- Thread starter
- #21
Hii ni Kamali au nini??? Kama ni kamali siwezi kukusaidiaSawa ni eb nipe odds tatu kwanza za uhakika ili nithibitishe kama ni kweli haya usemayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni Kamali au nini??? Kama ni kamali siwezi kukusaidiaSawa ni eb nipe odds tatu kwanza za uhakika ili nithibitishe kama ni kweli haya usemayo
Ok sawa tuache hayo turudi kwenye mada nina maswali hayaHii ni Kamali au nini??? Kama ni kamali siwezi kukusaidia
Itaanza kupiga hela za uganga,wakiamini una nguvu Fulani au kanuni ya kuwawrka HURU!Hii ni Kamali au nini??? Kama ni kamali siwezi kukusaidia
Kimepangwa kama utafuata utaratibu! Shida ni pale unapokwenda inje ya utaratibu!Ok sawa tuache hayo turudi kwenye mada nina maswali haya
1.kwa mantiki hiyo sasa kumbe kila kitu katika maisha ya binadamu kimepangwa, kama kimepangwa kumbe sasa kuna walioandaliwa kua matajiri na wengine kuwa masikini kumbe tusijitaabishe kwa lolote au hii imekaaje
Nguvu ya kila kituMuumba ni ile nguvu ya Ulimwengu! Ambayo yoyote akiijua anaitumia
Sawah nifanye nini ili nielewe formula hiyo vilivyo Mkuu just mentor meKimepangwa kama utafuata utaratibu! Shida ni pale unapokwenda inje ya utaratibu!
Yaani kwa lugha rahisi ni kwa fomula ni kama ilivyo fomula zingine
MAGAZIJUTO ni fomula hivyo ukianza kujumlisha kabla ya kubandua mabano, lazima ukosee!
Hata fomula ya Ulimwengu kila mtu kapewa yake!
Unatakiwa kuijua ili utembee kwenye chati yako!
Usipoijua unakuwa unatembea kwenye chati za watu mambo yanakuwa magumu sana
Inabidi upewe elimu ikufungue mkuuSawah nifanye nini ili nielewe formula hiyo vilivyo Mkuu just mentor me
Ni zaidi ya nyota! Ni nguvu ya Ulimwengu
Yes inawezekana kabisa. Na siku ukiijua siri utamiliki na kutawalaDuh! Kwa hiyo kumbe mtu eneza ishi ukazeeka Kisha ukafa bila kuuelewa ulimwengu huu pamoja na fomyula zake eti🤔?
Hiyo nguvu ndo inatumika kwingine kwa mgongo wa imaniYes inawezekana kabisa. Na siku ukiijua siri utamiliki na kutawala
Watu watakupinga Ila kiukweli nguvu ya ulimwengu ipo Ila siyo rahisi kuitambua,ni Kama vile huwezi kuamini kuwa Kuna upepo Ni mpaka uone matawi ya miti yanachezacheza.
Nguvu ya maisha ya kila mtu iko kwenye chaneli ( njia) ambayo kila mtu anayake!Kama maisha ni formula, ningetaka kujua formula ya maisha ya Mwafrika kaitengeneza nani? Je kucheza mpira kuna formula? Wakati mwingine hata kama kuna formula unatakiwa upangue hiyo formula ili kufikia lengo.
Naipaje hiyo elim mkuuInabidi upewe elimu ikufungue mkuu
HahahahTufanye nini tupite kwenye njia? Tupe madini hali ni tete hakuna kinachoenda