Maisha halisi nchini Marekani

Maisha halisi nchini Marekani

Asante ila haujatwambia kodi ya serikali ni kiasi gani ili tujue kinachobaki.
Kazi ni nyingi na unaruhususiwa kufanya kazi masaa yote unayotaka hata kuwa na zaidi zaidi ya kumi, Mfano mimi nina ENTRY JOBS ndo always huwa nafanya kazi za aina hii, Kazi yangu ya Sasa Ni HMI CLASS tunatengenza class, nafanya kazi masaa 8 kila siku nalipwa $21 kwa saa na overtime $27, awali ilikuwa GE Appliance nilikuwa nalipwa $19, Before GE ilikuwa Fedex nilikuwa nalipwa $19.50, kabla ya Fedex ilikuwa Amazon $20.
 
Ili jina linasadifu akili zako, sasa mtu kama ana mtaji Marekani anakwenda kutafuta nini?

Chizi kabisa.

kweli kilaza kweli.umemuelewa kakwambia kuwa maisha yapo africa ila tatizo mitaji.kama una mtaji wekeza nyumbani!.
ushaanza kulewa kabla mpira ujanzaa
 
Mikoani hakuna fursa zozote acheni kujazana upumbavu kichwani.

Vijana wanaona bora wawe machinga dar kuliko huko unakoona kwenye fursa.

kama hakuna sasa sisi tuliopo na nimezaliwa dar nimekulia dar na nyumba katikati ya mji ukitaka kutembea kwa mguu posta unaenda,ukitaka kwenda sinza,ubungo kila kona kwa mguu na fika alafu uje kusema ushamba na nipo na maisha mazuri na magari ya kutembelea
 
Ikiwa ndo mara ya kwanza unaingia marekani, Kitu cha kwanza jifunze sana kingereza, kitu cha pili somea fani yeyote, cha tatu kuchuka Credit card. ukiwa na hayo matatu nchi ya marekani umemaliza mambo mengine yanakuja, na hayo yote inawezekana kufanyika kwa mtu yeyote anaishi marekani kihalali.
Hapo kwenye credit card ndipo panapowamaliza. Munakopa kupita kiasi halafu kila siku ni kulipa tu, ndiyo maana munashindwa hata kufanya savings zo zote.
 
Mikoani hakuna fursa zozote acheni kujazana upumbavu kichwani.

Vijana wanaona bora wawe machinga dar kuliko huko unakoona kwenye fursa.

nikupe tu habari yako hata mimi nje nimekaa kwa kufikiria kuona nitafanikiwa ila nilikuja kugundua nyumbani ni rahisi kufanikiwa tena sehemu ambapo bado ushindani.kama utaki kuamini nenda uhamiaji pale ukaone wazungu wakiomba uraia hapa .

we jidanganye na dar uje kushtuka sio leo kama una mtaji zaidi ya milioni 30 kwenda mbele.
hata aliyekuwa hapo mtoa uzi unaona kabisa ni bora africa kuliko kwa watu maana una kipi jipya labda kwao kitakuwa kigeni.
 
Kutoka posta hadi Ubungo kwa mguu? Utakuwa umetembea sana. Halafu magari yako yakiwa yamepaki! Ongeza chai huko, tafadhali!
kama hakuna sasa sisi tuliopo na nimezaliwa dar nimekulia dar na nyumba katikati ya mji ukitaka kutembea kwa mguu posta unaenda,ukitaka kwenda sinza,ubungo kila kona kwa mguu na fika alafu uje kusema ushamba na nipo na maisha mazuri na magari ya kutembelea
 
Back
Top Bottom