Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kwa storyInaendelea sehemu ya nane..... nawasalimu kwa kicongo mko byee ?
Haya tusonge tena ebwanae sasa bunduki zikawa zimeelekezwa kwetu vijana wa mafuta wameshasepa zao kwa kusindikizwa na risasi nyingi tu kimbembe kwetu tuliobaki niseme tu siku hiyo nikaona sasa sina uhai tena nasubiri kifo tu basii akili ikawa imeruka kitambo lakini rama katulia tu anawacheki tu harakati zao yani jamaa wanarusha hewani lisasi hatari kama wameona magaidi vile sasa niseme kidogo sehemu tuliyokuwa ni kama pale ambako hata mtu akikupiga robo huwezi kupata msaada yani tupo chaka kama sehemu kulikuwa na godauni hivi halafu kuna ukuta mlefu hivi ...ambao ndo wale vijana waliuruka .
Ghafla kikatoka kibao kwa yule kiongozi wao rama akakiona akajikinga kwa mkono hakikufika usoni kumbuka mimi niko nyuma ya rama na tetemeka kishenzi yani kiongozi wao akawa anafoka akaamriklsha ikala chini (yani tukae chini) .
Ngoja niseme kitu kidogo kuna hali ya kiasili huwa inatokea vitu viwili vikikutana na vikiwa na haiba( sifa ) yenye ufanano amini usiamni haviwezi shikamana matokeo yake vitapatana na kuheshimiana sasa wakati watwambia ikala chini mimi mtu mzima nipo chini kitambo lakini rama kakomaa hakukubali kabisa kukaa chini askali moja akageuza bunduki akataka kumpiga nakitako rama akakwepa kwa kuzuia kwa mikono kumbuka hapo sasa mimi kihoro juu najiuliza huyu jamaa rama ana akili kweli sasa ya nini kwa nini asikae tu chini .
TUHAME STORY KIDOGO.
Kama nilivyosema hapo nyuma kuna utofauti mkubwa sanaa kati ya mtu ambae sio muoga na mtu jasiri sasa pale rama alikutana na mtu jasiri mwenzio ndo maana nikasema majasiri wawili wa kikutana lazima pachimbike na mwisho lazima lazima waheshimiane yani mtu jasiri hata kama moja ana siraha mwingine hana asiekuwa nasilaha huwa haogopi chochote inakuwa sawa na yule kama vile wote wana silaha
Kipindi cha vita kuliibuka vitoto niseme kama vile vilikuwa vina sumbua Dar sijui mnaviita PANYA ROAD wale ndo wajasiri ninaowaongelea yani vinajua kabisa nchi hii ina dola ngumu lakini wao wanaingia nakusimamisha mtaa bila uoga tena na visilaha vya kienyeji lile sasa ndo chimbuko la watu jasiri sasa kutokana na ugumu wa maisha na makuzi congo vijana kama wale walikuwa wengi sanaa kwenye majimbo mbali mbali .
Sasa wakati vita inaendelea askali wakongo wakawa wanaasi hivyo kukatokea upungufu mkubwa sanaa wa wanajeshi wapiganaji ndo kiaina serikali kupitia viongozi wa majimbo na chama tawala wakawa wanawapenyeza jeshini kiaina kwa makubaliano vita ikiisha wataajiriwa lakini halikuwa lengo la serikali za majimbo kadhaa sio kongo nzima na ndo hivyo vikundi vya waasi vilivyokuja kujitokeza baadae ya vita na wengi wao walikuwa under 25 yani walikuwa wanachukuliwa miaka kama kumi na sita 16 na kuendelea anafundishwa kurusha risasi basi .
Kazi imeisha kesho asubuhi wanapandishwa kwenye roli frontline kupigana yani vikawa vinapiganishwa wao kwa wao katika majimbo yenye waasi vilikufa sanaa sasa baada ya vita kupoa waliorudi sasa mjini ndo kasheshe yake hiyo kama hao tuliokutana nayo yanii hata makanali wa jeshi walikuwa wanaviogopa hivyo vitoto kumbuka vimetoka kupigana vita tena vita ya uso kwa uso vimerudi mjini vimezaga yani nimwendo wa vurugu vina siraha nzito nzito na kombati mchamganyiko wa rangi yani wanaweza kupora gari wakawa wanatembea barabarani tena kwenye line ambayo sio yao wole wako umzibie barabara utajuta yanii ukiona gari linakuja usoni kwako wewe pisha hata kwa kuingia mtaroni lakini yeye apite .
Jiji lao so walikuwa wanajulikana migari yao mibovu haina taa wala madirisha yanii nimwemdo wa kuendesha tu ilimradi vurugu tu mtaani sasa ujichanganye uwe mgeni yani utapata tabu vingenevyo uwe na mtu ambae ni mcongo na maarufu au uwe na watu ambao wapo kwenye system angalau utanusurika.
TURUDI KWENYE STORY.
Sasa walitukamata pale nao hawakuwa wanajeshi wenyewe walikuwa wale vijana yani wale madogo ndo walikuwa wametuotea tena tuna mali mafuta pesa na gari mpya .
Sasa kama nilivyosema majasiri wanaheshimiana amini usiamani swala rama ukakata kutii maelekezo yao likaibuwa maswali sasa yakutaka kutujua sisi ni akina nani na kwanini tupo pale halafi cha kushangaza pembeni tumepaki gari mpyaa kabisa hili nalo nafikiri liliwachanganya kidogo kwa kifupi tu ni kwamba kwa kipindi hicho hadi sasa wanaoununua gari mpya ni serikali na watu wazito serikalini basii nadhani liliwatisha halafu hapo hatujaongea so hawajajua kuwa sisi ni raia wa wapi
Maswali ya kaanza ...
Wao :Nyinyi ni akina nani ?
Sisi: hatukujibu rama akatoa passport akawapa .KOSA
kile kiongozi chao kikasema sasa nyie na madocoma( document) mbele ya lisasi zinasema nini?ý
Moja akawa anamwambia wenzie wachukue mafuta chukua hiyo petrol mgari ( yani achukue zile dumu za mafuta.
Rama ndo akaonge sasa wakasikia kiswahili kimenyooka wakasema nyinyi batized ( alimaanisha wataanzania)?
Rama akasema ndio .
Wakauliza sasa mko mnafanya nini apa mnaiba mazutu(mazutu ni mafuta) mcongo .
Hapo ndo rama akawa anawaelezea kuwa tumeishia mafuta hivyi kuna rafiki zetu walikuja kutuuzia mafuta sasa walivyowaona nyie ndo wakakimbia kuogopa sisi tumeishiwa yani akabadili story kutoka sisi kuuza hadi kuwa wanunuzi na hiyo baadae ilitusaidia na kama tungesema tunauza mafuta labda hali ingefika kulazima wenye magari wafike pale tungeoneka sisi sio waaminifu tena wale maboss wangetuharibia kumbuka mpaka.mda huo wanajua tupo guest kule tumepaki .
Sasa katika kuhoji hoji maswali.ya hapa na pale ila kwa ukali na mikwara kibao kumbe kuna mmoja anajua kusoma akachukua ile pasaport akaisoma akaelewa kweli sisi ni watanzania ishu nikawa wanataka yale mafuta rama nae akawa anakoma nao .
Kuna kijana moja katika lile kundi akaamuuliza rama hizi gari niza kuprezince? ( yani kamaanisha gari niza ikulu si mpyaa?) Rama akaitikia ndio pale pale hawakukaa tena wakaondoka fasta hawakutaka hata kukaa tena yani ujanja wao wote sema hizi gari ni za ikulu huguswi tena wanakuwa wanajua ni za wakubwa na kuharibiwa kutawatia hatiani hata kuuawa
Congo kuna wababe wapo kwenye system ya chama tawala asikwambie mtu yani uguse gari lake atakusaka popote pale hata roho atakutoa sasa kumbe yale magari wale jamaa nao ni watu wa system kwenye chama tawala naona ujio wa zile gari walishajua ni za kina nani wakaona isiwe tabu wakasepa za sisi tukachukua mafuta yetu tukageuka tukarudi guest tukatulie kwanza .
Saa nane wale jamaa wakafika wakatupa chetu tukawakabidhi magari yao ila wakafurahi sanaa walikuja na dereva wakamwambia asubuhi atupitie lifti hadi boda wakati wakuondoka kwakweli walifurahi na walituongezea hela kidogo na yale mafuta tuliwaauzia madereva wengine
wa IT pale pale . Asubuhi tukaanza safari ya kurudi homeland tanzania na ndo mwanzo wa kuanza kazi za magari ya IT ukawa umeanza yakawa ndo Maisha yangu kuzunguka nchi mbali mbali ila katika harakati zangu nimeenda kongo zaidi kuliko nchi zingine.
Asante kwa kunifuatilia
MWISHO.
Muone unaskia raha nnavokuogopa😏😏
Asante saana mpambanaji..bonge la simuliziInaendelea sehemu ya nane..... nawasalimu kwa kicongo mko byee ?
Haya tusonge tena ebwanae sasa bunduki zikawa zimeelekezwa kwetu vijana wa mafuta wameshasepa zao kwa kusindikizwa na risasi nyingi tu kimbembe kwetu tuliobaki niseme tu siku hiyo nikaona sasa sina uhai tena nasubiri kifo tu basii akili ikawa imeruka kitambo lakini rama katulia tu anawacheki tu harakati zao yani jamaa wanarusha hewani lisasi hatari kama wameona magaidi vile sasa niseme kidogo sehemu tuliyokuwa ni kama pale ambako hata mtu akikupiga robo huwezi kupata msaada yani tupo chaka kama sehemu kulikuwa na godauni hivi halafu kuna ukuta mlefu hivi ...ambao ndo wale vijana waliuruka .
Ghafla kikatoka kibao kwa yule kiongozi wao rama akakiona akajikinga kwa mkono hakikufika usoni kumbuka mimi niko nyuma ya rama na tetemeka kishenzi yani kiongozi wao akawa anafoka akaamriklsha ikala chini (yani tukae chini) .
Ngoja niseme kitu kidogo kuna hali ya kiasili huwa inatokea vitu viwili vikikutana na vikiwa na haiba( sifa ) yenye ufanano amini usiamni haviwezi shikamana matokeo yake vitapatana na kuheshimiana sasa wakati watwambia ikala chini mimi mtu mzima nipo chini kitambo lakini rama kakomaa hakukubali kabisa kukaa chini askali moja akageuza bunduki akataka kumpiga nakitako rama akakwepa kwa kuzuia kwa mikono kumbuka hapo sasa mimi kihoro juu najiuliza huyu jamaa rama ana akili kweli sasa ya nini kwa nini asikae tu chini .
TUHAME STORY KIDOGO.
Kama nilivyosema hapo nyuma kuna utofauti mkubwa sanaa kati ya mtu ambae sio muoga na mtu jasiri sasa pale rama alikutana na mtu jasiri mwenzio ndo maana nikasema majasiri wawili wa kikutana lazima pachimbike na mwisho lazima lazima waheshimiane yani mtu jasiri hata kama moja ana siraha mwingine hana asiekuwa nasilaha huwa haogopi chochote inakuwa sawa na yule kama vile wote wana silaha
Kipindi cha vita kuliibuka vitoto niseme kama vile vilikuwa vina sumbua Dar sijui mnaviita PANYA ROAD wale ndo wajasiri ninaowaongelea yani vinajua kabisa nchi hii ina dola ngumu lakini wao wanaingia nakusimamisha mtaa bila uoga tena na visilaha vya kienyeji lile sasa ndo chimbuko la watu jasiri sasa kutokana na ugumu wa maisha na makuzi congo vijana kama wale walikuwa wengi sanaa kwenye majimbo mbali mbali .
Sasa wakati vita inaendelea askali wakongo wakawa wanaasi hivyo kukatokea upungufu mkubwa sanaa wa wanajeshi wapiganaji ndo kiaina serikali kupitia viongozi wa majimbo na chama tawala wakawa wanawapenyeza jeshini kiaina kwa makubaliano vita ikiisha wataajiriwa lakini halikuwa lengo la serikali za majimbo kadhaa sio kongo nzima na ndo hivyo vikundi vya waasi vilivyokuja kujitokeza baadae ya vita na wengi wao walikuwa under 25 yani walikuwa wanachukuliwa miaka kama kumi na sita 16 na kuendelea anafundishwa kurusha risasi basi .
Kazi imeisha kesho asubuhi wanapandishwa kwenye roli frontline kupigana yani vikawa vinapiganishwa wao kwa wao katika majimbo yenye waasi vilikufa sanaa sasa baada ya vita kupoa waliorudi sasa mjini ndo kasheshe yake hiyo kama hao tuliokutana nayo yanii hata makanali wa jeshi walikuwa wanaviogopa hivyo vitoto kumbuka vimetoka kupigana vita tena vita ya uso kwa uso vimerudi mjini vimezaga yani nimwendo wa vurugu vina siraha nzito nzito na kombati mchamganyiko wa rangi yani wanaweza kupora gari wakawa wanatembea barabarani tena kwenye line ambayo sio yao wole wako umzibie barabara utajuta yanii ukiona gari linakuja usoni kwako wewe pisha hata kwa kuingia mtaroni lakini yeye apite .
Jiji lao so walikuwa wanajulikana migari yao mibovu haina taa wala madirisha yanii nimwemdo wa kuendesha tu ilimradi vurugu tu mtaani sasa ujichanganye uwe mgeni yani utapata tabu vingenevyo uwe na mtu ambae ni mcongo na maarufu au uwe na watu ambao wapo kwenye system angalau utanusurika.
TURUDI KWENYE STORY.
Sasa walitukamata pale nao hawakuwa wanajeshi wenyewe walikuwa wale vijana yani wale madogo ndo walikuwa wametuotea tena tuna mali mafuta pesa na gari mpya .
Sasa kama nilivyosema majasiri wanaheshimiana amini usiamani swala rama ukakata kutii maelekezo yao likaibuwa maswali sasa yakutaka kutujua sisi ni akina nani na kwanini tupo pale halafi cha kushangaza pembeni tumepaki gari mpyaa kabisa hili nalo nafikiri liliwachanganya kidogo kwa kifupi tu ni kwamba kwa kipindi hicho hadi sasa wanaoununua gari mpya ni serikali na watu wazito serikalini basii nadhani liliwatisha halafu hapo hatujaongea so hawajajua kuwa sisi ni raia wa wapi
Maswali ya kaanza ...
Wao :Nyinyi ni akina nani ?
Sisi: hatukujibu rama akatoa passport akawapa .KOSA
kile kiongozi chao kikasema sasa nyie na madocoma( document) mbele ya lisasi zinasema nini?ý
Moja akawa anamwambia wenzie wachukue mafuta chukua hiyo petrol mgari ( yani achukue zile dumu za mafuta.
Rama ndo akaonge sasa wakasikia kiswahili kimenyooka wakasema nyinyi batized ( alimaanisha wataanzania)?
Rama akasema ndio .
Wakauliza sasa mko mnafanya nini apa mnaiba mazutu(mazutu ni mafuta) mcongo .
Hapo ndo rama akawa anawaelezea kuwa tumeishia mafuta hivyi kuna rafiki zetu walikuja kutuuzia mafuta sasa walivyowaona nyie ndo wakakimbia kuogopa sisi tumeishiwa yani akabadili story kutoka sisi kuuza hadi kuwa wanunuzi na hiyo baadae ilitusaidia na kama tungesema tunauza mafuta labda hali ingefika kulazima wenye magari wafike pale tungeoneka sisi sio waaminifu tena wale maboss wangetuharibia kumbuka mpaka.mda huo wanajua tupo guest kule tumepaki .
Sasa katika kuhoji hoji maswali.ya hapa na pale ila kwa ukali na mikwara kibao kumbe kuna mmoja anajua kusoma akachukua ile pasaport akaisoma akaelewa kweli sisi ni watanzania ishu nikawa wanataka yale mafuta rama nae akawa anakoma nao .
Kuna kijana moja katika lile kundi akaamuuliza rama hizi gari niza kuprezince? ( yani kamaanisha gari niza ikulu si mpyaa?) Rama akaitikia ndio pale pale hawakukaa tena wakaondoka fasta hawakutaka hata kukaa tena yani ujanja wao wote sema hizi gari ni za ikulu huguswi tena wanakuwa wanajua ni za wakubwa na kuharibiwa kutawatia hatiani hata kuuawa
Congo kuna wababe wapo kwenye system ya chama tawala asikwambie mtu yani uguse gari lake atakusaka popote pale hata roho atakutoa sasa kumbe yale magari wale jamaa nao ni watu wa system kwenye chama tawala naona ujio wa zile gari walishajua ni za kina nani wakaona isiwe tabu wakasepa za sisi tukachukua mafuta yetu tukageuka tukarudi guest tukatulie kwanza .
Saa nane wale jamaa wakafika wakatupa chetu tukawakabidhi magari yao ila wakafurahi sanaa walikuja na dereva wakamwambia asubuhi atupitie lifti hadi boda wakati wakuondoka kwakweli walifurahi na walituongezea hela kidogo na yale mafuta tuliwaauzia madereva wengine
wa IT pale pale . Asubuhi tukaanza safari ya kurudi homeland tanzania na ndo mwanzo wa kuanza kazi za magari ya IT ukawa umeanza yakawa ndo Maisha yangu kuzunguka nchi mbali mbali ila katika harakati zangu nimeenda kongo zaidi kuliko nchi zingine.
Asante kwa kunifuatilia
MWISHO.
natamani kujua kabila la rama japo sio kwa umuhimu sana. yupo wapi kwa sasa na anafanya nini?.Inaendelea bandugu .......
kwanza niendelee na msimamo wangu kuwa lazima niimalize story halafu hizi mambo za kuja inbox kuni criticise sio kabisa wengine naona mnakoment ujinga tu kama story ni chai kwanini unaifutalia?
Mh.rais Mama samia ana kazi sanaa asipowakomalia wabongo kama alivyokuwa anafanya magu nchi itamshinda yanii mtu anakaa anabisha jambo ambalo hata halijui vizuri kisa umesoma vijivitabu vya waandishi uchwara .
Kuna siku nilimuuliza mkongoman moja ni kwanini vita haishi kongo yeye akanijibu kwa kifupi tu. kwa sababu tumetanguliza maneno kuliko vitendo yani mkongo anaongea sanaa lakini kwenye battlefield anakimbia mbio adi waasi wanateka mji mkubwa kama Goma.
Haya sasa wakulungwa muda ukawadia mzee mzima chuma zikawashwa wale wanajeshi wakaanza kupanda magari yetu, walijinga vizuri kweli naomba nieleze kidogo kuhusu kujipanga yani ni hivi wanajeshi wakikaa kwenye gari huwa na mielekee minne yani kuna wanao angalia mbele ,pembeni ,nyuma na mbele na kila mwanajeshi anapewa siraha kulingana na uelekeo alipo yani kwa mfano mwenye RPG anakaa juu uelekeo wa mbele yani ina maana hiyo silaha huwezi itumia ukiwa juu ya gari halafu unaelekea kwa nyuma labda gari spesho unless unaweza enda nayo chini wakati wa kufyatua pale inapotokea dharura..
Wazee wakajipanga safari ikaanza kama kawaida rama mbele mimi nyuma yani wajinga wanapiga story gari ya mbele wewe unasikia huku nyuma yani ni makelele full yani kwa ujumla zile gari zilibadilika.zikawa kama mali ya jeshi vile Wazee tukazidi kukataa poli.
Mwanzoni nimesema kunatofauti mkubwa kati ya ujasiri na uoga yani mtu kuwa jasiri na kutokuwa muoga amini usiamini baada ya kama kilomita tano hizi zile kelele za wanajeshi zikaanza kupungua mara ghfla nikasikia mwanajeshi moja anasema attansio hii ni lugha ya kifaransa yani kwa kiingilleza nahisi alimaanisha attantion yani wajuvu wa lugha mtasaidia kidogo naamini ilikuwa ni kama tahadhari flani nikaona rama amepunguza mwendo mara ghafla nikaona wale wajeshi niliokuwa nao kwenye kibin ndani ya gari wanavunja usalama yanii wakaweka risasi kwenye chemba halafu kilichonishangaza kitendo cha kukoki walikifanya ndani ya dakika moja tu wote yani chuma zipo tayari ,mzee hapo akili imesharuka kitambo njia nzima kimyaa wazee wanaangaza kila mahali uongo mbaya sikujishughulisha hata kuanganilia pembeni mimi nilikuwa straight yani akili inaniambia lisasi zikianza tu nachochea moto mia ishirini kama ni kufa ntafia mbele tu wala sintojari kumpita tena rama.
Kuna kitu niliijifunza katika lile tukio ni kwamba unapokuwa katika eneo la hatari kama lile kwa upande wa wanajeshi lakini ,unatakiwa kuwa katika speed ya wastani ambayo hata ukiruka huwezi umia ndo maana mwaanjeshi alie kaa nami katikati aliniambi a petit fungula milango yani alimaanisha vioo viwe chini na lock ziwe off .
Yaani hivi waasi wakirusha Rpg gari ikiwa speed kwanza ni ngumu kuruka pili hata mkiruka gari ikiwa speed lazima muumie au mfe kabisa ila.mkiwa mwendo wa wastani ukisikia neno rpg wewe rukaa tu pembeni unakuwa umesave ndo sababu ya eneo lilie speed ikapunguzwa tukawa tunaenda taratibu.
Sas kipindi hicho kulikuwa na vizuizi kama vitatu hivi basi tukafika kizuizi cha kwanza jamaa wakapigiwa saluti tukapita hamna ukaguzi wa gari wala nyaraka kisa tu gari wamepanda wanajeshi congo banaa ...basi tukawa tunaendelea na safari tukaenda mbele tukakuta kuna gari imeingia porini naona ilikuwa na namba za zimbabwe roli moja hivi single deef basi tukasogea kwa mbele wanajeshi wakashuka kwenda kuliangalia eneo hilo wakakagua pale hakuna kitu wala yeyote kulikuwa na nguo nguo na vijibegi wakakomba safari ikaendelea tukaenda tukafika sehemu hapo ni ndani ya pori sehemu kama kuna barabara mbovu hivi yani lami imelika kimtindi...
Kuna mjinga moja alichomeka zile bunduki kubwa kubwa za mashine zanakuwa na cheni ya risasi yani aliifunga kabisa kwenye ngao za kibini ya gari ya rama sasa bwana tumefika yale maaeneo si yule mpuuzi akaanza kurusha risasi huku na huku ndo ile bomba ione tu kwenye tv yani ile bunduki ina sauti nzito halafu kali sanaa.yani kama una presha unaweza zimia .
Kuona vile na wale waliopo kwemye gari yangu nao wakatoa vyuma wakaanza kumimina risasi polini yani wa upande wa pembeni wanafyatua pembeni kila mtu na upande wake yani mwanajeshi tulieka wote akapitishi sMG juu ya open roof anaachia risasi daah mimi kihoro kimenipanda naona sasa vita imeanza mara nikasikia tumepitaa..kumbe lile eneo ndo lamatukio sana sanaa hivyo waakifika iliwalazimu warushe tu risasi ili kujiweka tayari nilikuja elezwa baadae kwamba kama waasi wangekuwepo basi lazima wengejibu tu na zingepigwa ila kwa kuwa hawajajibu basi wako mbali na eneo hilo au hawana mpango wakufanya chochote siku hiyo...
Basi safari ikasonga inafika saa kumi na mbili kasoro ndo tunafika checkpoint ya kwanza ya congo imeandikwa KARIBU LUBUMBASHI kwa juu moyo nikasikia unasema uwiii....i sasa napumzika kumbe mle mjini ndo nuksi zaidi bora hata huko polini tukaenda kidogo kuna custum gari zikakaguliwa na wale wanajeshi wakawa ndo wamefikia mwisho safari tukaachana nao sisi tukaingia town sasa kwende kulala kigiza kimeanza kuingia ....jamaa ram huwa anajua vigest vya kule tukaenda sehemu hata sipajui tukapaki akaniambia sasa ndugu tumefika ila wenyewe tutaonana nao kesho mchana wakati tunaenda kuwakabidhi magari yao .
Rama akafanya mawasiliano na wale wacongo wKafurahi sanaa wakasema kwa kuwa ni usiku itabidi tuoname nao kesho saa nane kwa kuwa wote wale ni watumishi wa serikali hivyo asubuhi isingewezekana .
Aise kipindi hicho disel na petrol ilikuwa shidah sanaa congo yani unaweza kuta foleni kubwa tena kubwa sanaa yani unakaa foleni kuanzia asubuhi hadi jioni ndo inaingia zamu yako haafu hupewi zaidi ya lita ishirini.
Tukalala usiku ule kwenye vile viguest vyso sikumbuki kama hata nilikula zaidi ya kula mikate yao ya chumvi na soda , kukakuchaa Sisi kwenye gari zetu tulikuwa na mafuta ya kutosha kabisa rama akapita huku na huku mara akaja na masela wana vidumu vya mafuta basi tukakubaliana tutoke nje kidogo mbali na zile guest tukapige nyoka yale mafuta si tunajua wenyewe mchana watakuja zichukua tulikubaliana tuwaachie lita hata tano tano tu zingine zote tuuzie zitatusaidia mbele..tukawasha gari kuna sehemu tukaenda kidogo kuna kama kumezungushiwa fance hivi tukapaki palee hakuna pilikapilika nyingi hivi...tukaanza kujipakulia mafuta tunakaribia kumaliza kujaza kidumu cha mwishoo ebwanaee kumbe tulikuwa nimefanya kosa kubwa pale bora ndo tungepigia nyoka pale pale guest ebwanae kufumba na kufumbua nissan dabo kibini hiyo imejaa wanajeshi kibao tayari apo tulipo wale vijana wakikongo wakaruka ule ukuta hadi ng'ambo wakakimbia wale wanajeshi wakawasindikizia na risasi huko huko sasa sijui walikufa au vipi nikabaki mimi rama amini usiamini rama hakuonekana kutetereka hata kidogo hata walivyotuelekezea bunduki rama alitulia tuli ana waangalia tu. mimi tayari akili haipo nikasema leo ndo mwisho wangu nakufaa..........uwiiii.
Itaendelea....usikose mda wa ifatr huu.
Hatari wapi konda msafiInaendeleaa sehemu ya tano....
Haya wandugu sasa tuendelea na kipindi hiki cha kutafutia usingizi naamini mlikuwa mnanisubiri kwa hamu japo afya bado mgogoro kidogo...
Kwanza niwashukuru wote mlionipa pole asanteni na mungu awabariki wote mnaocoment na wala ambao mnachungulia kiaina uzi ...
Sasa tuendelee .. giza likaingia mwisho kukakucha mapema tupo kwa jamaa japo nililala chumba kimoja na rama lakini nilivyoamka sikumuona ila mabegi yetu yapo chumbani nikajua tu huyu amedamka kumbe mpuuzi huyu kanikimbia usiku mwingi sanaa kwenda kutafuta mabibi huko aise yani ugenini lakini bado unaonyesha uhuni wako shukrani chumba tulichopewa ni chumba cha njee tena kipo karibu na barabara kabisa yanii ukifungua mlango tu upo barabarani ..duuhh .
Nikaamka ila aise nilikuwa na uchovu wa kufa mtu nilitamani nilale hadi saa sita lakini ikawa haiwezekani mtu mzima nikaamka nikajiweka safi nikatoka nje nikawa nimekaa tu kwenye jiwe nje ya chumba na msikilizia rama kama atakuja unajua miaka ile simu ilikuwa ishu ni watu wachache walikuwa na simu ila rama alikuwa nayo ya alcatel kubwa kubwa hivi ndo alikuwa anatumia kufanya mawasiliano njia nzima na jamaa wale .
Sasa kwakuwa sikua na simu nikawa nimetulia nasikilizia na kweli saa moja kamili jamaa akafika ameongezana na yule mwenyeji wetu cha kushangaza kanisalimia tu na kuniomba passport sasa nikajiuliza huyu vipi pass yangu ya nini tena mbona kazi imeishia hapo nikaona nisilete ujeuri mbele ya mwenyeji nisije onekana mkorofi labda kuna mambo anaweka sawa ili tukabidhi mzigo tusepe nikamkabidhi likawa kosa .
Akasema dogo nisubiri hapo akaondoka na yule jamaa wakakaa kama nusu saa hivi akarudi pekee yake akanikabidhi pass yangu kuangalia mama yangu kucheki imeshagongwa tayari muhuri wa zambia na congo tobaaa kwanza nikamshangaa nikamuuliza sasa ndugu si tunaishia hapa akajibu tena simple tu dogo tunatoboa hatuwezi acha dola 75 kwa kilomita 100 jiandae twenzetu wanaokuja kupokea haya magari wameshindwa jana zilichapwa njia ya kuu ya lubumbashi hivyo hawawezi kuja tumeambiwa tumalizie kazi aise nilimuangalia rama kwa hasira iliyochanganyika na hofu kubwa moyoni hadi nikajuta kwanini nimemsikiliza huyu kichaa tukaanza malumbano mle chumbani ya kwanini yeye anafanya mambo bila kunishirikisha yeye yupo kimya tu anapanga nguo zake hana habari anacheka tu .
Yani hakuna kitu kibaya kama kuongozwa na mtu ambaye hakushirikishi katika kuamua njia ipi upite yani kwanza njia huijui hujui unarudi vipi ? Pesa yote hujamaliziwa maboss wanamjua rama wewe hawakujui maanake rama ndo angenilipa.mimi sio wao nikatafakari sanaa nikasema ni kimbishia au nikiendele kuwamkaidi ntakosa haki zangu zote yani ataniacha na hela sintopata nikapiga moyo konde ngonja nione ila tukawa sasa tunatembea kuelekea kwenye gari lakini hatuongei yani tumenuniana yani jamaa ana roho ngumu vibaya .
Madereva wa maroli nauzoefu wao wote wa njia waligoma kuanzaa safari siku hiyo mpaka escort kutoka lubumbashi lakini huyu chizi analazimisha tutembee hivyo hivyo njia ambayo janaa yake tu usiku zimipigwa tena sio kupigwa tu askali wa congo walikimbia kabisa mapigano huyu mwehu analazimisha nikawa nawaza huyu jamaa ni chizi au ...
Ebwana baada ya kumaliza kuweka kila kitu sawa nafikiri sisi ndo tulikuwa wa kwNza kukaguliwa sikuona mtu pale custom anagonga nadhani walikuwa wanasikilizia kwanza .tukawasha gari tukavuka upande wa congo ila wakati tunakaguliwa macho ya wale jamaa custum ya zambia kama yalikuwa yanatuangalia kwa huruma vile yanii kama wanataka kuniambia jambo lakini wanasita.
Sasa ikawa ni zamu ya upande wa kongo , boda nzima imejaa wanajeshi tupu yani utafikiri vita jana ilipiganwa hapo wamechafuka vibaya yanii inaoenakana janaa walikuwa na shughuri nzito na kweli wakawa wanahadithia mapigano ya usiku wanaongea kiswahili chao kibovu lakini nikawa nawaelewa wamebeba silaha nzito za kivita hadi zile za kuchomeka kwenye gari nyuma.
Naomba niongee kitu.
Kuna utofauti mkubwa kati ya ujasiri na uoga unaweza ukawa commando au hata General lakini usiwe jasiri lakini unaweza ukawa mtu wa mtaani tu huna mafunzo hata ya mgambo lakini ukawa jasiri vibaya mno , na swala la ujasiri sio swala la kufundishwa ujasiri mtu anazaliwa nao akiwa jasiri na yale mafunzo ya sijui jeshi ,polisi sio ya kukupa ujasiri ni kwaajili ya kukufanya usiwe muoga fanyeni uchunguzi utakuja kukubaliana na mimi
Sasa wakati mimi sina hili wala lili akili.iko mbali sanaa hili.jamaa(rama ) linabonga tu na wala wanajeshi linapiga story linacheka vibaya tena kwa sauti tena wanalipa.kabisa bunduki linashika kama linalenga shabaha nao wanashangilia kama vile wamempata mwanajeshi mpya wa kujitolea aise.
Wakati tuka bado boda pale mimi sijui kinachoendelea na rama lipo kwa wanajeshi tena wameliweka mtu kati linapiga maneno kama lienyeji akaja mtu moja hivi dirishani kumbuka mimi nipo ndani ya gari nimejikunyata nasubiri kupokea amri kwa rama twende ama laa
Akagonga nikashusha kioo akawa anaulizia kuwa tunaenda lumbumbashi unajua pale mara nyingi madereva wa IT huwa wanakula vichwa vya abiria sasa nikamjibu ndio akaniuliza saa ngapi nikamwambi sii mda mrefu akaniambia yeye kaja janaa usiku hapo boda ni mfanya biashara ila njiani walikuta maiti nyingi za wanajeshi wamekufa na raia sasa iweje sisi tuharakishe kabla hali haijawa shwarii ? Ndugu zangu niseme tu ukweli nilihisi kimkojo kinanitiririka kwa mbali nikajaribu kuuzia lakini wapi hakuna kitu kibaya kama hofuu licha takuuzia mkojo lakini ulitoka.....mamaaee nikaon kifo hiki.
Itaendelea ..........ngoja niangalie beyhadh( chizi wa mapenzi ) nitarudi ishallah.
hii story imeishajeishaje mbona sielewi?.Inaendelea sehemu ya nane..... nawasalimu kwa kicongo mko byee ?
Haya tusonge tena ebwanae sasa bunduki zikawa zimeelekezwa kwetu vijana wa mafuta wameshasepa zao kwa kusindikizwa na risasi nyingi tu kimbembe kwetu tuliobaki niseme tu siku hiyo nikaona sasa sina uhai tena nasubiri kifo tu basii akili ikawa imeruka kitambo lakini rama katulia tu anawacheki tu harakati zao yani jamaa wanarusha hewani lisasi hatari kama wameona magaidi vile sasa niseme kidogo sehemu tuliyokuwa ni kama pale ambako hata mtu akikupiga robo huwezi kupata msaada yani tupo chaka kama sehemu kulikuwa na godauni hivi halafu kuna ukuta mlefu hivi ...ambao ndo wale vijana waliuruka .
Ghafla kikatoka kibao kwa yule kiongozi wao rama akakiona akajikinga kwa mkono hakikufika usoni kumbuka mimi niko nyuma ya rama na tetemeka kishenzi yani kiongozi wao akawa anafoka akaamriklsha ikala chini (yani tukae chini) .
Ngoja niseme kitu kidogo kuna hali ya kiasili huwa inatokea vitu viwili vikikutana na vikiwa na haiba( sifa ) yenye ufanano amini usiamni haviwezi shikamana matokeo yake vitapatana na kuheshimiana sasa wakati watwambia ikala chini mimi mtu mzima nipo chini kitambo lakini rama kakomaa hakukubali kabisa kukaa chini askali moja akageuza bunduki akataka kumpiga nakitako rama akakwepa kwa kuzuia kwa mikono kumbuka hapo sasa mimi kihoro juu najiuliza huyu jamaa rama ana akili kweli sasa ya nini kwa nini asikae tu chini .
TUHAME STORY KIDOGO.
Kama nilivyosema hapo nyuma kuna utofauti mkubwa sanaa kati ya mtu ambae sio muoga na mtu jasiri sasa pale rama alikutana na mtu jasiri mwenzio ndo maana nikasema majasiri wawili wa kikutana lazima pachimbike na mwisho lazima lazima waheshimiane yani mtu jasiri hata kama moja ana siraha mwingine hana asiekuwa nasilaha huwa haogopi chochote inakuwa sawa na yule kama vile wote wana silaha
Kipindi cha vita kuliibuka vitoto niseme kama vile vilikuwa vina sumbua Dar sijui mnaviita PANYA ROAD wale ndo wajasiri ninaowaongelea yani vinajua kabisa nchi hii ina dola ngumu lakini wao wanaingia nakusimamisha mtaa bila uoga tena na visilaha vya kienyeji lile sasa ndo chimbuko la watu jasiri sasa kutokana na ugumu wa maisha na makuzi congo vijana kama wale walikuwa wengi sanaa kwenye majimbo mbali mbali .
Sasa wakati vita inaendelea askali wakongo wakawa wanaasi hivyo kukatokea upungufu mkubwa sanaa wa wanajeshi wapiganaji ndo kiaina serikali kupitia viongozi wa majimbo na chama tawala wakawa wanawapenyeza jeshini kiaina kwa makubaliano vita ikiisha wataajiriwa lakini halikuwa lengo la serikali za majimbo kadhaa sio kongo nzima na ndo hivyo vikundi vya waasi vilivyokuja kujitokeza baadae ya vita na wengi wao walikuwa under 25 yani walikuwa wanachukuliwa miaka kama kumi na sita 16 na kuendelea anafundishwa kurusha risasi basi .
Kazi imeisha kesho asubuhi wanapandishwa kwenye roli frontline kupigana yani vikawa vinapiganishwa wao kwa wao katika majimbo yenye waasi vilikufa sanaa sasa baada ya vita kupoa waliorudi sasa mjini ndo kasheshe yake hiyo kama hao tuliokutana nayo yanii hata makanali wa jeshi walikuwa wanaviogopa hivyo vitoto kumbuka vimetoka kupigana vita tena vita ya uso kwa uso vimerudi mjini vimezaga yani nimwendo wa vurugu vina siraha nzito nzito na kombati mchamganyiko wa rangi yani wanaweza kupora gari wakawa wanatembea barabarani tena kwenye line ambayo sio yao wole wako umzibie barabara utajuta yanii ukiona gari linakuja usoni kwako wewe pisha hata kwa kuingia mtaroni lakini yeye apite .
Jiji lao so walikuwa wanajulikana migari yao mibovu haina taa wala madirisha yanii nimwemdo wa kuendesha tu ilimradi vurugu tu mtaani sasa ujichanganye uwe mgeni yani utapata tabu vingenevyo uwe na mtu ambae ni mcongo na maarufu au uwe na watu ambao wapo kwenye system angalau utanusurika.
TURUDI KWENYE STORY.
Sasa walitukamata pale nao hawakuwa wanajeshi wenyewe walikuwa wale vijana yani wale madogo ndo walikuwa wametuotea tena tuna mali mafuta pesa na gari mpya .
Sasa kama nilivyosema majasiri wanaheshimiana amini usiamani swala rama ukakata kutii maelekezo yao likaibuwa maswali sasa yakutaka kutujua sisi ni akina nani na kwanini tupo pale halafi cha kushangaza pembeni tumepaki gari mpyaa kabisa hili nalo nafikiri liliwachanganya kidogo kwa kifupi tu ni kwamba kwa kipindi hicho hadi sasa wanaoununua gari mpya ni serikali na watu wazito serikalini basii nadhani liliwatisha halafu hapo hatujaongea so hawajajua kuwa sisi ni raia wa wapi
Maswali ya kaanza ...
Wao :Nyinyi ni akina nani ?
Sisi: hatukujibu rama akatoa passport akawapa .KOSA
kile kiongozi chao kikasema sasa nyie na madocoma( document) mbele ya lisasi zinasema nini?ý
Moja akawa anamwambia wenzie wachukue mafuta chukua hiyo petrol mgari ( yani achukue zile dumu za mafuta.
Rama ndo akaonge sasa wakasikia kiswahili kimenyooka wakasema nyinyi batized ( alimaanisha wataanzania)?
Rama akasema ndio .
Wakauliza sasa mko mnafanya nini apa mnaiba mazutu(mazutu ni mafuta) mcongo .
Hapo ndo rama akawa anawaelezea kuwa tumeishia mafuta hivyi kuna rafiki zetu walikuja kutuuzia mafuta sasa walivyowaona nyie ndo wakakimbia kuogopa sisi tumeishiwa yani akabadili story kutoka sisi kuuza hadi kuwa wanunuzi na hiyo baadae ilitusaidia na kama tungesema tunauza mafuta labda hali ingefika kulazima wenye magari wafike pale tungeoneka sisi sio waaminifu tena wale maboss wangetuharibia kumbuka mpaka.mda huo wanajua tupo guest kule tumepaki .
Sasa katika kuhoji hoji maswali.ya hapa na pale ila kwa ukali na mikwara kibao kumbe kuna mmoja anajua kusoma akachukua ile pasaport akaisoma akaelewa kweli sisi ni watanzania ishu nikawa wanataka yale mafuta rama nae akawa anakoma nao .
Kuna kijana moja katika lile kundi akaamuuliza rama hizi gari niza kuprezince? ( yani kamaanisha gari niza ikulu si mpyaa?) Rama akaitikia ndio pale pale hawakukaa tena wakaondoka fasta hawakutaka hata kukaa tena yani ujanja wao wote sema hizi gari ni za ikulu huguswi tena wanakuwa wanajua ni za wakubwa na kuharibiwa kutawatia hatiani hata kuuawa
Congo kuna wababe wapo kwenye system ya chama tawala asikwambie mtu yani uguse gari lake atakusaka popote pale hata roho atakutoa sasa kumbe yale magari wale jamaa nao ni watu wa system kwenye chama tawala naona ujio wa zile gari walishajua ni za kina nani wakaona isiwe tabu wakasepa za sisi tukachukua mafuta yetu tukageuka tukarudi guest tukatulie kwanza .
Saa nane wale jamaa wakafika wakatupa chetu tukawakabidhi magari yao ila wakafurahi sanaa walikuja na dereva wakamwambia asubuhi atupitie lifti hadi boda wakati wakuondoka kwakweli walifurahi na walituongezea hela kidogo na yale mafuta tuliwaauzia madereva wengine
wa IT pale pale . Asubuhi tukaanza safari ya kurudi homeland tanzania na ndo mwanzo wa kuanza kazi za magari ya IT ukawa umeanza yakawa ndo Maisha yangu kuzunguka nchi mbali mbali ila katika harakati zangu nimeenda kongo zaidi kuliko nchi zingine.
Asante kwa kunifuatilia
MWISHO.
Sijui kwanini wasiandike story nzima, mfano iwe page 1 to 10. Lakin hapo utaanza itafuta weeee, au bado mtu hajapost endelezo, inakera mno kwa kweli.Mshaanza ma-story yenu msiyoweza kuyamaliza.
Sasa hivi ni kuwaacha kwanza mmalize kusimulia ndo tuanze kusoma.
byehii story imeishajeishaje mbona sielewi?.
hapana....haiwezekani.....story imeisha kienyeji sana....tumepigwa....muanzisha story "ntu" wa dili.
Sema mkuu we pia unajimudu, yani matukio yote hayo bado mkarudi boda kwa njia ile ile? Ningekuwa mi ndio wewe ningerudi na ndege potelea mbali hela zote ziishie nauli, kifupi nisingejali hela kikubwa ni kufika salama tu,Inaendelea sehemu ya nane..... nawasalimu kwa kicongo mko byee ?
Haya tusonge tena ebwanae sasa bunduki zikawa zimeelekezwa kwetu vijana wa mafuta wameshasepa zao kwa kusindikizwa na risasi nyingi tu kimbembe kwetu tuliobaki niseme tu siku hiyo nikaona sasa sina uhai tena nasubiri kifo tu basii akili ikawa imeruka kitambo lakini rama katulia tu anawacheki tu harakati zao yani jamaa wanarusha hewani lisasi hatari kama wameona magaidi vile sasa niseme kidogo sehemu tuliyokuwa ni kama pale ambako hata mtu akikupiga robo huwezi kupata msaada yani tupo chaka kama sehemu kulikuwa na godauni hivi halafu kuna ukuta mlefu hivi ...ambao ndo wale vijana waliuruka .
Ghafla kikatoka kibao kwa yule kiongozi wao rama akakiona akajikinga kwa mkono hakikufika usoni kumbuka mimi niko nyuma ya rama na tetemeka kishenzi yani kiongozi wao akawa anafoka akaamriklsha ikala chini (yani tukae chini) .
Ngoja niseme kitu kidogo kuna hali ya kiasili huwa inatokea vitu viwili vikikutana na vikiwa na haiba( sifa ) yenye ufanano amini usiamni haviwezi shikamana matokeo yake vitapatana na kuheshimiana sasa wakati watwambia ikala chini mimi mtu mzima nipo chini kitambo lakini rama kakomaa hakukubali kabisa kukaa chini askali moja akageuza bunduki akataka kumpiga nakitako rama akakwepa kwa kuzuia kwa mikono kumbuka hapo sasa mimi kihoro juu najiuliza huyu jamaa rama ana akili kweli sasa ya nini kwa nini asikae tu chini .
TUHAME STORY KIDOGO.
Kama nilivyosema hapo nyuma kuna utofauti mkubwa sanaa kati ya mtu ambae sio muoga na mtu jasiri sasa pale rama alikutana na mtu jasiri mwenzio ndo maana nikasema majasiri wawili wa kikutana lazima pachimbike na mwisho lazima lazima waheshimiane yani mtu jasiri hata kama moja ana siraha mwingine hana asiekuwa nasilaha huwa haogopi chochote inakuwa sawa na yule kama vile wote wana silaha
Kipindi cha vita kuliibuka vitoto niseme kama vile vilikuwa vina sumbua Dar sijui mnaviita PANYA ROAD wale ndo wajasiri ninaowaongelea yani vinajua kabisa nchi hii ina dola ngumu lakini wao wanaingia nakusimamisha mtaa bila uoga tena na visilaha vya kienyeji lile sasa ndo chimbuko la watu jasiri sasa kutokana na ugumu wa maisha na makuzi congo vijana kama wale walikuwa wengi sanaa kwenye majimbo mbali mbali .
Sasa wakati vita inaendelea askali wakongo wakawa wanaasi hivyo kukatokea upungufu mkubwa sanaa wa wanajeshi wapiganaji ndo kiaina serikali kupitia viongozi wa majimbo na chama tawala wakawa wanawapenyeza jeshini kiaina kwa makubaliano vita ikiisha wataajiriwa lakini halikuwa lengo la serikali za majimbo kadhaa sio kongo nzima na ndo hivyo vikundi vya waasi vilivyokuja kujitokeza baadae ya vita na wengi wao walikuwa under 25 yani walikuwa wanachukuliwa miaka kama kumi na sita 16 na kuendelea anafundishwa kurusha risasi basi .
Kazi imeisha kesho asubuhi wanapandishwa kwenye roli frontline kupigana yani vikawa vinapiganishwa wao kwa wao katika majimbo yenye waasi vilikufa sanaa sasa baada ya vita kupoa waliorudi sasa mjini ndo kasheshe yake hiyo kama hao tuliokutana nayo yanii hata makanali wa jeshi walikuwa wanaviogopa hivyo vitoto kumbuka vimetoka kupigana vita tena vita ya uso kwa uso vimerudi mjini vimezaga yani nimwendo wa vurugu vina siraha nzito nzito na kombati mchamganyiko wa rangi yani wanaweza kupora gari wakawa wanatembea barabarani tena kwenye line ambayo sio yao wole wako umzibie barabara utajuta yanii ukiona gari linakuja usoni kwako wewe pisha hata kwa kuingia mtaroni lakini yeye apite .
Jiji lao so walikuwa wanajulikana migari yao mibovu haina taa wala madirisha yanii nimwemdo wa kuendesha tu ilimradi vurugu tu mtaani sasa ujichanganye uwe mgeni yani utapata tabu vingenevyo uwe na mtu ambae ni mcongo na maarufu au uwe na watu ambao wapo kwenye system angalau utanusurika.
TURUDI KWENYE STORY.
Sasa walitukamata pale nao hawakuwa wanajeshi wenyewe walikuwa wale vijana yani wale madogo ndo walikuwa wametuotea tena tuna mali mafuta pesa na gari mpya .
Sasa kama nilivyosema majasiri wanaheshimiana amini usiamani swala rama ukakata kutii maelekezo yao likaibuwa maswali sasa yakutaka kutujua sisi ni akina nani na kwanini tupo pale halafi cha kushangaza pembeni tumepaki gari mpyaa kabisa hili nalo nafikiri liliwachanganya kidogo kwa kifupi tu ni kwamba kwa kipindi hicho hadi sasa wanaoununua gari mpya ni serikali na watu wazito serikalini basii nadhani liliwatisha halafu hapo hatujaongea so hawajajua kuwa sisi ni raia wa wapi
Maswali ya kaanza ...
Wao :Nyinyi ni akina nani ?
Sisi: hatukujibu rama akatoa passport akawapa .KOSA
kile kiongozi chao kikasema sasa nyie na madocoma( document) mbele ya lisasi zinasema nini?ý
Moja akawa anamwambia wenzie wachukue mafuta chukua hiyo petrol mgari ( yani achukue zile dumu za mafuta.
Rama ndo akaonge sasa wakasikia kiswahili kimenyooka wakasema nyinyi batized ( alimaanisha wataanzania)?
Rama akasema ndio .
Wakauliza sasa mko mnafanya nini apa mnaiba mazutu(mazutu ni mafuta) mcongo .
Hapo ndo rama akawa anawaelezea kuwa tumeishia mafuta hivyi kuna rafiki zetu walikuja kutuuzia mafuta sasa walivyowaona nyie ndo wakakimbia kuogopa sisi tumeishiwa yani akabadili story kutoka sisi kuuza hadi kuwa wanunuzi na hiyo baadae ilitusaidia na kama tungesema tunauza mafuta labda hali ingefika kulazima wenye magari wafike pale tungeoneka sisi sio waaminifu tena wale maboss wangetuharibia kumbuka mpaka.mda huo wanajua tupo guest kule tumepaki .
Sasa katika kuhoji hoji maswali.ya hapa na pale ila kwa ukali na mikwara kibao kumbe kuna mmoja anajua kusoma akachukua ile pasaport akaisoma akaelewa kweli sisi ni watanzania ishu nikawa wanataka yale mafuta rama nae akawa anakoma nao .
Kuna kijana moja katika lile kundi akaamuuliza rama hizi gari niza kuprezince? ( yani kamaanisha gari niza ikulu si mpyaa?) Rama akaitikia ndio pale pale hawakukaa tena wakaondoka fasta hawakutaka hata kukaa tena yani ujanja wao wote sema hizi gari ni za ikulu huguswi tena wanakuwa wanajua ni za wakubwa na kuharibiwa kutawatia hatiani hata kuuawa
Congo kuna wababe wapo kwenye system ya chama tawala asikwambie mtu yani uguse gari lake atakusaka popote pale hata roho atakutoa sasa kumbe yale magari wale jamaa nao ni watu wa system kwenye chama tawala naona ujio wa zile gari walishajua ni za kina nani wakaona isiwe tabu wakasepa za sisi tukachukua mafuta yetu tukageuka tukarudi guest tukatulie kwanza .
Saa nane wale jamaa wakafika wakatupa chetu tukawakabidhi magari yao ila wakafurahi sanaa walikuja na dereva wakamwambia asubuhi atupitie lifti hadi boda wakati wakuondoka kwakweli walifurahi na walituongezea hela kidogo na yale mafuta tuliwaauzia madereva wengine
wa IT pale pale . Asubuhi tukaanza safari ya kurudi homeland tanzania na ndo mwanzo wa kuanza kazi za magari ya IT ukawa umeanza yakawa ndo Maisha yangu kuzunguka nchi mbali mbali ila katika harakati zangu nimeenda kongo zaidi kuliko nchi zingine.
Asante kwa kunifuatilia
MWISHO.
MBONA STORY YENYEWE IMEISHA GHAFLA HIVYO!!! NILIJUA KUNA EPISODE ZAIDI YA 10. MLETE RAMA AHADITHIE MATUKIO YAKE, KAMA WEWE MWANAFUNZI WAKE UMEPAMBANA HIVYO YEYE SI ITAKUWA BALAA!! bongo manhapana....haiwezekani.....story imeisha kienyeji sana....tumepigwa....muanzisha story "ntu" wa dili.