Hakuna uthibitisho unaoonyesha kua alikua ni shoga, Just rumours na kumchafua. Nachojua swala la mapenzi kwake halikua na nafasi kwake kama genius wengine wote walivyokua. Eg. Tesla, Plato, Archimedes, newton nkMagenius wengi kamaLeonardo Da Vincini mashoga. hao ni wa kuishi nao tu, muulize Makonda atakuhadhia vizuri maana angekuwa Marekani saa hizi.
Davinci alikuwa shoga?Kuna kitu ukielewi, na ukija kikiekewa hutopata shida.
Hao mashoga huwezi kushindana nak kwa namna yoyote ndio wanaongoza dunia na ndio wanamiliki uchumi wa dunia.
Magenius wengi kama Leonardo Da Vinci ni mashoga. hao ni wa kuishi nao tu, muulize Makonda atakuhadhia vizuri maana angekuwa Marekani saa hizi.
Anazungumzia Marekani hiyohiyo, mfafanulie inakuwaje mtu akifa kusafirisha inakuwa issue?
Tupe uzoefu tatizo huwa linakuwa nini?
Da Vinci alikuwa shoga fact, uthibitisho unaoutaka wewe hata kwa kina Juma Lokole huwezi kuthibitisha kama wanabanduliwa.Hakuna uthibitisho unaoonyesha kua alikua ni shoga, Just rumours na kumchafua. Nachojua swala la mapenzi kwake halikua na nafasi kwake kama genius wengine wote walivyokua. Eg. Tesla, Plato, Archimedes, newton nk
Ndiyo, na mpenzi wake ni Borgio.Davinci alikuwa shoga?
Kapige Kazi ya ulinzi South,Dubai au USA utatoboa,uza kiwanja cha familia,miezi mitatu hela imerudi.Asante sana kwa elimu hii nakufuatilia kwa makini manake mimi na elimu yangu kubwa tu kwanini nateseka hapa? Nataka nikachume juani nije nilie kivulini.
Aisee sikuwa jua hiliDa Vinci alikuwa shoga fact, uthibitisho unaoutaka wewe hata kwa kina Juma Lokole huwezi kuthibitisha kama wanabanduliwa.
Ndiyo, na mpenzi wake ni Borgio.
South Africa imejengwa na wazungu, ukijuwa historia ndio utajuwa kwa nini South wapo vile na sisi tumedumaa.Wapigania UHURU ndio wametuharibia waafrika, tungekuwa SAwa na South
Mimi nipo Wyoming na kapicha hako hapo😂😂Mkuu huu uzi bila angalau kapicha ka kuprove ulichoandika, itakuwa ni sawa na mtu anaepanga kufanya business huku mfukoni akiwa hana hela Just tupia hata picha mbili tatu. Mfano mi naishi kaburu na hilo pichani ni eneo ninalofanyia kazi.
View attachment 2205913
View attachment 2205914
View attachment 2205916
View attachment 2205918
Wala haujakosea mkuu. Ndo maeneo hayo hayo ya Oliver Tambo, kila ndege inayoshuka au kupaa tunaiona vizur sana.Napafahamu Kempton park ndipo ulipo uwanja wa Oliver Tambo.
Ukienda mbele zaidi unafika East land mall uzunguni.
KabisaHapana jamaa ameeleza vizuri sanaaa kuhusu US, Inahitaji akili ndogo kuelewa. Itabaki kua Land of Opportunity.
Wengi hawajui mpaka sasa hii dunia inamilikiwa na nani.Aisee sikuwa jua hili
Leonardo Da'Vinci ndio nwanasayansi niliyemsona na kumfuatilia zaidi ila sijawahi kuona uthibitisho wa hilo...Da Vinci alikuwa shoga fact, uthibitisho unaoutaka wewe hata kwa kina Juma Lokole huwezi kuthibitisha kama wanabanduliwa.
Ndiyo, na mpenzi wake ni Borgio.
Ni kama vile watu wanavyosema Yesu alikua na mahusiano na Maria Magdalene jambo ambalo sio kweli na mimi nishatazama documentary kuhusu jambo hilo ila halina uthibitisho dhahiri..Cesare Borgia briefly employed Leonardo da Vinci as military architect and engineer between 1502 and 1503
Huwezi kujua kwakua sio swala la ukweli. Na halina uthibitisho it's just a speculation.Aisee sikuwa jua hili
South Africa unaijuwa au umehadithiwa?Kapige Kazi ya ulinzi South,Dubai au USA utatoboa,uza kiwanja cha familia,miezi mitatu hela imerudi.
Haya ndo maneno mkuu, mtu unaandika kitu na kutafuta cha kushindikizia kile ulichoandika. Sio mtu unaleta mada bila hata picha mbili tatu, watu wataamini vipi, na ukizingatia siku hizi watu wanachakazwa kwa vistori vidogo vidogo kama hivi.