Maisha ndo haya haya, tuache majivuno

Maisha ndo haya haya, tuache majivuno

Sawa it's called a "Move on" kama hisia zimeshakata juu yake msahau kabisa au abaki kama rafiki ili uishi kwa amani. Keep talking negative about him implies that you still have some grudges over him.
Dunia ni kubwa na ina mambo mengi sana especially kwenye ulimwengu wa kimapenzi. Itategemea wewe upo tayari kuishi katika mambo gani miongoni mwa hayo mambo mengi. Karibu 🤝
Kifupi, ntuchake bado ananzimikia mwamba..!!
 
Leo nimepokea kwa masikitiko habari za kufulia kwa mkaka niliyewahi kuwa nae kwenye uhusiano kwa mda wa miaka 3. Nasikia amefulia ameuza kila alichokua nacho amebaki na komwe lake tu. Huyu kaka alininyanyasa sana kipindi ana vijipesa mi nikiwa kajamba nani. Alininyanyasa kisaikolojia kuna baadhi ya vitu nikikumbuka hadi leo nakua mnyonge.

Kuna siku nilimnunulia zawadi akaniuliza bei ya zawadi nilivyomwambia bei yake akanijibu i dont use cheap things keep it for yourself 🥲

Siku anaachana na mimi akaniambia relationship yetu illkuwa just for fun nothing was serious and it wasnt even a relationship it was a situationship 🥲 kumbuka hapo wakati anaongea haya tulikuwa pamoja kwa miaka 3. Halafu akaongeza nimekua nakuonesha signs zote za kutotaka kuendelea kuwa nawe lakini bado ukaendelea kuniganda. Naomba kuanzia leo usinitafute kwa namna yoyote ile its over!!

Katika maisha yangu yote hakuna kipindi moyo uliniuma kama siku ambayo alinitamkia maneno haya. Mungu si asumani sasa ivi amepigika maisha yanamnyoosha tu. Licha ya mambo yote aliyonifanyia nimesikitika sana. Mwanga wa Mungu umuangazie arudi katika hali yake ya zamani. Tuweni humble jamani maisha ndo haya haya tuache kudharau watu katika maisha haijalishi ni maisha ya kimapenzi au kikazi , hakuna mtu anayeijua kesho yake.

NB: Roby nitafute nikupe mchongo mi sina roho mbaya kama yako!
Ila mimi huwa sina ROHO MBAYA kwenye mahusiano na ninamshukuru MWENYEZIMUNGU kwa jambo hilo. In'shallah 🙏🏾😂
 
Leo nimepokea kwa masikitiko habari za kufulia kwa mkaka niliyewahi kuwa nae kwenye uhusiano kwa mda wa miaka 3. Nasikia amefulia ameuza kila alichokua nacho amebaki na komwe lake tu. Huyu kaka alininyanyasa sana kipindi ana vijipesa mi nikiwa kajamba nani. Alininyanyasa kisaikolojia kuna baadhi ya vitu nikikumbuka hadi leo nakua mnyonge.

Kuna siku nilimnunulia zawadi akaniuliza bei ya zawadi nilivyomwambia bei yake akanijibu i dont use cheap things keep it for yourself 🥲

Siku anaachana na mimi akaniambia relationship yetu illkuwa just for fun nothing was serious and it wasnt even a relationship it was a situationship 🥲 kumbuka hapo wakati anaongea haya tulikuwa pamoja kwa miaka 3. Halafu akaongeza nimekua nakuonesha signs zote za kutotaka kuendelea kuwa nawe lakini bado ukaendelea kuniganda. Naomba kuanzia leo usinitafute kwa namna yoyote ile its over!!

Katika maisha yangu yote hakuna kipindi moyo uliniuma kama siku ambayo alinitamkia maneno haya. Mungu si asumani sasa ivi amepigika maisha yanamnyoosha tu. Licha ya mambo yote aliyonifanyia nimesikitika sana. Mwanga wa Mungu umuangazie arudi katika hali yake ya zamani. Tuweni humble jamani maisha ndo haya haya tuache kudharau watu katika maisha haijalishi ni maisha ya kimapenzi au kikazi , hakuna mtu anayeijua kesho yake.

NB: Roby nitafute nikupe mchongo mi sina roho mbaya kama yako!
Sasa unadhani huu ujumbe ulioupost hapa huyo Ex wako utamfikia? Kama kweli una nia ya kumsaidia kwanini usimtafute ili umsaidie, siku zote baya halilipwi kwa baya. kama una nia ya kumvusha hebu nenda kamasaidie achana na hizi porojo kwani yeye sio mtu wa kwanza kuanguka katika maisha.
 
Sawa ujumbe umefika lakini isiwe sababu ya kuombea na mabaya. Kuna mwamba ni tajiri mkubwa lakini ana roho mbaya hatari na ni tajiri toka enzi za Mwinyi mpaka leo.
Roho mbaya yake miaka yote hii ina sababu maalumu kiroho. Kupitia hali yake amini nakwambia, kuna wengi wanabarikiwa na wanamuombea baraka kwa Mwenyezimungu. Tuishi kwa kuangalia lipi unafanya jema kwako na jamii inayokuzunguka
 
Roho mbaya yake miaka yote hii ina sababu maalumu kiroho. Kupitia hali yake amini nakwambia, kuna wengi wanabarikiwa na wanamuombea baraka kwa Mwenyezimungu. Tuishi kwa kuangalia lipi unafanya jema kwako na jamii inayokuzunguka
Huyo mwamba ni tajiri mkubwa anaishi Mikocheni ana Maghorofa Masaki,Mbezi beach,Kariakoo na Kawe lakini hivi ninavyoongea mke wake iPhone yake imeharibika hapatikani WhatsApp,anatumia kitochi. Mke ni mama wa nyumbani na Mwamba amevunga hana habari ,Aisee mwamba ni katili hatari.
 
Huyo mwamba ni tajiri mkubwa anaishi Mikocheni ana Maghorofa Masaki,Mbezi beach,Kariakoo na Kawe lakini hivi ninavyoongea mke wake iPhone yake imeharibika hapatikani WhatsApp,anatumia kitochi. Mke ni mama wa nyumbani na Mwamba amevunga hana habari ,Aisee mwamba ni katili hatari.
Yaonekana unamfahamu vizuri sana. Usikute pesa zake ni za masharti
 
Yaonekana unamfahamu vizuri sana. Usikute pesa zake ni za masharti
Mzee kazaa na Mnigeria na wanawake mbali mbali bongona nje ya bongo. Anakula Bata hatari. Mwamba anakula Bata sana hana pesa za masharti bwana. Uzuri mwamba anasomesha watoto wake wote habagui. Kwa password nilizotowa kuna watuwatakuwa wanamjua. Kualika watu dinner nyumbani kwake kawaida.Kuna dinner nilienda Christian Bella aliuwa anaimba live hapo kwake.
 
Mzee kazaa na Mnigeria na wanawake mbali mbali bongona nje ya bongo. Anakula Bata hatari. Mwamba anakula Bata sana hana pesa za masharti bwana. Uzuri mwamba anasomesha watoto wake wote habagui. Kwa password nilizotowa kuna watuwatakuwa wanamjua. Kualika watu dinner nyumbani kwake kawaida.Kuna dinner nilienda Christian Bella aliuwa anaimba live hapo kwake.
Nishamjua kitambo tu. Wacha ale maisha, alizipata na mirija inaendelea kuingiza . Heri yake na kizazi chake
 
Pole baby ila...

20240211_113634.jpg
 
Back
Top Bottom