Maisha bwana!

Maisha bwana!

Huwa najiuliza sana, hivi mtu unapokaa ukaandika chai ndefuuuuuu JF huwa lengo linakuwa nini haswa yaani
Nilikuwa nasoma vizuri sana ila alipoanza habari za vitu anavyomiliki kwa hiyo salary halafu bado anaendelea na hiyo kazi ndo aliponichosha
 
Posho ya elfu 60..
1. Ujengee nyumba!
2. Usomeshe watoto kwa ada zaidi ya sh.milioni 2 kwa mwaka!
2. Kila siku ule wali kuku au ugali kuku!
3. Uko mbioni kununua gari!

Uongo! Uongo! Uongo!
Amesema ana mradi wa kuku...
Labda hiyo 60 elf alinunua vifaranga akaanzisha mradi wa kuku ambao ndio umeleta vyote hivyo
 
Kazi zoote hizo nalipwa shilingi za kitanzania 60,000 Cash mkononi kila baada ya siku 30 maana mpaka jumapili napigika, mgongo umeanza kupinda natembelea kifimbo kama kile cha mzee kifimbo cheza.

Nashkuru huu mshahara umenisaidia sana nimejenga nyumba ya vyumba vitatu na sebule na nyumba za uani za kupangisha, nina usafiri wangu wa boda vespa ya kuendea kuteseka kwa muhindi, nina somesha watoto wawili shule kubwa hapa mjini ada si chini 2M kwa Mwaka mzima.
60,000 × 12 = 720,000 million 2 unaitoa wapi?

Siku nyingine punguza kamba, na ukijifunza uongo usiwe mwepesi wa kusahau
 
Back
Top Bottom