Maisha magumu Tanzania. Nimefilisika. Mnashauri nifanye nini?

Maisha magumu Tanzania. Nimefilisika. Mnashauri nifanye nini?

Hapa Tanzania maisha yamekuwa magumu sana. Gharama ya maisha imepanda. Vitu ni ghali sana. Sina hela hata kidogo.
Sidhani kama ni kosa la mtu yeyote isipokuwa mimi ambaye ni mvivu.

Hapa kuna hoja mbili zisizoshahabiana...

1. Gharama ya maisha kupanda
2. Uvivu wa kufanya kazi

Hata ungekuwa na bidii ya kufanya kazi, bado bidii yako isingezuia kupanda kwa gharama ya maisha...

Mada yako acha iongelee uvivu wako tu ambao hata hivyo hauna tiba nyingine zaidi ya kufanya kazi...
 
Mcheki Charles akurushie hata limilioni utumie wikendi. Au ongea ni rufhiwani mbona chapu mambo yananyooka.

Finally, ukiongea na mhozi ndani ya nusu saa utatumiwa chopa kukupeleka Entebbe ili ukutane na Ba Mhozi.
 
Hapa Tanzania maisha yamekuwa magumu sana. Gharama ya maisha imepanda. Vitu ni ghali sana. Sina hela hata kidogo.
Sidhani kama ni kosa la mtu yeyote isipokuwa mimi ambaye ni mvivu.
Lakini tokea alipoingia madarakani Mwendazake mpaka leo nasota waya.
Naona maisha yanazidi kuwa magumu siku baada ya siku.
Ni kama porini. Ukiwa dhaifu,the vultures perch on trees waiting for you to fall.
I have had such a peaceful weekend. I mean wageni wote waliotaka kuja kunitembelea wamefukuzwa ili wasihatarishe usalama wangu. Ni faraja kubwa sana kuona nalindwa vizuri kiasi kwamba hata mgeni mmoja haruhusiwi kunitembelea.
Usitufanyie kejeli Prince. Kuna Prince anaefilisika?

Kula bure, kulala bure, ulinzi bure. Ukitaka mwitongo haya, ukitaka msasani haya.
 
Hapa kuna hoja mbili zisizoshahabiana...

1. Gharama ya maisha kupanda
2. Uvivu wa kufanya kazi

Hata ungekuwa na bidii ya kufanya kazi, bado bidii yako isingezuia kupanda kwa gharama ya maisha...

Mada yako acha iongelee uvivu wako tu ambao hata hivyo hauna tiba nyingine zaidi ya kufanya kazi...
Hahitaji kazi wala hana sababu ya kufanya kazi. Siypo mwenzako huyo.
 
Sasa Mkuu, wewe mtoto wa Baba wa Taifa ukilalamika sisi watoto wa ‘wasiojulikana’ itakuwaje?

Lakini nimependa umekiri u-mvivu, hivyo basi hukupaswa kusema uliyoyasema. Hili ni janga la kula na wa kwenu.
Mtu kakulia Statehouse analialia ivi. Huyu angezaliwa familia zetu angeshakuwa chizi muda mrefu sana kama hadi yeye analalamika je wengine?
kweli upele humuota asiye na kucha
 
Hapa Tanzania maisha yamekuwa magumu sana. Gharama ya maisha imepanda. Vitu ni ghali sana. Sina hela hata kidogo.
Sidhani kama ni kosa la mtu yeyote isipokuwa mimi ambaye ni mvivu.
Lakini tokea alipoingia madarakani Mwendazake mpaka leo nasota waya.
Naona maisha yanazidi kuwa magumu siku baada ya siku.
Ni kama porini. Ukiwa dhaifu,the vultures perch on trees waiting for you to fall.
I have had such a peaceful weekend. I mean wageni wote waliotaka kuja kunitembelea wamefukuzwa ili wasihatarishe usalama wangu. Ni faraja kubwa sana kuona nalindwa vizuri kiasi kwamba hata mgeni mmoja haruhusiwi kunitembelea.
Kwani watoto wako wako wapi? Hawawezi kukutunza?
 
Naandika hivi,namba kuwasilisha,kwa sababu mambo yanayotokea sasa ndiyo yanaamua jambo gani litatokea baadaye.
Nisipoandika hivi,yatatokea mambo,halafu kila mtu ataulizwa,"Kulikoni?"
Mimi nawezaje kuwa mvivu wakati Sina gari,sina baiskeli,natembea kwa mguu?
Na mgomo wa wafsnyakazi za ndani,kuna nafasi gani ya kuwa mvivu?
Unakuja watu wanafanya uovu kwa kuwa hawatangazei.
Alikuwa anasema yule Professor Walter Rodney,mtu akifanya uovu,tengeneza bango,amka in the middle of the night,liweke in a public place, alafu watu hawafanyi uovu tena.Tell everybody what is going on.
 
Naandika hivi,namba kuwasilisha,kwa sababu mambo yanayotokea sasa ndiyo yanaamua jambo gani litatokea baadaye.
Nisipoandika hivi,yatatokea mambo,halafu kila mtu ataulizwa,"Kulikoni?"
Mimi nawezaje kuwa mvivu wakati Sina gari,sina baiskeli,natembea kwa mguu?
Inabidi ufanye matembezi ya hiyari kutoka Pwani hadi Nyamuswa.
 
Back
Top Bottom