Maisha na mikasa ya safari yangu nchini DR Congo miaka ya 2000's hadi kutaka kupigwa risasi hadharani

Maisha na mikasa ya safari yangu nchini DR Congo miaka ya 2000's hadi kutaka kupigwa risasi hadharani

Achana na huyo mtoto wa mama hajui kitu kwaa taarifa tu ni kwamba waasi wote wote ni kitu kimoja ila hugawanyika baadae linapokuja swala la maslahi anyway niligusia tu huko kuweka sawa story sio dhumuni la hii story then mimi huwa naweka real story sio story za vitabuni kwanza mimi mvivu wa kusoma vitabu ndugu saa nane naweka kitu kingine stay turn............
'waasi wote wote ni kitu kimoja ila hugawanyika baadae linapokuja swala la maslahi".

Kwa hio M23 vs FDLR Vs ADF vs Maimai vs RNC wanaweza kua kitu kimoja sio?

😂😂😂😂 Mke wangu naona unalazimisha chai unazonywesha wenzako unataka kila mtu azikubali sio?

We endelea kuelezea kazi zako za ukonda,mambo za 'field' achana nazo unadanganya tu.
 
'waasi wote wote ni kitu kimoja ila hugawanyika baadae linapokuja swala la maslahi".

Kwa hio M23 vs FDLR Vs ADF vs Maimai vs RNC wanaweza kua kitu kimoja sio?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mke wangu naona unalazimisha chai unazonywesha wenzako unataka kila mtu azikubali sio?

We endelea kuelezea kazi zako za ukonda,mambo za 'field' achana nazo unadanganya tu.
Huna unachojua kausha mzee unatia aibu
Kama unaona ni uongo piga kimya acha uzi uendelee tunao amini tuendelee nao
 
'waasi wote wote ni kitu kimoja ila hugawanyika baadae linapokuja swala la maslahi".

Kwa hio M23 vs FDLR Vs ADF vs Maimai vs RNC wanaweza kua kitu kimoja sio?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mke wangu naona unalazimisha chai unazonywesha wenzako unataka kila mtu azikubali sio?

We endelea kuelezea kazi zako za ukonda,mambo za 'field' achana nazo unadanganya tu.
Acha Ujuha....
 
We endelea kusoma vitabu na documentary za congo hivyo vitabu na documentary za vita vya congo nikukufanya wewe uamini watu wanavyotaka lakini reality haiko hivyo hivi unajua kuwa toka mwaka 2001 vikosi vyaj eshi la tanzania lilikuwa congo tayari ulishawahi kusikia hiyo kwenye mavitabu yako ,binafsi niliwahi shuhudia wanajeshi watanzania tena nazungumza nao kabisa kiswahili safii hata kabla ya hiyo m23 unayoisema swala la kiusalama ni siri kubwa sana ya watawala we kaa utulie.
Hahah waambie hao wapenda kusoma hadithi zako ila sio mimi.

Tena uache uongo jeshi lilienda huko(kikosi cha mizinga) tangu 1996 kwny 1st war yao likishiriki kumng'oa Mobutu "kimya kimya" kwa ushirika na nchi nyingine,ila wewe sababu umeenda huko kwa shughuli zako za udereva then unadhani dunia ya kijeshi hapo Congo ilianzia 2001.

We hadithia unavyojua ila kwny chai utaambiwa hii hapana.
 
'waasi wote wote ni kitu kimoja ila hugawanyika baadae linapokuja swala la maslahi".

Kwa hio M23 vs FDLR Vs ADF vs Maimai vs RNC wanaweza kua kitu kimoja sio?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mke wangu naona unalazimisha chai unazonywesha wenzako unataka kila mtu azikubali sio?

We endelea kuelezea kazi zako za ukonda,mambo za 'field' achana nazo unadanganya tu.
Wewe mpuuzi acha kutuharibia Uzi wetu.

Hayawani wewe.
 
Achana na huyo mtoto wa mama hajui kitu kwaa taarifa tu ni kwamba waasi wote wote ni kitu kimoja ila hugawanyika baadae linapokuja swala la maslahi anyway niligusia tu huko kuweka sawa story sio dhumuni la hii story then mimi huwa naweka real story sio story za vitabuni kwanza mimi mvivu wa kusoma vitabu ndugu saa nane naweka kitu kingine stay turn............
Pamoja sana mkuu. Weka mambo
 
Hahah waambie hao wapenda kusoma hadithi zako ila sio mimi.

Tena uache uongo jeshi lilienda huko(kikosi cha mizinga) tangu 1996 kwny 1st war yao likishiriki kumng'oa Mobutu "kimya kimya" kwa ushirika na nchi nyingine,ila wewe sababu umeenda huko kwa shughuli zako za udereva then unadhani dunia ya kijeshi hapo Congo ilianzia 2001.

We hadithia unavyojua ila kwny chai utaambiwa hii hapana.
Kuna mtu kakuita kusoma huu Uzi si ulale mbele huko ?nenda hata jukwaa la history huko
 
Story nzuri, uandishi mzuri tatizo hizi miss miss watakuja wale wajuaji story itapoteza radhaa.. mkuu jitahidi basi tukimbizane na wale ambao kila kitu wanakijua watakuja kuharibu uzi wako bongo man
 
Back
Top Bottom