Maisha halisi nchini Marekani

Mikoani hakuna fursa zozote acheni kujazana upumbavu kichwani.

Vijana wanaona bora wawe machinga dar kuliko huko unakoona kwenye fursa.
Dar hkn biashara icyolipa bila kujali mtaji ukiwa disciplined unatoboa.
 
Ni uvivu tu, ndio maana utakuta mtu anapiga debe apewe mia mbili mia mbili siku nzima wakati kijijini kwao kuna mapori ambayo anaweza tumia nguvu hizohizo kufyeka na kuanzisha mashamba..
Bila mtaji,yaan alime ategemee mvua!?c Bora hizo mia mbili.
 
Hizo rent mbona husemi ni shingapi kwa miji ya gharama na miji ya kawaida? Any way kuna drivers vacancies?
 
Haya ndio mabox....Sibebi kichwani, si sogezi hata kidole, ni fork lift tu..I can go to Disney...I bought a house...send my kids to Colleges..driving a car of my choice...na kutoa support hapa na pale ndugu zangu wanasumbulia na Ada, au kupigwa mapanga na panya Road! Part time nasoma vitabu na articles malicious mbali to keep my brain sharp! Maana kazi haina kutumia brain.
 
Halafu Wakiambiwa wanang'aka

Maisha ni hapa hapa Bongo kuna kila fursa.USA nakwenda kutembea tu si kuishi.

Halafu nina mifano mingi sijui ni bahati mbaya au ndio utaratibu wa huko.Wengi wana rejea wakiwa hawana watoto.
 
Kinje ketile, hivi utaniweka kundi gani, wakati nakuja US, nilikuwa nimeisha nyumba ambayo kwa Watanzania wengi ni ndoto, Nilikuwa na Rav4, Mark 2 na Old Ford Ranger, Shamba Kibaha, na kiwanja Kibaha, na watoto wangu hawajawahi kusoma shule ya msingi ya serikali mpaka naondoka Tanzania.Je nilikuwa nimetoboa au sijatoboa? Kwa vipimo vya wengi nilikuwa nimetoboa, kwa upande nilikuwa sijatoboa! Nina kiu ya kuona Ulimwengu, kupata challenges mpya na kuzishinda,kuwapa wa wanangu path tofauti katika maisha..Kama kutoboa ni kuwa na gari na nyumba na kamradi ka kusukuma siku, then retirement Umekwisha! Hata wanangu nawaambia wazi, maana ni American citizens kuwa wafikiri beyond US...kuna Canada, Australia, Europe nk Marekani isiwe mwisho wa Naoto zao! Kuja Marekani kumenipatia America passport, before I die nataka niwe nimetembea mabara yote ya Dunia, Kwangu huko ndio Kutoboa.
 
Maisha ni hapa hapa Bongo kuna kila fursa.USA nakwenda kutembea tu si kuishi.

Halafu nina mifano mingi sijui ni bahati mbaya au ndio utaratibu wa huko.Wengi wana rejea wakiwa hawana watoto.
Unaijuwa child support?
 
Maisha ni hapa hapa Bongo kuna kila fursa.USA nakwenda kutembea tu si kuishi.

Halafu nina mifano mingi sijui ni bahati mbaya au ndio utaratibu wa huko.Wengi wana rejea wakiwa hawana watoto.
Ni kweli hayo,naona sasa ni chuki binafsi na Diaspora! Yaani hatuzai! Kuna Mtanzania alizaa mfululizo for almost four years,Nitafanya utafiti...
 
Maisha ni hapa hapa Bongo kuna kila fursa.USA nakwenda kutembea tu si kuishi.

Halafu nina mifano mingi sijui ni bahati mbaya au ndio utaratibu wa huko.Wengi wana rejea wakiwa hawana watoto.
"Bongo kuna kila fursa"wasaidie basi wabongo wazione! Nimebakia nimetabasamu tu...Sitaki kwenda mbali kwa hili, imenikumbusha tu nikiwa mdogo kijijini kwetu nikimtembelea bibi yangu,kuna tajiri alikuwa na basi mbili na Tractor,kijiji kilikua kinampigia magoti...na kumwabudu...nilikua natabasamu tu..."bongo kuna kila fursa"
 
Mimi nina uzoefu wa marekani tu, so sijuwi unaowazungumzia wewe ni wa wapi?
Kwa nini watanzania huwa hawana ushirikiano kama mapopo? ni roho mbaya au wanafiki?
Mfano;-Yupo mtu ameleta Uzi mzuri tu lakini ameandika, #NO PM. WHY SO?
 

Ukweli mchungu
 

Hata America hakuna kila fursa
Huwaoni waamerika wanaokuja kusaka fursa bongo?
 
Maisha ni hapa hapa Bongo kuna kila fursa.USA nakwenda kutembea tu si kuishi.

Halafu nina mifano mingi sijui ni bahati mbaya au ndio utaratibu wa huko.Wengi wana rejea wakiwa hawana watoto.

Umri nao umeenda wako very frustrated. Ukisema ukae nao uwaulize wanaweza kufanya nini kujikimu ndio utawahurumia zaidi maana wanakuambia vitu visivyowezekana
 
Ukienda America fanya juu chini upate papers.
Uwe na papers , afya njema + akili timamu hapo usipotoboa utakua umelogwa na hautaweza kutoboa sehem yoyote ile

Kuna dada mmoja ana akili nzuri zaidi yeye ameamua kuzaa na wanaume4 tofauti maisha yanamuendea powaa
 
Umri nao umeenda wako very frustrated. Ukisema ukae nao uwaulize wanaweza kufanya nini kujikimu ndio utawahurumia zaidi maana wanakuambia vitu visivyowezekana
Mama D naona unakuwa Irrational, Diaspora wote wana umri mmoja! Labda wa rika lako, Marekani ni kama reli ya Kati, kila leo inaingiza watu wa kila aina, type ya first class hadi third. Sample ya Diaspora ni ile ile ya watu walioko Bongo! Nawajua watu wa age yangu hawajafanya lolote,very frustrated, je my sampling inawakilisha Watanzania wote kuwa umri umekwenda na wako frustrated Argue logically Mama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…