Torque vs HP
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,769
- 5,084
'waasi wote wote ni kitu kimoja ila hugawanyika baadae linapokuja swala la maslahi".Achana na huyo mtoto wa mama hajui kitu kwaa taarifa tu ni kwamba waasi wote wote ni kitu kimoja ila hugawanyika baadae linapokuja swala la maslahi anyway niligusia tu huko kuweka sawa story sio dhumuni la hii story then mimi huwa naweka real story sio story za vitabuni kwanza mimi mvivu wa kusoma vitabu ndugu saa nane naweka kitu kingine stay turn............
Kwa hio M23 vs FDLR Vs ADF vs Maimai vs RNC wanaweza kua kitu kimoja sio?
😂😂😂😂 Mke wangu naona unalazimisha chai unazonywesha wenzako unataka kila mtu azikubali sio?
We endelea kuelezea kazi zako za ukonda,mambo za 'field' achana nazo unadanganya tu.