Maisha halisi nchini Marekani

Maisha halisi nchini Marekani

Magenius wengi kama Leonardo Da Vinci ni mashoga. hao ni wa kuishi nao tu, muulize Makonda atakuhadhia vizuri maana angekuwa Marekani saa hizi.
Hakuna uthibitisho unaoonyesha kua alikua ni shoga, Just rumours na kumchafua. Nachojua swala la mapenzi kwake halikua na nafasi kwake kama genius wengine wote walivyokua. Eg. Tesla, Plato, Archimedes, newton nk
 
Kuna kitu ukielewi, na ukija kikiekewa hutopata shida.

Hao mashoga huwezi kushindana nak kwa namna yoyote ndio wanaongoza dunia na ndio wanamiliki uchumi wa dunia.

Magenius wengi kama Leonardo Da Vinci ni mashoga. hao ni wa kuishi nao tu, muulize Makonda atakuhadhia vizuri maana angekuwa Marekani saa hizi.
Davinci alikuwa shoga?
 
Chumi za nchi nyingi za kiafrika ikiwemo bongolala zimedumaa sababu ya ubinafsi, ufisadi wa watawala, mifumo mibovu ya kiutawala na taasisi duni, uwajibikaji duni......na hii imepelekea kuwa na kundi kubwa la watu maskini au mafukara wanaoshindwa kumudu maisha ya kawaida tu. Sasa hili limepelekea watu kwenye nchi hizi kuishi kwa connection kama wengine humu mlivyotangulia kusema, majungu, ushirikina, fitina na aina nyingine ya maisha ya kubangaiza.........na kwa bahati mbaya hali hii haionyeshi kutengemaa.​
 
Anazungumzia Marekani hiyohiyo, mfafanulie inakuwaje mtu akifa kusafirisha inakuwa issue?

Tupe uzoefu tatizo huwa linakuwa nini?

IMG_4026.jpg

hapo nilitaka nikuonyeshe malipo yangu ila naona kuna tatizo .

Ndani ya week mbili za kazi nilipata $2300.

hivi tumia akili naweza kushindwa kurudi msibani tanzania.

kama hiyo tu pesa ya week mbili tena Entry jobs na wala wenye salary vipi.

Ukiwa unaishi marekani huwez kushindwa kufanya hvyo. huwa ni taarifa za chumvi tu.

maybe uishi una bila document maana kwamba huna kazi. hiyo tu kuishi marekani gharama ni kubwa kuliko kuridi.

kama kuishi naweza kurudi nauli nishindwe hapana
 
Hakuna uthibitisho unaoonyesha kua alikua ni shoga, Just rumours na kumchafua. Nachojua swala la mapenzi kwake halikua na nafasi kwake kama genius wengine wote walivyokua. Eg. Tesla, Plato, Archimedes, newton nk
Da Vinci alikuwa shoga fact, uthibitisho unaoutaka wewe hata kwa kina Juma Lokole huwezi kuthibitisha kama wanabanduliwa.
Davinci alikuwa shoga?
Ndiyo, na mpenzi wake ni Borgio.
 
Niwape usia mnaotaka kuzamia nje. Kwanza uwe na professional ingia hata veta piga ujuzi wowote tu udereva ni lzm. Piga capentry, nursing, umeme, ujenzi, nk.
Jifunze lugha kuu
Ingia nchi yeyeto kihalali, njia sahihi tumia gia ya kwenda kusoma Ili upate connection na wenyeji.
Ukifika kule usibague Kazi, tii sheria za nchi yaani mtu akikupiga shavu la kushoto mpe na la kulia kabisa.
Kuwa makini kabisa na masuala ya mapenzi, bora ukanunue kama umeshindwa funga zipu, wekeza Sana kwenye uaminifu na uchapakazi. Usifanye vitu haramu.
Fanya saving
Angalizo ni hatari sana kutuma pesa bongo sijui kwa ndugu Ili akufanyie maendeleo wengi wameonyeshwa misingi ya nyumba za watu.
Bora utunze pesa likizo ndo uje ufanye maendeleo, kuliko kujinyima eti unatuma home kumbe wenzio wanatumbua.
 
Aisee sikuwa jua hili
Wengi hawajui mpaka sasa hii dunia inamilikiwa na nani.

Obama kwenye kampeni zake za Urais aliposema anaunga mkono ushoga si mjinga anajuwa alichokuwa anahitaji.

Mark mmiliki wa Facebook na kampuni la Meta anaunga mkono ushoga, kumbuka hawa ni watu wenye akili kubwa wanaijuwa hii dunia.

Tundu Lisu alibanwa kuhusu hoja ya ushoga akaruka kimanga na kuijibu kisheria kwamba hawezi kuingilia faragha za watu, yani maana yake huwezi kuwapinga mashoga.

Kama Taifa kwenye mikataba mbalimbali ni lazima usaini mkataba wa haki za binadamu, ukisaini maana yake hata mashoga ni binadamu na wana haki zao.

Mtoto mdogo kama Makonda asiyekuwa na elimu yoyote akapigana vita asiyojuwa anapambana na nani, matokeo yake leo hao wenye nguvu ndio ilibidi wampe hifadhi ulaya au Marekani lakini hatakiwi amepigwa ban, alikuwa anashindana na nguvu asizozijuwa.

Na wabongo wengi hawana elimu kwamba shoga ni hata yule basha anayempelekea moto mwenzake naye anaitwa shoga wote hawa ni gays, hapa ndipo Wabongo wengi panawachanganya hawaelewi.
 
Da Vinci alikuwa shoga fact, uthibitisho unaoutaka wewe hata kwa kina Juma Lokole huwezi kuthibitisha kama wanabanduliwa.

Ndiyo, na mpenzi wake ni Borgio.
Leonardo Da'Vinci ndio nwanasayansi niliyemsona na kumfuatilia zaidi ila sijawahi kuona uthibitisho wa hilo...

It's just a Rumour.Hakuna kitu kama hicho Caesar Borgia na Leonardo waliCross path pindi Leo alipoajiliwa na Borgia as an architect. Karibia 80% ya Genius wote hua hawajihusishi na mapenzi ya aina yoyote so ukaribu wa leo na mwajiri wake inawezekana ndio uliofanya watu wazushe kwamba ni wapenzi since Vinci hajawahi kuonekana na mahusiano ya kimapenzi na Mwanamke.
Cesare Borgia briefly employed Leonardo da Vinci as military architect and engineer between 1502 and 1503
Ni kama vile watu wanavyosema Yesu alikua na mahusiano na Maria Magdalene jambo ambalo sio kweli na mimi nishatazama documentary kuhusu jambo hilo ila halina uthibitisho dhahiri..

Hata huo ushoga wa juma lokole mimi siujui maana hakuna uthibitisho dhahiri juu ya hilo.
Aisee sikuwa jua hili
Huwezi kujua kwakua sio swala la ukweli. Na halina uthibitisho it's just a speculation.
 
Mimi nipo Wyoming na kapicha hako hapo😂😂

View attachment 2206017
Haya ndo maneno mkuu, mtu unaandika kitu na kutafuta cha kushindikizia kile ulichoandika. Sio mtu unaleta mada bila hata picha mbili tatu, watu wataamini vipi, na ukizingatia siku hizi watu wanachakazwa kwa vistori vidogo vidogo kama hivi.
 
Back
Top Bottom