Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toka hapaBado hujawa tayari kutunza na kuendesha familia, mwanaume gani unakuwa na assumotions dhaifu kiasi hicho[emoji849][emoji849]
We bado kivulana fulani hivi kinachoogopa majukumu fullstop
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Baba yake mtoto yuko wapi, waliachanaje na mama yake.? ukijiuliza hayo utajua pakuanzia
Mbona hatari hiyo mkuu..Kama umempenda Muweke ndani...
Uyo baba watoto we zoea TU kukulia akimlilia shida...it's basic principle..Ila hatomchukua kamuacha for a reason...Tena Bora wew unajua analiwa na kimeo kilichomuacha kuliko akachepuka na wakulungwa
Haswaa..... Uliza Binti yoyote 18 - 25 sifa za mwanaume wa Ndoto yake, ni tofauti na mwanamke 30 - 40....
Hiyo simple tu kama umempenda na yeye kapenda halafu mzazi mwenzie ndo kikwazo basi unamuua huyo mzazi mwenzie ili mbaki muishi kwa amaniKuna mambo yanaumiza sana moyo, unakutana na mdada unajisemea huyu ndiye niliyekuwa namuota siku zote, sifa zote unazopenda anazo pengine unamueleza hisia zako naye anakuelewa. Lakini kinachotokea unakuta kashazalishwa na mbaya zaidi baba mtoto bado yupo hai[emoji2][emoji2]
Kuna muda mpaka unatamani ubebe kimya kimya tu, ila ukitafakari zaidi unaona ni heri nusu shari kuliko shari kamili.
Ni inferiority complex tu, mwanamke ni wewe mwenyewe tu utakavyomseti.Kuna mambo yanaumiza sana moyo, unakutana na mdada unajisemea huyu ndiye niliyekuwa namuota siku zote, sifa zote unazopenda anazo pengine unamueleza hisia zako naye anakuelewa. Lakini kinachotokea unakuta kashazalishwa na mbaya zaidi baba mtoto bado yupo hai[emoji2][emoji2]
Kuna muda mpaka unatamani ubebe kimya kimya tu, ila ukitafakari zaidi unaona ni heri nusu shari kuliko shari kamili.
Nigga ..grow tf up...Mbona hatari hiyo mkuu..
Solution hapo ni kwenda kumuua huyo mzazi mwenzake