Maisha hayako fair, kuna muda unakutana na mwanamke ana sifa zote unazotaka lakini Single Mother

Maisha hayako fair, kuna muda unakutana na mwanamke ana sifa zote unazotaka lakini Single Mother

Nimezaa na Mwanamke Mzuri Mrembo kwa sasa anaishi na mume wake ila mwanangu nilimuacha kwa Bibi yake yani mama angu kila shule zikifungwa huja kumuona akitoka huko hupitia mkoa niliopo na mimi naaga kwa wife, Tunachukua lodge kama siku mbili tunakumbushia enzi izo, Yote yote kwa yote Muogope mwanamke alie amua Kubeba mimba kuacha kuitoa mpaka akazaa na kulea huyo lazima amempenda alie mzalisha ndio mana kambebea mimba
 
Sikuambii huyo ni mke mwema ama mbaya mchunguze tabia yeye kama yeye.
Naona wadau wengi wakisema hao single mothers hawafai kwa hoja :
1. Hakuna mwanaume anaacha wife material
2. Atakumbushia na baba mtoto wake.
Ina maana wanaume wote huwa hawadanyanyi kwenye mahusiano? Mfano ana wanawake 3 wote wana tabia njema pengine kazaa na 2 mwisho akioa 1 hao wawili walobaki na aliwadanyanya why wahukumiwe life time?
Mwanamke au mwanaume yeyote ambaye sio bikra ukikutana naye kama hana msimamo binafsi ataendelea na ma ex zake hata kama hawajazaa.
Zipo kesi nyingi wanawake walioolewa bila kuwa single mothers hapo awali wana cheat na exs wao, wapenzi wapya n.k.
NB Mwanamke au mwanaume yoyote katika makuzi anaweza kukosea katika mahusiano hasa ya ujanani akazaa/kuzalisha mtu na mahusiano yale yasifanikiwe. Hii haimfanyi asifae kuwa mke/mume bora people learn,change and move on.
Malaya ni malaya tu awe amezaa au hajazaa
Una akili za kiutu uzima wewe I love you ❤️
 
Nimezaa na Mwanamke Mzuri Mrembo kwa sasa anaishi na mume wake ila mwanangu nilimuacha kwa Bibi yake yani mama angu kila shule zikifungwa huja kumuona akitoka huko hupitia mkoa niliopo na mimi naaga kwa wife, Tunachukua lodge kama siku mbili tunakumbushia enzi izo, Yote yote kwa yote Muogope mwanamke alie amua Kubeba mimba kuacha kuitoa mpaka akazaa na kulea huyo lazima amempenda alie mzalisha ndio mana kambebea mimba
Mkuu hapa nimekuelewa sana..
 
Nimezaa na Mwanamke Mzuri Mrembo kwa sasa anaishi na mume wake ila mwanangu nilimuacha kwa Bibi yake yani mama angu kila shule zikifungwa huja kumuona akitoka huko hupitia mkoa niliopo na mimi naaga kwa wife, Tunachukua lodge kama siku mbili tunakumbushia enzi izo, Yote yote kwa yote Muogope mwanamke alie amua Kubeba mimba kuacha kuitoa mpaka akazaa na kulea huyo lazima amempenda alie mzalisha ndio mana kambebea mimba
Nimekuelewa mnoooo
 
Hakuna mwanaume anayejielewa akaacha mwanamke mwenye heshima, mwenye upendo, mnyenyekevu... hakuna!

Ukiona hivyo jua kuna upande hauko sawa, either upande wa mwanamke au huyo mwanaume ana shida zake.
 
Kuna wanawake wakisha haribu ndio akili huwarudi.
Kwa hiyo usishangae ukiweza kufumba macho wee fumba.(si unajua ile una kiu halafu maji yamebaki ya mwishoni kwenye ndoo inavyokuwaga)😀
 
Hakuna mwanaume anayejielewa akaacha mwanamke mwenye heshima, mwenye upendo, mnyenyekevu... hakuna!

Ukiona hivyo jua kuna upande hauko sawa, either upande wa mwanamke au huyo mwanaume ana shida zake.
Na hakuna mwanamke karne hii ya 21 akawa na hivyo vyote ulivyoorodhesha!

Labda kama umeandika kufurahisha genge tu, NDOA ni gereza lenye kero kuliko hata Guantanamo!
 
Hakuna mwanaume anaweza kuacha mwanamke wife Material...

90% Walifanya ujinga, na Sasa ndo wanatafuta anayevaa Suruali yoyote.

Kweli kabisa me mwenyewe nimeish na mwanamke ambae alikua ametoka kwenye ndoa yake na tiali alikua ameshazaa nauyo mwanaume alie funga nae ndoa kiukweli kadili siku nilivyo kuwa nae ndo nilianza kujua yuko vipi
 
Tatizo kubwa sana tulilonalo sisi Wanadamu ni tabia ya kumchagua Mke au Mume kwa muonekano wake wa nje.

Ukitaka kuishi maisha ya amani katika ndoa kamwe usimchague Mke au Mume kwa kuvutiwa na muonekano wake wa nje.

Anzisha mahusiano ya ndoa na mtu mnayeelewana kwa dhati bila ya kujali muonekano wake wa nje. Vigezo muhimu vya mchumba wako viwe tabia zake na siyo ukubwa wa makalio au uzuri wa umbo na sura.

Amini nakwambia mtu ni tabia, na ukioa mtu au kuolewa basi umeoa au kuolewa na hizo tabia zinazomwakilisha huyo mtu.

Ukioa mtu mwenye tabia nzuri, utaishi katika ndoa nzuri. Ukioa mwenye tabia mbaya hata kama sura yake na umbo lake ni zuri bado ndoa yako itakuwa mbaya.

Binadamu ni tabia, siyo sura wala umbo.

Ni kweli lakini lazima ulizike nae kwanza
 
Nimezaa na Mwanamke Mzuri Mrembo kwa sasa anaishi na mume wake ila mwanangu nilimuacha kwa Bibi yake yani mama angu kila shule zikifungwa huja kumuona akitoka huko hupitia mkoa niliopo na mimi naaga kwa wife, Tunachukua lodge kama siku mbili tunakumbushia enzi izo, Yote yote kwa yote Muogope mwanamke alie amua Kubeba mimba kuacha kuitoa mpaka akazaa na kulea huyo lazima amempenda alie mzalisha ndio mana kambebea mimba
Lakin nilishawai kuishi Zanzibar nikishangaa wa vijana wa kule Zanzibar wao wanao wanawake walio zalishwa na kuachwa yan wenyewe hawa ogopi Yan mwanamke ata hawe amezalishwa watoto wa 5 wenyewe Wana muoa Tu.
 
Lakin nilishawai kuishi Zanzibar nikishangaa wa vijana wa kule Zanzibar wao wanao wanawake walio zalishwa na kuachwa yan wenyewe hawa ogopi Yan mwanamke ata hawe amezalishwa watoto wa 5 wenyewe Wana muoa Tu.
WATU wa pande hizo hawajielewi
 
KAMA ANA SIFA UNAZOZITAKA WW , KWANINI UMWACHE ??

FANYA KITU ROHO YAKO INAPENDA.
 
We love those who we don't deserve and we can't have them.
Inauma kwakweli
 
Back
Top Bottom