Maisha halisi nchini Marekani

So mkuu ma lationa na wa mexico ni ma drug addict???

Me ninachojuwa jamaa wanapambana sana na maisha japo kuwa wanazamia nje kimagumashi na kuishia kuwa cheap labour lakini ni wachapa kqzi sana.. mtu yyte anaweza kuwa drug addict hata mzawa wa nchi husika
 
Duuuh umetaja kwetu kabisa, alafu ifakara kilimo cha kubahatisha nililima nusu nife kuulizia km mvua inenyesha au laah sintasahau
Wewe ifakara huku fursa zipo, usiilinganishe ifakara na Kentucky City iakara pesa ipo sana mzunguko wa pesa huko vijijini ni mkubwa sana me na shangaa wanaotaka kwenda State ...

Endelea kulima Mkuu, Dollar zinakuja
 
Anazungumzia Marekani hiyohiyo, mfafanulie inakuwaje mtu akifa kusafirisha inakuwa issue?

Tupe uzoefu tatizo huwa linakuwa nini?
Kaka yangu yuko mitaa ya Leicester UK, anadai kashuhudia wabongo kuzikwa huko huko wakiwa majivu! Kisa ndugu zao bongo kushindwa kuchanga mwili uletwe na hata michango ya wabongo wenzao kuwa kiduchu! Huwezi laumu aisee yawezekana life ni tough hasa kama una familia. Haya maisha ni shughuli aisee….
 
Kapige Kazi ya ulinzi South,Dubai au USA utatoboa,uza kiwanja cha familia,miezi mitatu hela imerudi.
Aiseee! Duh hii hapana! Atafute kingine cha kumpa hela hiyo. Hujuwi atakuta nini kule. Asifanye bahati nasibu
 
Kujiunga hizo platforms kunafungulia watu wengi sana fursa za kuzidi kupiga hatua.

Marekani ni marekani bhana.
Kabisa mkuu hawa wana diaspora wanajua njia ya kuingia huko mamtoni ila issue ni kwamba wana roho flan ambayo sio nyepesi ku share imfo na wenzao

Na hii roho inakwenda mbali zaidi nasikia hata wenyewe kwa wenyewe hawapendai huko ughaibuni kuna siku nilikuwa online ktk socio network moja ivi sasa wakawa wenyewe wana diaspora wana discuss changamoto za maisha ya ughaibuni na mahusiano yao ..aisee binafsi nili gaini sana nikajua kweli hatupendai as wa Tanganyikan
 





 
Sasa Sasa kama formular ya maisha huko ni simple kiasi hicho? wale diaspora walioonekana juzi na mabango ya katiba mpya wakiwa wamechoka namna ile ni wa wapi?
 
Binafsi nimekuelewa vyema!

Hapo kwenye jama a anasema kuosmea udakatri ni ngumu sna amarekani! Wakati hata mtu aliyemaliza high school diploma labda akajianda nakusomea fani nyingine zisizohusu sayansi kabisa hata yeye aanweza kusomea udaktari maani zipo path zakufanikisha hilo!,

Na kwa taarifa tu immigrants wengi US
wanatoboa sana kuliko wanao feli !
 
Sasa
Sasa kama formular ya maisha huko ni simple kiasi hicho? wale diaspora walioonekana juzi na mabango ya katiba mpya wakiwa wamechoka namna ile ni wa wapi?
Hivyo hiyo hizo clips ndio zimekupa pacha za Watanzania,please be serious! Clip moja ya picha ya slum ya Afrika au watoto wakienda shuleni bila viatu inaweza kutoa picha ya Watanzania wote? Be realistic and objective jamaa yangu.
 
Miaka 6 ndani ya nchi ya marekani, ninaishi kwa Green card, nina ruhusiwa sasa kuomba uraia lakini mimi kwangu huwa si kipaumbele, maana nina uwezo wa kutoa na kuingia na kukaa nje ya marekani muda wa miezi sita.
NANI kakwambia green card hairuhusu kukaa nje ya US zaidi ya miezi sita ?

Tatizo kubwa la diaspora wengi sijui niseme ni shule ndogo au vichwani wamevurugwa, mojawapo!

Nenda kasome barua iliyokuja na green card yako inasemaje, na kama huna nenda online!
 
Kwanza napenda kutumia nafasi hii kukupa shukrani kwa uwezo wako wa kutambua hulka za ndugu zetu watz. Ki ukweli sisi tupo nyuma kwa kila kitu kwa sababu ya tabia hizi za ubishi ubishi usiokuwa na maana. Mfano unaweza kumpa mtu mchongo wa jambo fulan la pesa, utasikia mtu anakwambia "mbona ww hilo jambo au huo mchongo haujaufanya, inamaana hautaki hizo pesa? au hauna ndugu yako yoyote wa kumpa huo mchongo mpaka unipe mimi tu? Hayo ndio maswali unayoweza kuulizwa pindi unapojaribu kumpa mchongo mbongo mwenzio, kwahiyo kwa aina hii ya tabia, ndo maana wabongo wengi hatugeani michongo na matokeo yake wengi wetu tunaishi maisha ya kubabaisha ukilinganisha na wenzetu kutoka Congo, Kenya, Rwanda, Uganda nk. Kuhusu shule ya ulichosema wala haujakosea mkuu. Nashukur Mungu wanangu wanapata elimu bora kabisa, sio bora elimu.
 
Mkuu kama mtu ni hotelier maisha ya kazi Kwa Marekani yapoje?
Cheki pia na fursa za mahotel kwenye Meli kubwa za kitalii kama
Royal caribbean

Issue kubwa hapa uwe na cv/resume nzuri .na hakikisha website unazotembelea ku apply ni legit, maana hizo kazi huko kuna scammers wengi kutoka Nigeria na india
 
Watanzania wanapenda kuambiwa sio kufanya utafiti wenyewe...
 
Ukiwa out of state kwa miezi sita ni lazima ujaze form nkutuma taarifa zako, na kama itakaa njeee kwa miaka na utalazimika kufanya application na ku update status zako na masuala ya visa
 
Out of state or out of United States ?

Jieleze vizuri wewe diaspora!

Hata sentensi moja tu iliyonyooka kuandika tabu, diaspora tatizo moja kubwa ni shule!
Out of USA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…