Born in town,utawajua tu,kwa kujitutumua ili aonekane anajua sanaHahah waambie hao wapenda kusoma hadithi zako ila sio mimi.
Tena uache uongo jeshi lilienda huko(kikosi cha mizinga) tangu 1996 kwny 1st war yao likishiriki kumng'oa Mobutu "kimya kimya" kwa ushirika na nchi nyingine,ila wewe sababu umeenda huko kwa shughuli zako za udereva then unadhani dunia ya kijeshi hapo Congo ilianzia 2001.
We hadithia unavyojua ila kwny chai utaambiwa hii hapana.
Kikubwa ushaelewa mkuu.Haya kaza kalio hapo kwny kochi,story itaendelea.
Naogopa aiseeTwende Congo[emoji3]
Ila si wanaishi binadamu mkuu!?[emoji1782]Congo sio Kongowe!!
Unaogopa nini basi twende mayyote IslandNaogopa aisee
Waliokata tamaa ya maisha, wenye roho za ukatili wasio na hata chembe ya utu wala uoga!Ila si wanaishi binadamu mkuu!?[emoji1782]
Nipo kando yako! UsiogopeNajiona na mie nimo ndani ya story,
Hasa ile scene ya kupita porini,
Nilikua nasoma huku natetemeka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kapiga msosi alfajiri huyo asikuzingueUtaionaje swaum asubuhi hii?
Pole babyNaogopa aisee
Wala hujakosea Mama watoto.Born in town,utawajua tu,kwa kujitutumua ili aonekane anajua sana
Weka picha nzima tuone bambataa Kama Ni pisi kweli
Ikitokea hatari utapambana[emoji1]Unaogopa nini basi twende mayyote Island
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
kwenye hatari nguvu huja zenyewe automatically usijali[emoji3]Ikitokea hatari utapambana[emoji1]
Mimi sina nguvu.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Mimi hata hizo za kuja automaticale sina[emoji23]kwenye hatari nguvu huja zenyewe automatically usijali[emoji3]