeliacha kanisa kimyakimya. Baada ya kuanza kukua na kujitambua nilikuwa na maswali mengi sana juu ya nadharia zote kumuhusu Mungu na maswali yangu yote yalikuwa hayana majibu yaliyonyooka.
Baada ya udadisi wa muda mrefu nikafikia hitimisho kuwa "hakuna Mungu" kwasababu angekuwepo na majibu ya maswali yangu yangekuwepo.
Uwanda wa imani ni mpana ila ukiwa ndani ya imani chini ya tawi la dini ni mwiko kudadisi uwepo wa Mungu, huko ni "ndiyo" tu hakuna kuhoji.
Maisha baada ya kulikimbia kanisa yamekuwa na amani kwasababu:
1. Maisha yangu yapo mikononi mwangu.
2. Sina hofu juu ya kifo wala kuzimu kwasababu siamini hadithi za maisha baada ya kifo.
3. Naishi kwa kufuata katiba na sheria za nchi na si vinginevyo.
4. Siishi maisha kwaajili ya kumpendeza yoyote au kitu chochote.
5. Napata muda mwingi wa kufanya mambo ya msingi, siku ya Jumapili kwangu ni kama siku nyingine ya wiki.
6. Badala ya kuhangaika kutafuta maarifa ya maisha ya mbinguni (kusoma biblia), natafuta zaidi maarifa yatakonisaidia kwenye maisha ya hapa duniani maana ndiyo sehemu pekee ninayothibitisha ni ya kweli.
7. Najiheshimu. Kwangu kulia na kuomba msaada kwa M(i)ungu ni kutojiheshimu kama binadamu.
8. Nikipata matatizo sikai chini kuomba na kusubiri miujiza badala yake natumia maarifa niliyonayo kutafuta ufumbuzi.
9. Siishi kwa matumaini ya kuzawadiwa uzima wa milele.
10. Nimepishana na utapeli. Kama wanavyosema "wajinga ndiyo waliwao".
Siamini kama kweli Mungu yupo, lakini kama yupo hawezi kuwa mjinga kama anavyoelezewa kwenye vitabu vya dini.
Mungu hayupo, lakini kama angekuwepo hastahili utukufu wala unyenyekevu kutoka kwangu.
The sweet, sweet relief of knowing I'm going to hell no matter what I do! 🙃
Sayansi haiaminiki ila unatakiwa ujue not by faith but by knowledgeScience ni proven facts tu! Ni mjinga pekee ndiyo anaweza asiamini Science. Bila Science binadamu tusingeweza ku-survive kwenye uso wa Dunia.
Science inaendelea kurekebisha makosa aliyofanya Mungu mnayedai yupo. Mimi nilizaliwa na tatizo la macho (myopia) bila Science leo hii ningekuwa siwezi kuona mbali.
Science ndiyo uti wa mgongo kwenye maisha ya binadamu na itaendelea kubaki hivyo.
Tuishie Hapa,, Wema na Upendo wa Mungu NI uhalisia Wa Maisha✊✊Mkuu njo ujibu swali
Wema na upendo wa mungu upo katika maisha halsia ukiachana na vitabu
Ucjbu kimafungu jbu directly
👍👍 Very correctTuishie Hapa,, Wema na Upendo wa Mungu NI uhalisia Wa Maisha✊✊
Wewe ni mshirikina ndiyo sababu huamini katika mungu.Huyo mtume alisema wapi hayo maneno?
Aliyasema lini?
Siku gani? Tarehe ngapi? Mwezi gani? Mwaka gani?
Na muda gani exactly?
Aisee 😂😂😂Wafia dini washakimbia wala hawana hoja za kujibu.
Wanajaribu kufosi mawazo yao uchwara na hekaya zao za Biblia na Quran ziwe ukweli kumbe ni takataka tu.
😹😹😹 Uchinjwe xmasSijasoma mada ila nimesikitika sana
Mkuu Dini haijazui uovu wowote ule Zaidi Tu ya kukusanya maokoto.Hizi akili ndio zinawaongoza kulawiti na kubaka.
Mungu awafunguwe macho, usipokuwa na hofu ya Mungu wewe ni zaidi ya mnyama.
Wengine sio wafia dini lakini huwez kutuambia mungu hayupo 😂Aisee 😂😂😂
Nimerudi sasa nifatilie kwa makini.!
Pameanza kuchangamka 😹😹😹Hii nukuu aliandika mzungu gani?
😹😹😹 nyie bana em niacheni mbavu zinaniuma mjueHongera sana,kuna yale mazombi ya ala yamegeuka kuwa mauaji tu hayana upendo baina yao wala kwa wengine,hii dini ipigwe marufuku duniani.
😹😹😹 Mtwara kuna nini??Mtu kama wewe unatakiwa upelekwe Mtwara ama Tanga ama Kigoma Sasa ukishapata KUJUA kuwa kuna ulimwengu halisi kabisakabisa wa roho, hapohapo unapata KUJUA kuwa MUNGU yupo...
Thank God I'm an Atheist!
Sarcasm..... You either get it or you don't.
Sio dhambi kua adheist amani iwe nanyiThank God I'm an Atheist!
Sarcasm..... You either get it or you don't.
Padri akilala na sister haibadilishi ukatolikiMkuu Dini haijazui uovu wowote ule Zaidi Tu ya kukusanya maokoto.
Mfano mkoa wa mbeya si kuna nyumba za Ibada kibao lakini matendo ya kikatili yanatokea huko Je ni mangap?
Juzi hapa paroko kapigwa mvua ya miaka 30 ,kuhusika na mauaji ya Mtoto mwenye ualbino.
Mashek, maostadhi ,Padre wangapi wamefunguliwa mashitaka ya ulawiti na ubakaji?.
Cha msingi ni watu kupewa Elimu ya siha njema, Sheria, ustawi wa Jamii. Ili Jamii iweze kuendelea ni lazima wananchi wapate Elimu itakayo wanufaisha .
Nazungumzia hofu ya Mungu, sizungumzii dini, dini tunajuwa ni miradi ya watu.Mkuu Dini haijazui uovu wowote ule Zaidi Tu ya kukusanya maokoto.
Mfano mkoa wa mbeya si kuna nyumba za Ibada kibao lakini matendo ya kikatili yanatokea huko Je ni mangap?
Juzi hapa paroko kapigwa mvua ya miaka 30 ,kuhusika na mauaji ya Mtoto mwenye ualbino.
Mashek, maostadhi ,Padre wangapi wamefunguliwa mashitaka ya ulawiti na ubakaji?.
Cha msingi ni watu kupewa Elimu ya siha njema, Sheria, ustawi wa Jamii. Ili Jamii iweze kuendelea ni lazima wananchi wapate Elimu itakayo wanufaisha .