Maisha halisi ya Watanzania waishio hapa Afrika Kusini

Ndo tunachokitaka hicho mkuu...

Ontario atupe updates tujipange ili akitua bongo tuwe tumeshajikamilisha in term of financ time & energy..

Personal, I need to create a privately financed project..
Safi sana.
 
Ume eleweka ,,ila katk utaftaji wa maisha mkuu kuna wenye kupata. Na kukosa pia ,,wabongo wapo wenye pesa kabsa ila tatz la wabongo wengi wawo wanataka maisha ya mkato ndo mana wengi wawo wanauza madawaa ,,wezi,,ili wapate ile pesa ya haraka na utajiri wa haraka ila wenye hasara fika for more research fika Cape Town napo uone vip ndo utajua hali halisi ya maisha ya South Africa
 
Muonekano Wa mtu unasema kama amewin au laah be blessed
Big up mkuu yaani kweli research umeifanya vzr sana...
 
U

ukwamba ukinijibu uliwezaje kusoma gas na mafuta ambayo ni course mpya mpya UDSM kisha uwe South unasoma mimi nitakuwa nimepata kiki?
Wewe ,barafu na Mayalla ni moja ya watu ninaowakubali sana kwa uwasilishaji bora ila hujanijibu kiungwana.
Amesema alipomaliza ndo akaenda SA ila hajasema amesoma SA
 
KATIKA HILI HAKUTUTENDEA HAKI HUYU MHESHIMIWA, ALIYO YA ZUNGUMZA MENGI NI SAHIHI ILA SI KWAMBA WOTE TULIO HAPA TUPO HIVYO INAWEZA LIKAWA NI KOSA LA MWENYEJI WAKO AU NI MAKUSUDI TU! 0733318248 TUWASILIANE UJE NYUMBANI TAFADHALI.
Haaaa kazi ipo na Mimi mnipokee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…