Maisha halisi nchini Marekani

Maisha halisi nchini Marekani

Mama D hapo umezungumza, kupata na kukosa ni popote ulimwenguni, yaani akili zako kichwani, mpangilio wako wa maisha unatengeneza hatima ya maisha yako.Marekani kuna opportunities, ndio,lakini wengine wanaona opportunities za Malaya, ulevi,starehe.nkWengine ni wavivu wa kuzaliwa, hata wangebaki Tanzania wangefeli kimaisha.Uzuri/ubaya wa bongo tunabebana kimaisha,wazembe, wavivu,ndugu, jamaa wana wa absorb. Marekani hakuna hiyo! Lazima ulipie uzembe wako! System imetengenezwa hivyo.
Hivi miji gani hasa ni mizuri kwa mtu anayekuja US kuanza maisha?

Mizuri namaanisha quality of life, better services, security, quality neighbourhood, n.k.

Unaweza nitajia majimbo na neighbourhood zake.
 
Watanzania wengi wetu tunaogopa risk na kufurahia comfort zone.
Mama D naona unakuwa Irrational, Diaspora wote wana umri mmoja! Labda wa rika lako, Marekani ni kama reli ya Kati, kila leo inaingiza watu wa kila aina, type ya first class hadi third. Sample ya Diaspora ni ile ile ya watu walioko Bongo! Nawajua watu wa age yangu hawajafanya lolote,very frustrated, je my sampling inawakilisha Watanzania wote kuwa umri umekwenda na wako frustrated Argue logically Mama.
chief, watu wanavyoiongelea bongo utadhani kila raia anakula raha na asali. Uzuri bongo ni kwetu tunajuana hakuna haja ya kuongea mengi. tuendelee kujadili bei ya Mafuta kwanza na safari ya mama huko Yuesei kwenye royo tua.
 
Hivi miji gani hasa ni mizuri kwa mtu anayekuja US kuanza maisha?

Mizuri namaanisha quality of life, better services, security, quality neighbourhood, n.k.

Unaweza nitajia majimbo na neighbourhood zake.
Mkuu kwangu itakuwa vigumu, kwanza sijatembea States nyingi, na nimeishi State moja tu, Texas. Kwa data za sasa hivi uchumi wa Texas ni mzuri, mashirika na Makampuni mengi Yana hamia hapa, hivyo ajira za kila aina zipo, kuna baadhi ya kodi Texas hazitozwi, hivyo ni raisi kununua nyumba. Katika States nilizotembea,nimeipenda Florida,hasa mji Jacksonville, lakini pia Atlanta Georgia, na Portland Oregon. Lakini Mkuu Marekani ni nchi kubwa mno na diversity pia kubwa mno,unatoka State moja kwenda nyingine unaona vitu tofauti na ulikotoka.Hivyo mwisho wa siku inabaki wapi panakupa Maisha.Na pia hali ya hewa ni tofauti tofauti kila States, naipenda Texas weather ni kama Tanzania,ingawa joto sana summer, na mara chache kuanguka barafu. Hivyo kila anayeishi US atakupa experience tofauti tofauti, lakini kila navyoishi Marekani napenda mno kuishi miji midogo au vijijini tabu yake hakuna kazi, na diversity ya watu ni ndogo,hasa wazungu ambao hawajawahi kuishi na Waafrika,inaweza kukusumbua kidogo.
 
Mkuu kwangu itakuwa vigumu, kwanza sijatembea States nyingi, na nimeishi State moja tu, Texas. Kwa data za sasa hivi uchumi wa Texas ni mzuri, mashirika na Makampuni mengi Yana hamia hapa, hivyo ajira za kila aina zipo, kuna baadhi ya kodi Texas hazitozwi, hivyo ni raisi kununua nyumba. Katika States nilizotembea,nimeipenda Florida,hasa mji Jacksonville, lakini pia Atlanta Georgia, na Portland Oregon. Lakini Mkuu Marekani ni nchi kubwa mno na diversity pia kubwa mno,unatoka State moja kwenda nyingine unaona vitu tofauti na ulikotoka.Hivyo mwisho wa siku inabaki wapi panakupa Maisha.Na pia hali ya hewa ni tofauti tofauti kila States, naipenda Texas weather ni kama Tanzania,ingawa joto sana summer, na mara chache kuanguka barafu. Hivyo kila anayeishi US atakupa experience tofauti tofauti, lakini kila navyoishi Marekani napenda mno kuishi miji midogo au vijijini tabu yake hakuna kazi, na diversity ya watu ni ndogo,hasa wazungu ambao hawajawahi kuishi na Waafrika,inaweza kukusumbua kidogo.
Shukrani sana.
 
Shukrani sana.
Kuhusu security, kila States Ina bad and good neighborhoods. Na ndugu yangu sehemu yenye watu wa masikini Hali ya usalama huwa si nzuri popote pale ulimwenguni. Kila miji mikubwa Zina sehemu hizo,ambazo unatakiwa kuziepuka kuishi.Kwa Dallas ni maeneo ya South Dallas. Uwezo wako wa kifedha mara nyingi unakupeleka kwenye maeneo mazuri yenye usalama.
 
Kuhusu security, kila States Ina bad and good neighborhoods. Na ndugu yangu sehemu yenye watu wa masikini Hali ya usalama huwa si nzuri popote pale ulimwenguni. Kila miji mikubwa Zina sehemu hizo,ambazo unatakiwa kuziepuka kuishi.Kwa Dallas ni maeneo ya South Dallas. Uwezo wako wa kifedha mara nyingi unakupeleka kwenye maeneo mazuri yenye usalama.

SOUTH DALLAS​

South Dallas features major attractions like Fair Park, the Cotton Bowl Stadium, the African American Museum, and the Children’s Aquarium. Unfortunately, South Dallas has violent crime and property crime rates of 363% above and 125% above the national average, contributing to the total crime rate of 161% above the national average.
 
Kinje ketile, hivi utaniweka kundi gani, wakati nakuja US, nilikuwa nimeisha nyumba ambayo kwa Watanzania wengi ni ndoto, Nilikuwa na Rav4, Mark 2 na Old Ford Ranger, Shamba Kibaha, na kiwanja Kibaha, na watoto wangu hawajawahi kusoma shule ya msingi ya serikali mpaka naondoka Tanzania.Je nilikuwa nimetoboa au sijatoboa? Kwa vipimo vya wengi nilikuwa nimetoboa, kwa upande nilikuwa sijatoboa! Nina kiu ya kuona Ulimwengu, kupata challenges mpya na kuzishinda,kuwapa wa wanangu path tofauti katika maisha..Kama kutoboa ni kuwa na gari na nyumba na kamradi ka kusukuma siku, then retirement Umekwisha! Hata wanangu nawaambia wazi, maana ni American citizens kuwa wafikiri beyond US...kuna Canada, Australia, Europe nk Marekani isiwe mwisho wa Naoto zao! Kuja Marekani kumenipatia America passport, before I die nataka niwe nimetembea mabara yote ya Dunia, Kwangu huko ndio Kutoboa.

Mwana nafkiri tunafanana mawazo mimi nipo serikalini na nina baadhi ya vitu ulivonavyo na watu wanaona nimetoboa ila nafsini mwangu naona bado kabisaa sijafanikiwa.naplan kuacha kazi kwenda nje ya afrika kutafuta fursa na kupata exposure zaidi. shida ni the right connection
 
Mwana nafkiri tunafanana mawazo mimi nipo serikalini na nina baadhi ya vitu ulivonavyo na watu wanaona nimetoboa ila nafsini mwangu naona bado kabisaa sijafanikiwa.naplan kuacha kazi kwenda nje ya afrika kutafuta fursa na kupata exposure zaidi. shida ni the right connection
Doyi, safari yangu ilianzia Kufanya kazi West Africa, na nilikutana na Watanzania kutoka nchi ambazo sikutegemea, jamaa mmoja Kazi zake alikua anafanyia Chad na Mali! Niliwahi kukutana na jamaa yuko Mahakama ya UN Freetown Sierra Leone, na kwenye Miradi ya International NGO Liberia na Guinea.
Kwa wengine kutoboa ni zaidi ya simple material things !
Kazi hizi licha ya kukupa pesa but also exposure.Unaanza kujichanganya na watu wa aina na mataifa mbalimbali na kujua hulka zao na kukujengea confidence ya kuishi popote pale ulimwenguni.
 
Anazungumzia Marekani hiyohiyo, mfafanulie inakuwaje mtu akifa kusafirisha inakuwa issue?

Tupe uzoefu tatizo huwa linakuwa nini?
Hivi kuna mtu anajua Idadi halisi ya Watanzania wanaofariki, kurudishwa nyumbani kwa kuchangiwa au kwa gharama zao?
Kwanza kabisa kuchangia misiba ni jadi yetu Watanzania,hivyo hilo halishangazi, kwani hata sisi huku tunachangia misiba Tanzania kwenye koo na Familia zetu.Huku Marekani ni mipangilio ya mtu na maisha yake, Watanzania baadhi walioko huku wameshindwa kujifunza nini cha kufanya mwisho wa maisha Yao! Wazungu wamenifundisha mengi! You have to take for your life to the last minute, hapo ndio inaingia Insurance, nilijiuliza kwani Wamarekani Hawafi? Mbona sijaona michango ya rambirambi, msibani tunapeleka sana sana card na maua! Hivyo nilifanya maamuzi ambayo Watanzani wengi nadhani hawafanyi,Niki huku Insurance ya ku cover funeral expenses, na niliamua nikifa nizikwe America, kwani ndio watoto wangu wapo, na wajukuu zangu watakapokuwepo.Watanzania kama mimi hutasikia tunapitisha bakuli la rambirambi.Kuna Insurance hata za kurudisha mwili nyumbani Tanzania, ni uzembe na kutojua na pia kuwabebesha mzigo wengine.Kama tunavyo plan vitu vingine katika maisha, plan pia ukifa unataka uwe disposed namna gani.Tuko nchi ya ugeni lazima tubadilike.
 
Hivi kuna mtu anajua Idadi halisi ya Watanzania wanaofariki, kurudishwa nyumbani kwa kuchangiwa au kwa gharama zao?
Kwanza kabisa kuchangia misiba ni jadi yetu Watanzania,hivyo hilo halishangazi, kwani hata sisi huku tunachangia misiba Tanzania kwenye koo na Familia zetu.Huku Marekani ni mipangilio ya mtu na maisha yake, Watanzania baadhi walioko huku wameshindwa kujifunza nini cha kufanya mwisho wa maisha Yao! Wazungu wamenifundisha mengi! You have to take for your life to the last minute, hapo ndio inaingia Insurance, nilijiuliza kwani Wamarekani Hawafi? Mbona sijaona michango ya rambirambi, msibani tunapeleka sana sana card na maua! Hivyo nilifanya maamuzi ambayo Watanzani wengi nadhani hawafanyi,Niki huku Insurance ya ku cover funeral expenses, na niliamua nikifa nizikwe America, kwani ndio watoto wangu wapo, na wajukuu zangu watakapokuwepo.Watanzania kama mimi hutasikia tunapitisha bakuli la rambirambi.Kuna Insurance hata za kurudisha mwili nyumbani Tanzania, ni uzembe na kutojua na pia kuwabebesha mzigo wengine.Kama tunavyo plan vitu vingine katika maisha, plan pia ukifa unataka uwe disposed namna gani.Tuko nchi ya ugeni lazima tubadilike.

Screenshot_20220501-135301_WhatsApp.jpg
 
Kikwazo cha Kwanza kuingia Canada Visa yake ni complicated,Na ndugu zangu wanakuja US kwa summer holiday, baadaye wanataka kuingia, Canada,waliapply Visa February mpaka leo a lakini Visa hawajapata.Visa za USA wanazo mkononi. Baada ya Mpwayungu angalia ni economy ipi Ina create more jobs kati US na Canada utaona ni wapi kuingia na kuishi.
Ujinga wa Canada ubalozi wao wa Dar hautowi viza, Viza zitolewa Nairobi.

Kuna ofisi yao ipo kinondoni ndio wanapokea viza application na juzituma docs Nairobi then passport ikirudi ndio unapigiwa simu ukachukuwe passport yako na hapo ndio unajuwa kama wamekupa au umenyolewa, kuna advantage yake lakini kwa utaratibu huu kwa watu ambao wapo genuine. Kwahiyo minimum Canadian viza unatakiwa kuapply miezi mitatu kabla ya safari yako.

Tatizo la US Embassy wanatowa viza same day lakini consular akiamka vibaya unanyolewa, hapo ndio utaona tofauti ya viza ya Canada haitolewi kwa mihemko maombi yako yanapitiwa vizuri kwa umakini na wanatenda haki, ukiona mtu ananyolewa viza ya Canada ni ukweli documentation alikuwa na magumashi mengi.
 
Hii ni misiba hata wana Diaspora tunombwa tuchangie nyumbani.
Au ndugu zangu mlitaka sisi tuchangie na mnaona jambo gumu na ninyi mnaopombwa mchangie? Najua gharama za kurudisha maiti nyumbani ni kubwa, hivyo kama jamaa yenu kaamua kuzikwa nyumbani na hakujiandaa mtabeba jukumu, hata Tanzania tunafanya hivyo.Lakini ukjipanga na kuamua kama mwana Diaspora unaweza kabisa ku cover your own funeral expenses,na baadhi tumefanya hivyo.
 
Ujinga wa Canada ubalozi wao wa Dar hautowi viza, Viza zitolewa Nairobi.

Kuna ofisi yao ipo kinondoni ndio wanapokea viza application na juzituma docs Nairobi then passport ikirudi ndio unapigiwa simu ukachukuwe passport yako na hapo ndio unajuwa kama wamekupa au umenyolewa, kuna advantage yake lakini kwa utaratibu huu kwa watu ambao wapo genuine. Kwahiyo minimum Canadian viza unatakiwa kuapply miezi mitatu kabla ya safari yako.

Tatizo la US Embassy wanatowa viza same day lakini consular akiamka vibaya unanyolewa, hapo ndio utaona tofauti ya viza ya Canada haitolewi kwa mihemko maombi yako yanapitiwa vizuri kwa umakini na wanatenda haki, ukiona mtu ananyolewa viza ya Canada ni ukweli documentation alikuwa na magumashi mengi.
Ni kweli kabisa,nasikia visa ya Canada wakikupa ni ten years multiple entry, sijui kama ni kweli. Na US kama uliwahi kuja na kurudi kwa wakati, visa process imekua ni rahisi,hupitii tena interview
 
Ndg, Hesabu ni Rahisi sana. Fikiria Umetumia 20 Fresh years Kuyatafuta Maisha kama Diaspora.

Huna Contribution yoyote Kwa Nchi...!Kwa Ndg Wa Karibu n.k..!

Unataka Kurudi Nyumbani.Wengi Uliowaacha Nyumbani wako Mbali Kimaendeleo..!
Sasa Wewe Ni Diaspora Kuja Kumzika tu Mzazi Wako Unakosa Nauli... !Wewe Mwenyewe Unajiweka Kwenye Kundi Lipi? Umefanikiwa au Umepoteza...!?

Jua kuwa Ukikaa nje halafu unaganga njaa...wenyewe mnaita kubeba Box kazi hizo za Udereva,kuosha Bakuli kwenye migahawa sijui Kuzoa Taka na Kusafisha mitaro...jua unapoteza muda na Utu Wako.. Rudi tu Nyumbani Kuepuka Kubaguliwa ' Ubaguzi Wa Rangi'.

Huo ndo Ushauri Wangu...Nilishakaa kidogo huko ...Ubaguzi Niliouona Nilijiapiza Kuwa Siwezi Kuuvumilia..!
Utu ni kuishi tanzania na Degree yako pamoja na Elimu uliyosoma nusu ya Maisha yako kwa mshahara wa laki 5? Au kuishi US kubeba Box na kulipwa Dola 20 kwa saaa na kuishi kwenye nyumba mzuri ambayo Bongo unazikuta Masaki na Oysterbay? Which is which? Wabongo mnapenda sana kujifariji
 
Ni kweli kabisa,nasikia visa ya Canada wakikupa ni ten years multiple entry, sijui kama ni kweli. Na US kama uliwahi kuja na kurudi kwa wakati, visa process imekua ni rahisi,hupitii tena interview
Canadian viza zipo wanazotowa mpaka miaka 10 lakini siyo zote na umri pia wanaconsider.

Ukiwa na US viza kupata viza ya Canada ni gurentee.

Kinachochelewesha wao hawawafinyii interview applicants ndio maana inachukuwa muda wanafanya screening wenyewe wakimaliza unapigiwa simu tu ukachukuwe passport, ukishachukuwa passport ndio unajuwa wamekupa au umenyolewa na barua wanakupa ni kwa nini wamekunyowa, lakini pia appeal inaruhusiwa kama timming ya muda inaruhusu kwa viza fee nyingine.

Kwa kifupi kwa watu genuine Canadian viza ni rahisi sana kama zilivyo sheghen viza.

Hizi ni viza zinazohitaji makaratasi tu yaliyosimama tofauti na Marekani kuna watu wamenyimwa viza kwa kutojuwa tu kingereza vizuri na kushindwa kumsikiliza Mmarekani na kumuelewa wakati anatema yai lakini safari zao zilikuwa genuine.
 
Kuhusu security, kila States Ina bad and good neighborhoods. Na ndugu yangu sehemu yenye watu wa masikini Hali ya usalama huwa si nzuri popote pale ulimwenguni. Kila miji mikubwa Zina sehemu hizo,ambazo unatakiwa kuziepuka kuishi.Kwa Dallas ni maeneo ya South Dallas. Uwezo wako wa kifedha mara nyingi unakupeleka kwenye maeneo mazuri yenye usalama.
Kwa hapo texas, maeneo gani ya matajiri ambapo naweza nunua nyumba?
 
Back
Top Bottom