Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera sana. Mimi pia ban siijui kabisa.Mimi sijawahi kupigwa ban.
Ila pia naweza ishi bila JF bila tabu..
Wewe kama wazamani ungeanzisha nyuzi kama hizo za zamani ingekua poa sana mkuu🤔Jf ilikuwa zamani jamani,,,kulikuwa na madini yakutosha,,,ulikuwa unapata story ,ushauri na watu walijitoa sana,,,ila siku hizi naweza nikakaa miezi nisikumbuke kama kuna Jf
Hata mimi pia huwa najifikiria hivyo, au labda unakuwa huwezi kupost content yyte au hata kuangalia pia huweziHongera sana. Mimi pia ban siijui kabisa.
Hadi natamani siku niiombe nijue nikipigwa ndio inakuwaje nikitaka ku log in.
Hongera nawe pia,Hongera sana. Mimi pia ban siijui kabisa.
Hadi natamani siku niiombe nijue nikipigwa ndio inakuwaje nikitaka ku log in.
Hongera nawe pia,Hongera sana. Mimi pia ban siijui kabisa.
Hadi natamani siku niiombe nijue nikipigwa ndio inakuwaje nikitaka ku log in.
kuna Ban za aina mbili kuna moja hiyo ukipigwa ukitaka ku Log in unaletewa kiujumbe fulani cha kinafki cha kkuambia kwamba Umepigwa ban mpka muda fulani yani hapo umeingia mada zile pale umeziona ila ndo zimezingwa na hicho ki Ilani uchwara,Hata mimi pia huwa najifikiria hivyo, au labda unakuwa huwezi kupost content yyte au hata kuangalia pia huwezi
Unafikiri wanashindwa kujua mmiliki wa hii ndio yule?😂Kuna Id yangu1 mods wanaijua kama asali asee Huwa sitoboi hata wiki nimepigwa ban lkn ndo furaha yangu Wala siwazagi kabisa. Kikubwa ujembe ufike
Hawawezi natumia kopyuta yoyte nikiwa kazini na simu hii natumia saivi.Unafikiri wanashindwa kujua mmiliki wa hii ndio yule?😂
Soma na uelewe usikulupuke,,kuna sehemu nimesema nilikuwa naposti?humu zamani watu wamepona magonjwa,,watu walipata ushauri ,,watu walipata kazi kupitia humu,,siku hizi mtu analeta habari za akina Giggy money na mwijakuWewe kama wazamani ungeanzisha nyuzi kama hizo za zamani ingekua poa sana mkuu🤔