Maisha, Mapenzi na Utajiri wa Alikiba; Kuna mengi ya kujifunza

Maisha, Mapenzi na Utajiri wa Alikiba; Kuna mengi ya kujifunza

Hivi mnajua mnachekesha sana sas ww kam hana hela unafurahi ili.iweje?? Ndo maana maskini kuwa mchawi ni kugusa tuu kwa sbb hataki mwenzake afanikiwe. Eti mtu anaenjoy kabisa kusema Aly kiba hana hela sasa wewe unazo?? Unaijua account yake?? Ya kwenu yamewashinda kazi kufatilia ya watu tena ukitaka awe kapuku kama wewe. Mleta mada kasema vzr tuu na hajaleta utimu ila sasa watu walivyo na nongwa. Mimi ni shabiki w dimond na aly kiba nawapenda wote na mafanikio yao.
 
View attachment 650126
Naan kama ilivyo kwa wengine pia mimi ni mpenzi mkubwa sana wa BongoFlavor, Na leo nilikua nafatilia kwa kina kuhusu lifestyle ya mwanamuziki ALIKIBA ambae kwa kawaida ni ngumu kujua details zake kutokana na usiri wake, nilishawahi kuandika hapo nyuma kuhusiana na msanii DIAMOND PLATNUMZ maisha yake na mafanikio yake katika muziki, na leo nikashawishika kumfuatilia ALIKIBA na kusema ukweli kuna mengi ya kujifunza kupitia huyu bwana mdogo,

Melezo katika video


Alikiba pia ni moja ya wasanii wenye mkwanja mrefu kuliko boss wako (napendaga kusema hivyo) na mafanikio yake yalianza kuonekana kuanzia mwaka 2014 alipoamka rasmi na kurudi kwenye game kwa kishindo na ngoma yake ya "MWANA" hapo ndipo milango yake ya mafanikio ikaanza kufunguka na matuzo ya kila pembe ya dunia hii yakaanza kumsogelea, pia ni katika kipindi hichi alikiba alijizolea mamilioni ya mashabiki japo wengi wa mashabiki zake wamemfuata kutokana na chuki walizonazo kwa mpinzani wake, yani DIAMOND PLATNUMZ,

Mafanikio ya alikiba pia yaliongezewa nguvu na ile deal aliyopata ya kujiunga na label kubwa kabisa ya muziki duniani yani "SONY MUSIC" hakuna anaejua amechota kiasi gani katika deal hii lakini kwa hakika ni mpunga mrefu,

Maisha yake ya mapenzi wengi wanafahamu ana watoto wanne na inasemekana kila mtoto na mama yake

Sitaki kuweka maneno mengi lakini mwisho niseme tu inapendeza na kutia moyo kuona vijana wetu wanapata mafanikio makubwa kutokana na kazi zao inatia moyo sana ukilinganisha na kipindi cha nyuma, kwasasa mziki wa tanzania unazalisha mamilionea kila kukicha ni kitu kizuri sana

Utajiri wake ugawie kwa NANE..
Mama×4 + Mtoto×4 = hakuna mafanikio ila ni wingi wa stress na frustration tu, ndio maana hasikiki akijivunia mafanikio yake...!
 
Utajiri wake ugawie kwa NANE..
Mama×4 + Mtoto×4 = hakuna mafanikio ila ni wingi wa stress na frustration tu, ndio maana hasikiki akijivunia mafanikio yake...!
umeona jumba lake la tabata lakini?
 
Hivi mnajua mnachekesha sana sas ww kam hana hela unafurahi ili.iweje?? Ndo maana maskini kuwa mchawi ni kugusa tuu kwa sbb hataki mwenzake afanikiwe. Eti mtu anaenjoy kabisa kusema Aly kiba hana hela sasa wewe unazo?? Unaijua account yake?? Ya kwenu yamewashinda kazi kufatilia ya watu tena ukitaka awe kapuku kama wewe. Mleta mada kasema vzr tuu na hajaleta utimu ila sasa watu walivyo na nongwa. Mimi ni shabiki w dimond na aly kiba nawapenda wote na mafanikio yao.
hili povu sio la nchi hii asee
 
Hata mm nashangaa, au sijaelewa utajiri ndio nn?
Mbona ni lugha tu hapo inayokuchanganya...
Neno tajiri linatokana na neno la kiarabu "Attijara" maana yake ni mfanya biashara..tofauti na wengi wetu tulivyo kariri kuwa tajiri labda ni mtu mwenye pesa nyingi, hivyo mfanya biashara yeyote ni tajiri kwa maana ya uhalisia
 
Back
Top Bottom