Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaKonda msafi kama namuona anavoiangalia congo ili aje na mambo yake[emoji1][emoji1][emoji1]
Kibaya zaidi congo kama inakuja hivi inakataa....![]()
Inaendelea sehemu ya nane..... nawasalimu kwa kicongo mko byee ?Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ndugu zangu bila shaka mwenyezimungu anaendelea kutupigania hadi sasa.
Ndugu leo naona nilete story kidogo kuhusu safari yangu moja hivi nchini DRC mikasa na visa mbali mbali kwa kipindi chote cha safari wakati napambana na maisha kwenye udereva ili niweze kuishi kama mnavyojua maisha ni popote na kujaribu ni muhimu kuangalia kila sehemu ili uweze kutoka ukinzingatia kuwa wengine shule yetu ni kidogo hivyo ni muhimu kijipambania kwa kila hali ili uweze kujikimu kimaisha tukawa tunashike hili na lile ili mrasi tuweze kuishi.
Story yangu ni ndefu kigodo ila ntajitahidi niimalize kwa wakati ili kuepuka zile maneno za kakimbia sijui nini ila naomba tuwe na uvumilivu tu kwani swala la kuandika nalo ni mtihani ukizingalia device tunazo tumia sio rafiki .kwa wale wasio wavumilivu naomba tupite tu hakuna haja ya kulalamika.
Story inaanzia hapa...
Miaka 2000's kulitokea wimbi kubwa la usafirishaji wa magari kutoka bandarini Dar kwenda DRC kipindi kicho ikitwa congo (kama sijakosea) kipindi hicho nilikuwa najishughulisha na udereva taxi pale Mapambano kijitonyama nikipindi ambacho biashara ya taxi ilikuwa na hela kiasi kwani biashara ya Bajaji na bodaboda ilikuwa bado na watu walikuwa hawajazoea kupanda vyombo hivyo, basii maisha yakawa yanasonga mbele kama sijasahau mwishoni mwa miaka ya 2001 ndo vita congo ilikuwa imepowa japo nilikuwa siwahi kufika huko hata mara moja.
Kijiweni kulikuwa kuna mshikaji alikuwa anaitwa Rama kwanza nikili kuwa huyu jamaa alikuwa mjanja kupitiliza na alikuwa anasafiri sanaa inasemekana hata nganda alikuwa anabeba japo tulikuwa wote pale pale kijiweni nae ana kigari chake mwenyewe anabeba abiria ndipo akanipa mchongo wa kusafiirisha magari ya wa kongo kwenda Congo kipindi hali haikuwa nzuri kwakweli hivyo madereva wengi walikuwa hawapendi kwenda huko japo wacongo walikuwa wanapanda offer ya mpaka dolla 250 kuifikisha gari KASUBALESA boda ya Congo na zambia then unamwachia anamilizia kipande chake.
Hapo ndipo jamaa yangu Rama alipopata hiyo fursa kwa jamaa yake alieoko pale bandarini ambae alikuwa na kampuni yake ya clearing na fowarding pale bandarini na kumwambia kuwa kuna wacongo wanahitaji magari yao yafike lumbumbashi then wao watayasafirishi kwa ndege kwenda kinshasa ila wao hawapandi hizo gari wao tutakutana lumbumbashi sehemymu moja sehemu moja kunaitwa KOTA naona nikaribu na soko kubwa la Lubumbashi mjini katikati.
Cha ajabu jamaa walitoa pesa yote kwa jamaa yao wa pale bandarini na kampuni ndo ilitakiwa isimamie kila kitu hapo ndipo mwanangu Rama akanitustua nakumbuka ilikuwa ni kati ya mwezi wa tano kwenda wa sita. Mvua zinanyesha Dar hakuna mfano abiria hakuna nikaona bora nitoe gari kwa jamaa nikimbize IT kwanza nami nipate uzoefu.
Baada ya jamaa yangu kuweka mambo sawa ikiwemo kupata passport ya karatasi na chanjo ya homa ya manjano mzes mzima siku ikawadia jamaa yule akatupa dolla 100 advance, 50 maillage na 50 ya barabarani nikiongea bararani mnilewe hiyo ya wazee .Gari mpya kutoka kiwandani yani bado zina makaratasi mitusubishi dabo cibin mpya kabisa wazee tukawekewa full tank. Zikabandikwa number za IT .siku ya j2 ndo safiri ikawa imeanza rasmi mara ya kwanza kusafiri na magari ya IT ila mwenzangi rama yeye alikuwa mzoefu hata kwa njia hio pia alikuwa anaijua vizuri na alikuwa anajua hata kizambia kidogo na kikongo kisawahili chao kile cha kuya Papa uko na makuta ngapi? Hhhhaaaa...
Safari imeanza.
ITAENDELEA JIONI...
Inaendelea sehemu ya nane..... nawasalimu kwa kicongo mko byee ?
Haya tusonge tena ebwanae sasa bunduki zikawa zimeelekezwa kwetu vijana wa mafuta wameshasepa zao kwa kusindikizwa na risasi nyingi tu kimbembe kwetu tuliobaki niseme tu siku hiyo nikaona sasa sina uhai tena nasubiri kifo tu basii akili ikawa imeruka kitambo lakini rama katulia tu anawacheki tu harakati zao yani jamaa wanarusha hewani lisasi hatari kama wameona magaidi vile sasa niseme kidogo sehemu tuliyokuwa ni kama pale ambako hata mtu akikupiga robo huwezi kupata msaada yani tupo chaka kama sehemu kulikuwa na godauni hivi halafu kuna ukuta mlefu hivi ...ambao ndo wale vijana waliuruka .
Ghafla kikatoka kibao kwa yule kiongozi wao rama akakiona akajikinga kwa mkono hakikufika usoni kumbuka mimi niko nyuma ya rama na tetemeka kishenzi yani kiongozi wao akawa anafoka akaamriklsha ikala chini (yani tukae chini) .
Ngoja niseme kitu kidogo kuna hali ya kiasili huwa inatokea vitu viwili vikikutana na vikiwa na haiba( sifa ) yenye ufanano amini usiamni haviwezi shikamana matokeo yake vitapatana na kuheshimiana sasa wakati watwambia ikala chini mimi mtu mzima nipo chini kitambo lakini rama kakomaa hakukubali kabisa kukaa chini askali moja akageuza bunduki akataka kumpiga nakitako rama akakwepa kwa kuzuia kwa mikono kumbuka hapo sasa mimi kihoro juu najiuliza huyu jamaa rama ana akili kweli sasa ya nini kwa nini asikae tu chini .
TUHAME STORY KIDOGO.
Kama nilivyosema hapo nyuma kuna utofauti mkubwa sanaa kati ya mtu ambae sio muoga na mtu jasiri sasa pale rama alikutana na mtu jasiri mwenzio ndo maana nikasema majasiri wawili wa kikutana lazima pachimbike na mwisho lazima lazima waheshimiane yani mtu jasiri hata kama moja ana siraha mwingine hana asiekuwa nasilaha huwa haogopi chochote inakuwa sawa na yule kama vile wote wana silaha
Kipindi cha vita kuliibuka vitoto niseme kama vile vilikuwa vina sumbua Dar sijui mnaviita PANYA ROAD wale ndo wajasiri ninaowaongelea yani vinajua kabisa nchi hii ina dola ngumu lakini wao wanaingia nakusimamisha mtaa bila uoga tena na visilaha vya kienyeji lile sasa ndo chimbuko la watu jasiri sasa kutokana na ugumu wa maisha na makuzi congo vijana kama wale walikuwa wengi sanaa kwenye majimbo mbali mbali .
Sasa wakati vita inaendelea askali wakongo wakawa wanaasi hivyo kukatokea upungufu mkubwa sanaa wa wanajeshi wapiganaji ndo kiaina serikali kupitia viongozi wa majimbo na chama tawala wakawa wanawapenyeza jeshini kiaina kwa makubaliano vita ikiisha wataajiriwa lakini halikuwa lengo la serikali za majimbo kadhaa sio kongo nzima na ndo hivyo vikundi vya waasi vilivyokuja kujitokeza baadae ya vita na wengi wao walikuwa under 25 yani walikuwa wanachukuliwa miaka kama kumi na sita 16 na kuendelea anafundishwa kurusha risasi basi .
Kazi imeisha kesho asubuhi wanapandishwa kwenye roli frontline kupigana yani vikawa vinapiganishwa wao kwa wao katika majimbo yenye waasi vilikufa sanaa sasa baada ya vita kupoa waliorudi sasa mjini ndo kasheshe yake hiyo kama hao tuliokutana nayo yanii hata makanali wa jeshi walikuwa wanaviogopa hivyo vitoto kumbuka vimetoka kupigana vita tena vita ya uso kwa uso vimerudi mjini vimezaga yani nimwendo wa vurugu vina siraha nzito nzito na kombati mchamganyiko wa rangi yani wanaweza kupora gari wakawa wanatembea barabarani tena kwenye line ambayo sio yao wole wako umzibie barabara utajuta yanii ukiona gari linakuja usoni kwako wewe pisha hata kwa kuingia mtaroni lakini yeye apite .
Jiji lao so walikuwa wanajulikana migari yao mibovu haina taa wala madirisha yanii nimwemdo wa kuendesha tu ilimradi vurugu tu mtaani sasa ujichanganye uwe mgeni yani utapata tabu vingenevyo uwe na mtu ambae ni mcongo na maarufu au uwe na watu ambao wapo kwenye system angalau utanusurika.
TURUDI KWENYE STORY.
Sasa walitukamata pale nao hawakuwa wanajeshi wenyewe walikuwa wale vijana yani wale madogo ndo walikuwa wametuotea tena tuna mali mafuta pesa na gari mpya .
Sasa kama nilivyosema majasiri wanaheshimiana amini usiamani swala rama ukakata kutii maelekezo yao likaibuwa maswali sasa yakutaka kutujua sisi ni akina nani na kwanini tupo pale halafi cha kushangaza pembeni tumepaki gari mpyaa kabisa hili nalo nafikiri liliwachanganya kidogo kwa kifupi tu ni kwamba kwa kipindi hicho hadi sasa wanaoununua gari mpya ni serikali na watu wazito serikalini basii nadhani liliwatisha halafu hapo hatujaongea so hawajajua kuwa sisi ni raia wa wapi
Maswali ya kaanza ...
Wao :Nyinyi ni akina nani ?
Sisi: hatukujibu rama akatoa passport akawapa .KOSA
kile kiongozi chao kikasema sasa nyie na madocoma( document) mbele ya lisasi zinasema nini?ý
Moja akawa anamwambia wenzie wachukue mafuta chukua hiyo petrol mgari ( yani achukue zile dumu za mafuta.
Rama ndo akaonge sasa wakasikia kiswahili kimenyooka wakasema nyinyi batized ( alimaanisha wataanzania)?
Rama akasema ndio .
Wakauliza sasa mko mnafanya nini apa mnaiba mazutu(mazutu ni mafuta) mcongo .
Hapo ndo rama akawa anawaelezea kuwa tumeishia mafuta hivyi kuna rafiki zetu walikuja kutuuzia mafuta sasa walivyowaona nyie ndo wakakimbia kuogopa sisi tumeishiwa yani akabadili story kutoka sisi kuuza hadi kuwa wanunuzi na hiyo baadae ilitusaidia na kama tungesema tunauza mafuta labda hali ingefika kulazima wenye magari wafike pale tungeoneka sisi sio waaminifu tena wale maboss wangetuharibia kumbuka mpaka.mda huo wanajua tupo guest kule tumepaki .
Sasa katika kuhoji hoji maswali.ya hapa na pale ila kwa ukali na mikwara kibao kumbe kuna mmoja anajua kusoma akachukua ile pasaport akaisoma akaelewa kweli sisi ni watanzania ishu nikawa wanataka yale mafuta rama nae akawa anakoma nao .
Kuna kijana moja katika lile kundi akaamuuliza rama hizi gari niza kuprezince? ( yani kamaanisha gari niza ikulu si mpyaa?) Rama akaitikia ndio pale pale hawakukaa tena wakaondoka fasta hawakutaka hata kukaa tena yani ujanja wao wote sema hizi gari ni za ikulu huguswi tena wanakuwa wanajua ni za wakubwa na kuharibiwa kutawatia hatiani hata kuuawa
Congo kuna wababe wapo kwenye system ya chama tawala asikwambie mtu yani uguse gari lake atakusaka popote pale hata roho atakutoa sasa kumbe yale magari wale jamaa nao ni watu wa system kwenye chama tawala naona ujio wa zile gari walishajua ni za kina nani wakaona isiwe tabu wakasepa za sisi tukachukua mafuta yetu tukageuka tukarudi guest tukatulie kwanza .
Saa nane wale jamaa wakafika wakatupa chetu tukawakabidhi magari yao ila wakafurahi sanaa walikuja na dereva wakamwambia asubuhi atupitie lifti hadi boda wakati wakuondoka kwakweli walifurahi na walituongezea hela kidogo na yale mafuta tuliwaauzia madereva wengine
wa IT pale pale . Asubuhi tukaanza safari ya kurudi homeland tanzania na ndo mwanzo wa kuanza kazi za magari ya IT ukawa umeanza yakawa ndo Maisha yangu kuzunguka nchi mbali mbali ila katika harakati zangu nimeenda kongo zaidi kuliko nchi zingine.
Asante kwa kunifuatilia
MWISHO.
Very interesting!Inaendelea sehemu ya nane..... nawasalimu kwa kicongo mko byee ?
Haya tusonge tena ebwanae sasa bunduki zikawa zimeelekezwa kwetu vijana wa mafuta wameshasepa zao kwa kusindikizwa na risasi nyingi tu kimbembe kwetu tuliobaki niseme tu siku hiyo nikaona sasa sina uhai tena nasubiri kifo tu basii akili ikawa imeruka kitambo lakini rama katulia tu anawacheki tu harakati zao yani jamaa wanarusha hewani lisasi hatari kama wameona magaidi vile sasa niseme kidogo sehemu tuliyokuwa ni kama pale ambako hata mtu akikupiga robo huwezi kupata msaada yani tupo chaka kama sehemu kulikuwa na godauni hivi halafu kuna ukuta mlefu hivi ...ambao ndo wale vijana waliuruka .
Ghafla kikatoka kibao kwa yule kiongozi wao rama akakiona akajikinga kwa mkono hakikufika usoni kumbuka mimi niko nyuma ya rama na tetemeka kishenzi yani kiongozi wao akawa anafoka akaamriklsha ikala chini (yani tukae chini) .
Ngoja niseme kitu kidogo kuna hali ya kiasili huwa inatokea vitu viwili vikikutana na vikiwa na haiba( sifa ) yenye ufanano amini usiamni haviwezi shikamana matokeo yake vitapatana na kuheshimiana sasa wakati watwambia ikala chini mimi mtu mzima nipo chini kitambo lakini rama kakomaa hakukubali kabisa kukaa chini askali moja akageuza bunduki akataka kumpiga nakitako rama akakwepa kwa kuzuia kwa mikono kumbuka hapo sasa mimi kihoro juu najiuliza huyu jamaa rama ana akili kweli sasa ya nini kwa nini asikae tu chini .
TUHAME STORY KIDOGO.
Kama nilivyosema hapo nyuma kuna utofauti mkubwa sanaa kati ya mtu ambae sio muoga na mtu jasiri sasa pale rama alikutana na mtu jasiri mwenzio ndo maana nikasema majasiri wawili wa kikutana lazima pachimbike na mwisho lazima lazima waheshimiane yani mtu jasiri hata kama moja ana siraha mwingine hana asiekuwa nasilaha huwa haogopi chochote inakuwa sawa na yule kama vile wote wana silaha
Kipindi cha vita kuliibuka vitoto niseme kama vile vilikuwa vina sumbua Dar sijui mnaviita PANYA ROAD wale ndo wajasiri ninaowaongelea yani vinajua kabisa nchi hii ina dola ngumu lakini wao wanaingia nakusimamisha mtaa bila uoga tena na visilaha vya kienyeji lile sasa ndo chimbuko la watu jasiri sasa kutokana na ugumu wa maisha na makuzi congo vijana kama wale walikuwa wengi sanaa kwenye majimbo mbali mbali .
Sasa wakati vita inaendelea askali wakongo wakawa wanaasi hivyo kukatokea upungufu mkubwa sanaa wa wanajeshi wapiganaji ndo kiaina serikali kupitia viongozi wa majimbo na chama tawala wakawa wanawapenyeza jeshini kiaina kwa makubaliano vita ikiisha wataajiriwa lakini halikuwa lengo la serikali za majimbo kadhaa sio kongo nzima na ndo hivyo vikundi vya waasi vilivyokuja kujitokeza baadae ya vita na wengi wao walikuwa under 25 yani walikuwa wanachukuliwa miaka kama kumi na sita 16 na kuendelea anafundishwa kurusha risasi basi .
Kazi imeisha kesho asubuhi wanapandishwa kwenye roli frontline kupigana yani vikawa vinapiganishwa wao kwa wao katika majimbo yenye waasi vilikufa sanaa sasa baada ya vita kupoa waliorudi sasa mjini ndo kasheshe yake hiyo kama hao tuliokutana nayo yanii hata makanali wa jeshi walikuwa wanaviogopa hivyo vitoto kumbuka vimetoka kupigana vita tena vita ya uso kwa uso vimerudi mjini vimezaga yani nimwendo wa vurugu vina siraha nzito nzito na kombati mchamganyiko wa rangi yani wanaweza kupora gari wakawa wanatembea barabarani tena kwenye line ambayo sio yao wole wako umzibie barabara utajuta yanii ukiona gari linakuja usoni kwako wewe pisha hata kwa kuingia mtaroni lakini yeye apite .
Jiji lao so walikuwa wanajulikana migari yao mibovu haina taa wala madirisha yanii nimwemdo wa kuendesha tu ilimradi vurugu tu mtaani sasa ujichanganye uwe mgeni yani utapata tabu vingenevyo uwe na mtu ambae ni mcongo na maarufu au uwe na watu ambao wapo kwenye system angalau utanusurika.
TURUDI KWENYE STORY.
Sasa walitukamata pale nao hawakuwa wanajeshi wenyewe walikuwa wale vijana yani wale madogo ndo walikuwa wametuotea tena tuna mali mafuta pesa na gari mpya .
Sasa kama nilivyosema majasiri wanaheshimiana amini usiamani swala rama ukakata kutii maelekezo yao likaibuwa maswali sasa yakutaka kutujua sisi ni akina nani na kwanini tupo pale halafi cha kushangaza pembeni tumepaki gari mpyaa kabisa hili nalo nafikiri liliwachanganya kidogo kwa kifupi tu ni kwamba kwa kipindi hicho hadi sasa wanaoununua gari mpya ni serikali na watu wazito serikalini basii nadhani liliwatisha halafu hapo hatujaongea so hawajajua kuwa sisi ni raia wa wapi
Maswali ya kaanza ...
Wao :Nyinyi ni akina nani ?
Sisi: hatukujibu rama akatoa passport akawapa .KOSA
kile kiongozi chao kikasema sasa nyie na madocoma( document) mbele ya lisasi zinasema nini?ý
Moja akawa anamwambia wenzie wachukue mafuta chukua hiyo petrol mgari ( yani achukue zile dumu za mafuta.
Rama ndo akaonge sasa wakasikia kiswahili kimenyooka wakasema nyinyi batized ( alimaanisha wataanzania)?
Rama akasema ndio .
Wakauliza sasa mko mnafanya nini apa mnaiba mazutu(mazutu ni mafuta) mcongo .
Hapo ndo rama akawa anawaelezea kuwa tumeishia mafuta hivyi kuna rafiki zetu walikuja kutuuzia mafuta sasa walivyowaona nyie ndo wakakimbia kuogopa sisi tumeishiwa yani akabadili story kutoka sisi kuuza hadi kuwa wanunuzi na hiyo baadae ilitusaidia na kama tungesema tunauza mafuta labda hali ingefika kulazima wenye magari wafike pale tungeoneka sisi sio waaminifu tena wale maboss wangetuharibia kumbuka mpaka.mda huo wanajua tupo guest kule tumepaki .
Sasa katika kuhoji hoji maswali.ya hapa na pale ila kwa ukali na mikwara kibao kumbe kuna mmoja anajua kusoma akachukua ile pasaport akaisoma akaelewa kweli sisi ni watanzania ishu nikawa wanataka yale mafuta rama nae akawa anakoma nao .
Kuna kijana moja katika lile kundi akaamuuliza rama hizi gari niza kuprezince? ( yani kamaanisha gari niza ikulu si mpyaa?) Rama akaitikia ndio pale pale hawakukaa tena wakaondoka fasta hawakutaka hata kukaa tena yani ujanja wao wote sema hizi gari ni za ikulu huguswi tena wanakuwa wanajua ni za wakubwa na kuharibiwa kutawatia hatiani hata kuuawa
Congo kuna wababe wapo kwenye system ya chama tawala asikwambie mtu yani uguse gari lake atakusaka popote pale hata roho atakutoa sasa kumbe yale magari wale jamaa nao ni watu wa system kwenye chama tawala naona ujio wa zile gari walishajua ni za kina nani wakaona isiwe tabu wakasepa za sisi tukachukua mafuta yetu tukageuka tukarudi guest tukatulie kwanza .
Saa nane wale jamaa wakafika wakatupa chetu tukawakabidhi magari yao ila wakafurahi sanaa walikuja na dereva wakamwambia asubuhi atupitie lifti hadi boda wakati wakuondoka kwakweli walifurahi na walituongezea hela kidogo na yale mafuta tuliwaauzia madereva wengine
wa IT pale pale . Asubuhi tukaanza safari ya kurudi homeland tanzania na ndo mwanzo wa kuanza kazi za magari ya IT ukawa umeanza yakawa ndo Maisha yangu kuzunguka nchi mbali mbali ila katika harakati zangu nimeenda kongo zaidi kuliko nchi zingine.
Asante kwa kunifuatilia
MWISHO.
Big up sana mpambanajiInaendelea sehemu ya nane..... nawasalimu kwa kicongo mko byee ?
Haya tusonge tena ebwanae sasa bunduki zikawa zimeelekezwa kwetu vijana wa mafuta wameshasepa zao kwa kusindikizwa na risasi nyingi tu kimbembe kwetu tuliobaki niseme tu siku hiyo nikaona sasa sina uhai tena nasubiri kifo tu basii akili ikawa imeruka kitambo lakini rama katulia tu anawacheki tu harakati zao yani jamaa wanarusha hewani lisasi hatari kama wameona magaidi vile sasa niseme kidogo sehemu tuliyokuwa ni kama pale ambako hata mtu akikupiga robo huwezi kupata msaada yani tupo chaka kama sehemu kulikuwa na godauni hivi halafu kuna ukuta mlefu hivi ...ambao ndo wale vijana waliuruka .
Ghafla kikatoka kibao kwa yule kiongozi wao rama akakiona akajikinga kwa mkono hakikufika usoni kumbuka mimi niko nyuma ya rama na tetemeka kishenzi yani kiongozi wao akawa anafoka akaamriklsha ikala chini (yani tukae chini) .
Ngoja niseme kitu kidogo kuna hali ya kiasili huwa inatokea vitu viwili vikikutana na vikiwa na haiba( sifa ) yenye ufanano amini usiamni haviwezi shikamana matokeo yake vitapatana na kuheshimiana sasa wakati watwambia ikala chini mimi mtu mzima nipo chini kitambo lakini rama kakomaa hakukubali kabisa kukaa chini askali moja akageuza bunduki akataka kumpiga nakitako rama akakwepa kwa kuzuia kwa mikono kumbuka hapo sasa mimi kihoro juu najiuliza huyu jamaa rama ana akili kweli sasa ya nini kwa nini asikae tu chini .
TUHAME STORY KIDOGO.
Kama nilivyosema hapo nyuma kuna utofauti mkubwa sanaa kati ya mtu ambae sio muoga na mtu jasiri sasa pale rama alikutana na mtu jasiri mwenzio ndo maana nikasema majasiri wawili wa kikutana lazima pachimbike na mwisho lazima lazima waheshimiane yani mtu jasiri hata kama moja ana siraha mwingine hana asiekuwa nasilaha huwa haogopi chochote inakuwa sawa na yule kama vile wote wana silaha
Kipindi cha vita kuliibuka vitoto niseme kama vile vilikuwa vina sumbua Dar sijui mnaviita PANYA ROAD wale ndo wajasiri ninaowaongelea yani vinajua kabisa nchi hii ina dola ngumu lakini wao wanaingia nakusimamisha mtaa bila uoga tena na visilaha vya kienyeji lile sasa ndo chimbuko la watu jasiri sasa kutokana na ugumu wa maisha na makuzi congo vijana kama wale walikuwa wengi sanaa kwenye majimbo mbali mbali .
Sasa wakati vita inaendelea askali wakongo wakawa wanaasi hivyo kukatokea upungufu mkubwa sanaa wa wanajeshi wapiganaji ndo kiaina serikali kupitia viongozi wa majimbo na chama tawala wakawa wanawapenyeza jeshini kiaina kwa makubaliano vita ikiisha wataajiriwa lakini halikuwa lengo la serikali za majimbo kadhaa sio kongo nzima na ndo hivyo vikundi vya waasi vilivyokuja kujitokeza baadae ya vita na wengi wao walikuwa under 25 yani walikuwa wanachukuliwa miaka kama kumi na sita 16 na kuendelea anafundishwa kurusha risasi basi .
Kazi imeisha kesho asubuhi wanapandishwa kwenye roli frontline kupigana yani vikawa vinapiganishwa wao kwa wao katika majimbo yenye waasi vilikufa sanaa sasa baada ya vita kupoa waliorudi sasa mjini ndo kasheshe yake hiyo kama hao tuliokutana nayo yanii hata makanali wa jeshi walikuwa wanaviogopa hivyo vitoto kumbuka vimetoka kupigana vita tena vita ya uso kwa uso vimerudi mjini vimezaga yani nimwendo wa vurugu vina siraha nzito nzito na kombati mchamganyiko wa rangi yani wanaweza kupora gari wakawa wanatembea barabarani tena kwenye line ambayo sio yao wole wako umzibie barabara utajuta yanii ukiona gari linakuja usoni kwako wewe pisha hata kwa kuingia mtaroni lakini yeye apite .
Jiji lao so walikuwa wanajulikana migari yao mibovu haina taa wala madirisha yanii nimwemdo wa kuendesha tu ilimradi vurugu tu mtaani sasa ujichanganye uwe mgeni yani utapata tabu vingenevyo uwe na mtu ambae ni mcongo na maarufu au uwe na watu ambao wapo kwenye system angalau utanusurika.
TURUDI KWENYE STORY.
Sasa walitukamata pale nao hawakuwa wanajeshi wenyewe walikuwa wale vijana yani wale madogo ndo walikuwa wametuotea tena tuna mali mafuta pesa na gari mpya .
Sasa kama nilivyosema majasiri wanaheshimiana amini usiamani swala rama ukakata kutii maelekezo yao likaibuwa maswali sasa yakutaka kutujua sisi ni akina nani na kwanini tupo pale halafi cha kushangaza pembeni tumepaki gari mpyaa kabisa hili nalo nafikiri liliwachanganya kidogo kwa kifupi tu ni kwamba kwa kipindi hicho hadi sasa wanaoununua gari mpya ni serikali na watu wazito serikalini basii nadhani liliwatisha halafu hapo hatujaongea so hawajajua kuwa sisi ni raia wa wapi
Maswali ya kaanza ...
Wao :Nyinyi ni akina nani ?
Sisi: hatukujibu rama akatoa passport akawapa .KOSA
kile kiongozi chao kikasema sasa nyie na madocoma( document) mbele ya lisasi zinasema nini?ý
Moja akawa anamwambia wenzie wachukue mafuta chukua hiyo petrol mgari ( yani achukue zile dumu za mafuta.
Rama ndo akaonge sasa wakasikia kiswahili kimenyooka wakasema nyinyi batized ( alimaanisha wataanzania)?
Rama akasema ndio .
Wakauliza sasa mko mnafanya nini apa mnaiba mazutu(mazutu ni mafuta) mcongo .
Hapo ndo rama akawa anawaelezea kuwa tumeishia mafuta hivyi kuna rafiki zetu walikuja kutuuzia mafuta sasa walivyowaona nyie ndo wakakimbia kuogopa sisi tumeishiwa yani akabadili story kutoka sisi kuuza hadi kuwa wanunuzi na hiyo baadae ilitusaidia na kama tungesema tunauza mafuta labda hali ingefika kulazima wenye magari wafike pale tungeoneka sisi sio waaminifu tena wale maboss wangetuharibia kumbuka mpaka.mda huo wanajua tupo guest kule tumepaki .
Sasa katika kuhoji hoji maswali.ya hapa na pale ila kwa ukali na mikwara kibao kumbe kuna mmoja anajua kusoma akachukua ile pasaport akaisoma akaelewa kweli sisi ni watanzania ishu nikawa wanataka yale mafuta rama nae akawa anakoma nao .
Kuna kijana moja katika lile kundi akaamuuliza rama hizi gari niza kuprezince? ( yani kamaanisha gari niza ikulu si mpyaa?) Rama akaitikia ndio pale pale hawakukaa tena wakaondoka fasta hawakutaka hata kukaa tena yani ujanja wao wote sema hizi gari ni za ikulu huguswi tena wanakuwa wanajua ni za wakubwa na kuharibiwa kutawatia hatiani hata kuuawa
Congo kuna wababe wapo kwenye system ya chama tawala asikwambie mtu yani uguse gari lake atakusaka popote pale hata roho atakutoa sasa kumbe yale magari wale jamaa nao ni watu wa system kwenye chama tawala naona ujio wa zile gari walishajua ni za kina nani wakaona isiwe tabu wakasepa za sisi tukachukua mafuta yetu tukageuka tukarudi guest tukatulie kwanza .
Saa nane wale jamaa wakafika wakatupa chetu tukawakabidhi magari yao ila wakafurahi sanaa walikuja na dereva wakamwambia asubuhi atupitie lifti hadi boda wakati wakuondoka kwakweli walifurahi na walituongezea hela kidogo na yale mafuta tuliwaauzia madereva wengine
wa IT pale pale . Asubuhi tukaanza safari ya kurudi homeland tanzania na ndo mwanzo wa kuanza kazi za magari ya IT ukawa umeanza yakawa ndo Maisha yangu kuzunguka nchi mbali mbali ila katika harakati zangu nimeenda kongo zaidi kuliko nchi zingine.
Asante kwa kunifuatilia
MWISHO.
Inaendelea sehemu ya nane..... nawasalimu kwa kicongo mko byee ?
Haya tusonge tena ebwanae sasa bunduki zikawa zimeelekezwa kwetu vijana wa mafuta wameshasepa zao kwa kusindikizwa na risasi nyingi tu kimbembe kwetu tuliobaki niseme tu siku hiyo nikaona sasa sina uhai tena nasubiri kifo tu basii akili ikawa imeruka kitambo lakini rama katulia tu anawacheki tu harakati zao yani jamaa wanarusha hewani lisasi hatari kama wameona magaidi vile sasa niseme kidogo sehemu tuliyokuwa ni kama pale ambako hata mtu akikupiga robo huwezi kupata msaada yani tupo chaka kama sehemu kulikuwa na godauni hivi halafu kuna ukuta mlefu hivi ...ambao ndo wale vijana waliuruka .
Ghafla kikatoka kibao kwa yule kiongozi wao rama akakiona akajikinga kwa mkono hakikufika usoni kumbuka mimi niko nyuma ya rama na tetemeka kishenzi yani kiongozi wao akawa anafoka akaamriklsha ikala chini (yani tukae chini) .
Ngoja niseme kitu kidogo kuna hali ya kiasili huwa inatokea vitu viwili vikikutana na vikiwa na haiba( sifa ) yenye ufanano amini usiamni haviwezi shikamana matokeo yake vitapatana na kuheshimiana sasa wakati watwambia ikala chini mimi mtu mzima nipo chini kitambo lakini rama kakomaa hakukubali kabisa kukaa chini askali moja akageuza bunduki akataka kumpiga nakitako rama akakwepa kwa kuzuia kwa mikono kumbuka hapo sasa mimi kihoro juu najiuliza huyu jamaa rama ana akili kweli sasa ya nini kwa nini asikae tu chini .
TUHAME STORY KIDOGO.
Kama nilivyosema hapo nyuma kuna utofauti mkubwa sanaa kati ya mtu ambae sio muoga na mtu jasiri sasa pale rama alikutana na mtu jasiri mwenzio ndo maana nikasema majasiri wawili wa kikutana lazima pachimbike na mwisho lazima lazima waheshimiane yani mtu jasiri hata kama moja ana siraha mwingine hana asiekuwa nasilaha huwa haogopi chochote inakuwa sawa na yule kama vile wote wana silaha
Kipindi cha vita kuliibuka vitoto niseme kama vile vilikuwa vina sumbua Dar sijui mnaviita PANYA ROAD wale ndo wajasiri ninaowaongelea yani vinajua kabisa nchi hii ina dola ngumu lakini wao wanaingia nakusimamisha mtaa bila uoga tena na visilaha vya kienyeji lile sasa ndo chimbuko la watu jasiri sasa kutokana na ugumu wa maisha na makuzi congo vijana kama wale walikuwa wengi sanaa kwenye majimbo mbali mbali .
Sasa wakati vita inaendelea askali wakongo wakawa wanaasi hivyo kukatokea upungufu mkubwa sanaa wa wanajeshi wapiganaji ndo kiaina serikali kupitia viongozi wa majimbo na chama tawala wakawa wanawapenyeza jeshini kiaina kwa makubaliano vita ikiisha wataajiriwa lakini halikuwa lengo la serikali za majimbo kadhaa sio kongo nzima na ndo hivyo vikundi vya waasi vilivyokuja kujitokeza baadae ya vita na wengi wao walikuwa under 25 yani walikuwa wanachukuliwa miaka kama kumi na sita 16 na kuendelea anafundishwa kurusha risasi basi .
Kazi imeisha kesho asubuhi wanapandishwa kwenye roli frontline kupigana yani vikawa vinapiganishwa wao kwa wao katika majimbo yenye waasi vilikufa sanaa sasa baada ya vita kupoa waliorudi sasa mjini ndo kasheshe yake hiyo kama hao tuliokutana nayo yanii hata makanali wa jeshi walikuwa wanaviogopa hivyo vitoto kumbuka vimetoka kupigana vita tena vita ya uso kwa uso vimerudi mjini vimezaga yani nimwendo wa vurugu vina siraha nzito nzito na kombati mchamganyiko wa rangi yani wanaweza kupora gari wakawa wanatembea barabarani tena kwenye line ambayo sio yao wole wako umzibie barabara utajuta yanii ukiona gari linakuja usoni kwako wewe pisha hata kwa kuingia mtaroni lakini yeye apite .
Jiji lao so walikuwa wanajulikana migari yao mibovu haina taa wala madirisha yanii nimwemdo wa kuendesha tu ilimradi vurugu tu mtaani sasa ujichanganye uwe mgeni yani utapata tabu vingenevyo uwe na mtu ambae ni mcongo na maarufu au uwe na watu ambao wapo kwenye system angalau utanusurika.
TURUDI KWENYE STORY.
Sasa walitukamata pale nao hawakuwa wanajeshi wenyewe walikuwa wale vijana yani wale madogo ndo walikuwa wametuotea tena tuna mali mafuta pesa na gari mpya .
Sasa kama nilivyosema majasiri wanaheshimiana amini usiamani swala rama ukakata kutii maelekezo yao likaibuwa maswali sasa yakutaka kutujua sisi ni akina nani na kwanini tupo pale halafi cha kushangaza pembeni tumepaki gari mpyaa kabisa hili nalo nafikiri liliwachanganya kidogo kwa kifupi tu ni kwamba kwa kipindi hicho hadi sasa wanaoununua gari mpya ni serikali na watu wazito serikalini basii nadhani liliwatisha halafu hapo hatujaongea so hawajajua kuwa sisi ni raia wa wapi
Maswali ya kaanza ...
Wao :Nyinyi ni akina nani ?
Sisi: hatukujibu rama akatoa passport akawapa .KOSA
kile kiongozi chao kikasema sasa nyie na madocoma( document) mbele ya lisasi zinasema nini?ý
Moja akawa anamwambia wenzie wachukue mafuta chukua hiyo petrol mgari ( yani achukue zile dumu za mafuta.
Rama ndo akaonge sasa wakasikia kiswahili kimenyooka wakasema nyinyi batized ( alimaanisha wataanzania)?
Rama akasema ndio .
Wakauliza sasa mko mnafanya nini apa mnaiba mazutu(mazutu ni mafuta) mcongo .
Hapo ndo rama akawa anawaelezea kuwa tumeishia mafuta hivyi kuna rafiki zetu walikuja kutuuzia mafuta sasa walivyowaona nyie ndo wakakimbia kuogopa sisi tumeishiwa yani akabadili story kutoka sisi kuuza hadi kuwa wanunuzi na hiyo baadae ilitusaidia na kama tungesema tunauza mafuta labda hali ingefika kulazima wenye magari wafike pale tungeoneka sisi sio waaminifu tena wale maboss wangetuharibia kumbuka mpaka.mda huo wanajua tupo guest kule tumepaki .
Sasa katika kuhoji hoji maswali.ya hapa na pale ila kwa ukali na mikwara kibao kumbe kuna mmoja anajua kusoma akachukua ile pasaport akaisoma akaelewa kweli sisi ni watanzania ishu nikawa wanataka yale mafuta rama nae akawa anakoma nao .
Kuna kijana moja katika lile kundi akaamuuliza rama hizi gari niza kuprezince? ( yani kamaanisha gari niza ikulu si mpyaa?) Rama akaitikia ndio pale pale hawakukaa tena wakaondoka fasta hawakutaka hata kukaa tena yani ujanja wao wote sema hizi gari ni za ikulu huguswi tena wanakuwa wanajua ni za wakubwa na kuharibiwa kutawatia hatiani hata kuuawa
Congo kuna wababe wapo kwenye system ya chama tawala asikwambie mtu yani uguse gari lake atakusaka popote pale hata roho atakutoa sasa kumbe yale magari wale jamaa nao ni watu wa system kwenye chama tawala naona ujio wa zile gari walishajua ni za kina nani wakaona isiwe tabu wakasepa za sisi tukachukua mafuta yetu tukageuka tukarudi guest tukatulie kwanza .
Saa nane wale jamaa wakafika wakatupa chetu tukawakabidhi magari yao ila wakafurahi sanaa walikuja na dereva wakamwambia asubuhi atupitie lifti hadi boda wakati wakuondoka kwakweli walifurahi na walituongezea hela kidogo na yale mafuta tuliwaauzia madereva wengine
wa IT pale pale . Asubuhi tukaanza safari ya kurudi homeland tanzania na ndo mwanzo wa kuanza kazi za magari ya IT ukawa umeanza yakawa ndo Maisha yangu kuzunguka nchi mbali mbali ila katika harakati zangu nimeenda kongo zaidi kuliko nchi zingine.
Asante kwa kunifuatilia
MWISHO.
yaani bega kwa bega sikuachi katu[emoji16]Mimi hata hizo za kuja automaticale sina[emoji23]
Ila upo,utanisaidia eeh!
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Hapo sawa[emoji847][emoji6]yaani bega kwa bega sikuachi katu[emoji16]
Sasa rama yuko wapi? Kama bado yupo hai anioe[emoji18][emoji18] hata mke wa nne
Haya twende, bongo kuna watu wanapambana sana napata nguvu[emoji419]
Asante kwa story mkuu, nimejifunza mengi katika mkasa wako.Inaendelea sehemu ya nane..... nawasalimu kwa kicongo mko byee ?
Haya tusonge tena ebwanae sasa bunduki zikawa zimeelekezwa kwetu vijana wa mafuta wameshasepa zao kwa kusindikizwa na risasi nyingi tu kimbembe kwetu tuliobaki niseme tu siku hiyo nikaona sasa sina uhai tena nasubiri kifo tu basii akili ikawa imeruka kitambo lakini rama katulia tu anawacheki tu harakati zao yani jamaa wanarusha hewani lisasi hatari kama wameona magaidi vile sasa niseme kidogo sehemu tuliyokuwa ni kama pale ambako hata mtu akikupiga robo huwezi kupata msaada yani tupo chaka kama sehemu kulikuwa na godauni hivi halafu kuna ukuta mlefu hivi ...ambao ndo wale vijana waliuruka .
Ghafla kikatoka kibao kwa yule kiongozi wao rama akakiona akajikinga kwa mkono hakikufika usoni kumbuka mimi niko nyuma ya rama na tetemeka kishenzi yani kiongozi wao akawa anafoka akaamriklsha ikala chini (yani tukae chini) .
Ngoja niseme kitu kidogo kuna hali ya kiasili huwa inatokea vitu viwili vikikutana na vikiwa na haiba( sifa ) yenye ufanano amini usiamni haviwezi shikamana matokeo yake vitapatana na kuheshimiana sasa wakati watwambia ikala chini mimi mtu mzima nipo chini kitambo lakini rama kakomaa hakukubali kabisa kukaa chini askali moja akageuza bunduki akataka kumpiga nakitako rama akakwepa kwa kuzuia kwa mikono kumbuka hapo sasa mimi kihoro juu najiuliza huyu jamaa rama ana akili kweli sasa ya nini kwa nini asikae tu chini .
TUHAME STORY KIDOGO.
Kama nilivyosema hapo nyuma kuna utofauti mkubwa sanaa kati ya mtu ambae sio muoga na mtu jasiri sasa pale rama alikutana na mtu jasiri mwenzio ndo maana nikasema majasiri wawili wa kikutana lazima pachimbike na mwisho lazima lazima waheshimiane yani mtu jasiri hata kama moja ana siraha mwingine hana asiekuwa nasilaha huwa haogopi chochote inakuwa sawa na yule kama vile wote wana silaha
Kipindi cha vita kuliibuka vitoto niseme kama vile vilikuwa vina sumbua Dar sijui mnaviita PANYA ROAD wale ndo wajasiri ninaowaongelea yani vinajua kabisa nchi hii ina dola ngumu lakini wao wanaingia nakusimamisha mtaa bila uoga tena na visilaha vya kienyeji lile sasa ndo chimbuko la watu jasiri sasa kutokana na ugumu wa maisha na makuzi congo vijana kama wale walikuwa wengi sanaa kwenye majimbo mbali mbali .
Sasa wakati vita inaendelea askali wakongo wakawa wanaasi hivyo kukatokea upungufu mkubwa sanaa wa wanajeshi wapiganaji ndo kiaina serikali kupitia viongozi wa majimbo na chama tawala wakawa wanawapenyeza jeshini kiaina kwa makubaliano vita ikiisha wataajiriwa lakini halikuwa lengo la serikali za majimbo kadhaa sio kongo nzima na ndo hivyo vikundi vya waasi vilivyokuja kujitokeza baadae ya vita na wengi wao walikuwa under 25 yani walikuwa wanachukuliwa miaka kama kumi na sita 16 na kuendelea anafundishwa kurusha risasi basi .
Kazi imeisha kesho asubuhi wanapandishwa kwenye roli frontline kupigana yani vikawa vinapiganishwa wao kwa wao katika majimbo yenye waasi vilikufa sanaa sasa baada ya vita kupoa waliorudi sasa mjini ndo kasheshe yake hiyo kama hao tuliokutana nayo yanii hata makanali wa jeshi walikuwa wanaviogopa hivyo vitoto kumbuka vimetoka kupigana vita tena vita ya uso kwa uso vimerudi mjini vimezaga yani nimwendo wa vurugu vina siraha nzito nzito na kombati mchamganyiko wa rangi yani wanaweza kupora gari wakawa wanatembea barabarani tena kwenye line ambayo sio yao wole wako umzibie barabara utajuta yanii ukiona gari linakuja usoni kwako wewe pisha hata kwa kuingia mtaroni lakini yeye apite .
Jiji lao so walikuwa wanajulikana migari yao mibovu haina taa wala madirisha yanii nimwemdo wa kuendesha tu ilimradi vurugu tu mtaani sasa ujichanganye uwe mgeni yani utapata tabu vingenevyo uwe na mtu ambae ni mcongo na maarufu au uwe na watu ambao wapo kwenye system angalau utanusurika.
TURUDI KWENYE STORY.
Sasa walitukamata pale nao hawakuwa wanajeshi wenyewe walikuwa wale vijana yani wale madogo ndo walikuwa wametuotea tena tuna mali mafuta pesa na gari mpya .
Sasa kama nilivyosema majasiri wanaheshimiana amini usiamani swala rama ukakata kutii maelekezo yao likaibuwa maswali sasa yakutaka kutujua sisi ni akina nani na kwanini tupo pale halafi cha kushangaza pembeni tumepaki gari mpyaa kabisa hili nalo nafikiri liliwachanganya kidogo kwa kifupi tu ni kwamba kwa kipindi hicho hadi sasa wanaoununua gari mpya ni serikali na watu wazito serikalini basii nadhani liliwatisha halafu hapo hatujaongea so hawajajua kuwa sisi ni raia wa wapi
Maswali ya kaanza ...
Wao :Nyinyi ni akina nani ?
Sisi: hatukujibu rama akatoa passport akawapa .KOSA
kile kiongozi chao kikasema sasa nyie na madocoma( document) mbele ya lisasi zinasema nini?ý
Moja akawa anamwambia wenzie wachukue mafuta chukua hiyo petrol mgari ( yani achukue zile dumu za mafuta.
Rama ndo akaonge sasa wakasikia kiswahili kimenyooka wakasema nyinyi batized ( alimaanisha wataanzania)?
Rama akasema ndio .
Wakauliza sasa mko mnafanya nini apa mnaiba mazutu(mazutu ni mafuta) mcongo .
Hapo ndo rama akawa anawaelezea kuwa tumeishia mafuta hivyi kuna rafiki zetu walikuja kutuuzia mafuta sasa walivyowaona nyie ndo wakakimbia kuogopa sisi tumeishiwa yani akabadili story kutoka sisi kuuza hadi kuwa wanunuzi na hiyo baadae ilitusaidia na kama tungesema tunauza mafuta labda hali ingefika kulazima wenye magari wafike pale tungeoneka sisi sio waaminifu tena wale maboss wangetuharibia kumbuka mpaka.mda huo wanajua tupo guest kule tumepaki .
Sasa katika kuhoji hoji maswali.ya hapa na pale ila kwa ukali na mikwara kibao kumbe kuna mmoja anajua kusoma akachukua ile pasaport akaisoma akaelewa kweli sisi ni watanzania ishu nikawa wanataka yale mafuta rama nae akawa anakoma nao .
Kuna kijana moja katika lile kundi akaamuuliza rama hizi gari niza kuprezince? ( yani kamaanisha gari niza ikulu si mpyaa?) Rama akaitikia ndio pale pale hawakukaa tena wakaondoka fasta hawakutaka hata kukaa tena yani ujanja wao wote sema hizi gari ni za ikulu huguswi tena wanakuwa wanajua ni za wakubwa na kuharibiwa kutawatia hatiani hata kuuawa
Congo kuna wababe wapo kwenye system ya chama tawala asikwambie mtu yani uguse gari lake atakusaka popote pale hata roho atakutoa sasa kumbe yale magari wale jamaa nao ni watu wa system kwenye chama tawala naona ujio wa zile gari walishajua ni za kina nani wakaona isiwe tabu wakasepa za sisi tukachukua mafuta yetu tukageuka tukarudi guest tukatulie kwanza .
Saa nane wale jamaa wakafika wakatupa chetu tukawakabidhi magari yao ila wakafurahi sanaa walikuja na dereva wakamwambia asubuhi atupitie lifti hadi boda wakati wakuondoka kwakweli walifurahi na walituongezea hela kidogo na yale mafuta tuliwaauzia madereva wengine
wa IT pale pale . Asubuhi tukaanza safari ya kurudi homeland tanzania na ndo mwanzo wa kuanza kazi za magari ya IT ukawa umeanza yakawa ndo Maisha yangu kuzunguka nchi mbali mbali ila katika harakati zangu nimeenda kongo zaidi kuliko nchi zingine.
Asante kwa kunifuatilia
MWISHO.
🤣🤣🤣Nimekukosea nini mkuu, mbona unanichongea😀🏃♀️