Ukishindwa kamwambie mama yako afanye hivyo.Mimi nilitaka nipate mfano kutoka kwako kwanza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukishindwa kamwambie mama yako afanye hivyo.Mimi nilitaka nipate mfano kutoka kwako kwanza.
Ambaye ni bibi yako.Sahihi.Ukishindwa kamwambie mama yako afanye hivyo.
kaka shida mmekalili maisha ni daresalam tu hata mie nlipitia changamot kama izo ila badae nkaona biashar zmekua ovyo naambulia maden tajir yangu kafirisika nkaanza tafta conection ndug zangu wa mkoan nkasafir nmeenda uko nkajkota taratib nikasoma mazngira bdae nkapat kaz ma8sha yanaenda namshkur mungu na matumiz mepes tu si kama dar yn mkoan unaez tumia sik nzima buk3 na ukala vzr jambo ambal dar aliwezkan mkoan kujipanga inakua rahis zaid hap na mek nkipat mtaj wa mana ndio tarud dar kvingine na experiens zaid so my intake kaka rudsha mpira kwa kipa kuanza moj sio ujinga ila ni ngum sana kuanza 1 kwemye mazngira yale yleHapa Tanzania maisha yamekuwa magumu sana. Gharama ya maisha imepanda. Vitu ni ghali sana. Sina hela hata kidogo.
Sidhani kama ni kosa la mtu yeyote isipokuwa mimi ambaye ni mvivu.
Lakini tokea alipoingia madarakani Mwendazake mpaka leo nasota waya.
Naona maisha yanazidi kuwa magumu siku baada ya siku.
Ni kama porini. Ukiwa dhaifu,the vultures perch on trees waiting for you to fall.
I have had such a peaceful weekend. I mean wageni wote waliotaka kuja kunitembelea wamefukuzwa ili wasihatarishe usalama wangu. Ni faraja kubwa sana kuona nalindwa vizuri kiasi kwamba hata mgeni mmoja haruhusiwi kunitembelea.
Uliishia darasa la ngapi?kaka shida mmekalili maisha ni daresalam tu hata mie nlipitia changamot kama izo ila badae nkaona biashar zmekua ovyo naambulia maden tajir yangu kafirisika nkaanza tafta conection ndug zangu wa mkoan nkasafir nmeenda uko nkajkota taratib nikasoma mazngira bdae nkapat kaz ma8sha yanaenda namshkur mungu na matumiz mepes tu si kama dar yn mkoan unaez tumia sik nzima buk3 na ukala vzr jambo ambal dar aliwezkan mkoan kujipanga inakua rahis zaid hap na mek nkipat mtaj wa mana ndio tarud dar kvingine na experiens zaid so my intake kaka rudsha mpira kwa kipa kuanza moj sio ujinga ila ni ngum sana kuanza 1 kwemye mazngira yale yle
Hivi hicho kipub ukitoka kwenu hapo mikocheni unakunja kushotoNasikitika Baba wa Taifa hakuiba hela. Sasa hivi ningekuwa mtu wa kuheshimika.
muulize mama ako anajuaUliishia darasa la ngapi?