Ytoday
Senior Member
- Sep 24, 2022
- 199
- 216
Source of creationMungu ni nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Source of creationMungu ni nini?
How did you know God is the source of creation?Source of creation
Na chanzo cha huyo Mungu ni nini?Mungu ni chanzo Cha Kila kitu unachokiona kwenye ulimwengu
Mungu ndio source ya nguvu zote,Nguvu hiyo unayoiita uchawi imetoka wapi?
Au imetokana na nini?
Hili swali tutakuja kumuuliza yeye mwenyewe,Na chanzo cha huyo Mungu ni nini?
We can prove through existence of this cosmos , and we know through the experience of intelligence he has put on his cosmosHow did you know God is the source of creation?
And how can you prove your claim?
Mkuu, naomba nikwambie kitu.Source of creation
Binadamu wa kwanza alitoka wapi ?Mkuu, naomba nikwambie kitu.
Hapo mwanzo, mtu aliumba Mungu, alileta nadharia ya Mungu kujiliwaza tu.
ila kiuhalisia Mungu wala hayupo.
Kuna hiyo Attachments uliyoituma hapo imeeleza vizuri kabisa kwamba uchawi ni maarifa waliyonayo watu maalumu.Nguvu tunayoita ni "uchawi"
Tafuta maana ya neno "uchawi"
Unasoma huku unakimbia ? soma tena ni "maarifa maalumu" sio watu maalumuKuna hiyo Attachments uliyoituma hapo imeeleza vizuri kabisa kwamba uchawi ni maarifa waliyonayo watu maalumu.
Na hao watu maalumu ni binadamu.
Sio kwamba uchawi ni nguvu isiyo ya kibinadamu.
Ila uchawi ni maarifa ya watu maalumu ambao ni binadamu.
Usicho elewa ni nini?
Lakini haiwezi ikawa rahisi hivyo et sisi binadam tutokee tu by chance kwenye ukamilifu wa namna hii , jiangalie wewe ulivyo pangiliwa af jiulize je inawezekana tu nilivyo nmetokea Kwa bahat mbayaMkuu, naomba nikwambie kitu.
Hapo mwanzo, mtu aliumba Mungu, alileta nadharia ya Mungu kujiliwaza tu.
ila kiuhalisia Mungu wala hayupo.
Firstly prove how God came to existence.We can prove through existence of this cosmos , and we know through the experience of intelligence he has put on his cosmos
Maarifa maalumu ya nani?Unasoma huku unakimbia ? soma tena ni "maarifa maalumu" sio watu maalumu
Chanzo Cha mungu hatukijui..Na chanzo cha huyo Mungu ni nini?
Unanikosoa tena, hahahaMaarifa maalumu ya nani?
Sasa huyo Mungu ni katili sana,Mungu ni chanzo Cha Kila kitu unachokiona kwenye ulimwengu
Watu maalumu wenye maarifa maalumu.Unanikosoa tena, hahaha
Na mimi nkuulize watu maalumu gani ?