Friji la mtumba
Senior Member
- Apr 7, 2024
- 119
- 154
UTAMUOMBA SADAKABado hujajua njia sahihi ya kumjua Mungu, kama una muda nikujuze
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UTAMUOMBA SADAKABado hujajua njia sahihi ya kumjua Mungu, kama una muda nikujuze
Sasa Kwa Akili Yako kama tu unaambiwa wachawi wapo lakini hawaonekani huyo mungu ndio utaweza kumuona... Mungu tunam experience Mzee , mnasoma sana elimu za watu huko mkizani ndio mna maarifa kumbe mmejaza ujingaSasa wewe kama kuna vitu vingi huvijui, Ulijuaje huyo Mungu yupo?
Au unafosi mawazo yako uchwara yasiyo na uthibitisho wowote ule?
Nini au nani anakupa hiyo pumzi na afya njema? Maana huna control nayo, wewe ni dhaifu mno linapokuja suala la pumzi, afya na uhai. Huna control hata ya sekunde kadhaa zijazo. Weakness ya hali ya juu mno. Who is in control?
Nakwambia hivi, 👇Hujajibu swali chief, Jibu swali langu
Inavyoonekana hujitambui.Mimi ni binadamu na sina imani ya aina yeyote ile.
Unapenda kutengeneza maana zako mwenyewe, Wewe ni mburura sana unalijua hilo ? 😅Nakwambia hivi, 👇
Hizo nguvu zinafanywa na wazee ambao ni binadamu.
Hakuna nguvu isiyo ya kibinadamu inayo onekana ikifanya kitu yenyewe tu, physically.
Ndio maana unahitaji hao wazee wakuelezee hizo nguvu zao za kibinadamu zinafanyaje kazi.
Kama hiyo nguvu ingekuwa inafanya kazi yenyewe tu (independent) bila wazee, Ungehitaji kuonana na hiyo nguvu directly pasipo kuhitaji kutumia hao wazee ambao ni binadamu.
This kind of fallacy is called ad hominem.Inavyoonekana hujitambui.
Unatukuza sana sentensi za watu...This kind of fallacy is called ad hominem.
Badala ya kujibu hoja unaleta Viroja na kumshambulia mleta hoja.
Find someone of your league to parallel your mediocrity.
Hao wazee ni aina ya watu ambao wanayo maarifa ya namna ya kuchannel mambo fulani na hizo nguvu zikafanya kaziNakwambia hivi, 👇
Hizo nguvu zinafanywa na wazee ambao ni binadamu.
Hakuna nguvu isiyo ya kibinadamu inayo onekana ikifanya kitu yenyewe tu, physically.
Ndio maana unahitaji hao wazee wakuelezee hizo nguvu zao za kibinadamu zinafanyaje kazi.
Kama hiyo nguvu ingekuwa inafanya kazi yenyewe tu (independent) bila wazee, Ungehitaji kuonana na hiyo nguvu directly pasipo kuhitaji kutumia hao wazee ambao ni binadamu.
Mnapotoa maneno ya vitisho kwa mtoa mada, mnampa point 3 muhimu huku ninyi mkibaki na point 0.Sio mbaya umejichagulia mwenyewe njia yako na hiyo ndio itakuongoza kwenye safari yako ya kuliwa nyama na wachawi
Umeshindwa kuthibitisha hiyo nguvu ipoje yenyewe kama yenyewe, bila kuhitaji kutumia wazee.Unapenda kutengeneza maana zako mwenyewe, Wewe ni mburura sana unalijua hilo ? 😅
Nini msingi wa mawazo kwamba hakuna Mungu?
Nguvu gani?Hao wazee ni aina ya watu ambao wanayo maarifa ya namna ya kuchannel mambo fulani na hizo nguvu zikafanya kazi
Ni kama Mwanasayansi tu anavyounganisha A na B kuleta matokeo ya kitu fulani
Umeshindwa kuthibitisha hiyo nguvu ipoje yenyewe kama yenyewe, bila kuhitaji kutumia wazee.
Ila unafosi kwamba hiyo nguvu sio ya kibinadamu, ilhali inafanyika na wazee ambao ni binadamu.
Wewe ndio kichwa maji ambaye huelewi hizo nguvu za wazee zipoje. Ila unafosi hizo nguvu sio za wazee.
Nguvu tunayoita ni "uchawi"Nguvu gani?
Nguvu hiyo unayoiita uchawi imetoka wapi?Nguvu tunayoita ni "uchawi"
Tafuta maana ya neno "uchawi"
Mungu ni nini?Kiranga na infronuer , Dini ndio zenye contradiction ila mungu hana contradiction.
Nguvu hiyo unayoiita uchawi imetoka wapi?
Au imetokana na nini?