Maisha ni fomula ya ulimwengu ikiwemo kupata au kukosa

Mkuu nimekufata PM hujanijibu
 
Mkuu nimekufata PM
Mkuu nimekufata PM majibu please
 
UPEPO, UDONGO, MAJI NA MOTO. Niongeze sauti?
 
The way we look, hata nionekano yetu tu inatokana na Ulimwengu ulivyo utengeneza na pattern ulivyo ji align nazo.

Nakumbuka maandiko yalisema MUNGU aliumba kisha akapumzika, sijaona sehemu aki resume kuendelea kuumba. Kilicho ni game ya sisi simulation, maana tume pewa tools zote.
Eg.
1.Kuna maahala anasema wazi nimewapa funguo, lolote mtafunga na kufungua itakuwa hivyo ( nime para phrase). Sasa hakulimit nani, as long as una GENES za binadamu inakuhusu, sasa kuna some people wamefunga mafanikio yao ni hadi wapate elimu fulan au wasaidiwe na fulani au wafunge sana na kuomba sana. Itakuwa hivo hivo.

Kuna wanao jua hizi codes, wamefungua codes, kuwa na matter what. Mim ntapata nnacho taka, how Sijui. Wanacho jua kuwa siitaji kuwa the best , fastest, smartest ili kukipata tembelea MHUBIRI 9:11 utaelewa. Hao ndo mnasemaga jamaa katoka kimazabe mazabe.

2. Inatokea pale ,, MUNGU Alipo sema ninyi ndinyi miungu wadogo, pia nenda akasema, mbingu ni za BWANA but nchi amewapa wana wanadamu, SO WEW NI WEWE PIGA CODES.

3. Mwanamke aliyekuw anaumw kutokwa na damu ,akaenda shika vazi la YESU akapona. Hakwenda kuomba uponyaji, alisimamia kanuni, YESU akahisi nguvu zime mtoka.

I short kuna kanuni nyingi sanaa, ambazo ukifumbuka na kuzifanya utaona mwangaza.

Uandishi wangu ni mbaya, Lkn pata kitu hapo.
 
UPEPO, UDONGO, MAJI NA MOTO. Niongeze sauti?
Hizo ni miongon mwa elements za dunia, ambazo huweza tumika kufiksha ujumbe, command au Code. Kulingana na nature ya mtu kila mtu yuko connected kirahisi au kwa ufanisi na element fulani.

Mfano ukiafatilia watu wa Libra, wako connected na Air, tabia za hewa zina julikana . Ni watu wa diplomasia sanaa, wanapenda haki. Utakuta huyu akienda kuroga au kurogwa utakuta anaambiwa kufunga dawa kwenye upepo ininginie, mwenye fire element, utakuta anaambiwa kachome hizi dawa, water ataenda kuogea.

Movie directors wanajua sanaa hizi codes , fatilia movie ya The LAST AIRBENDER utapata kuelewa hayo. Au series ya movie za X-Men utakutana na madude humo.
 
Kiufupi maisha ni kama Quadratic Equestion lazima kuwe na Neno "OR" katikati🤚
 
Umeongea jambo kubwa sana mkuu
 
Upuuzi mtupu unaumiza ubongo kwa fikra zisizo kuwa na research ya hazina kichwa Wala miguu, formula zako ni zero kila ulichoandika ni abstract not concrete.
Everything is abstract, sema hivo concrete vile tu our mind imeweza ngamua , siku zinavyoenda vingi vinagundulika ni halisi.
 
Everything is abstract, sema hivo concrete vile tu our mind imeweza ngamua , siku zinavyoenda vingi vinagundulika ni halisi.
Wazee zamani waliomba mvua kwa fomula ya Ulimwengu! Na ilijibiwa kwa wakati!
Hata baadhi ya wanyama wanaoishi na binadam waliletwa kwa ajili ya kumsaidia mwanadam kung'amua mambo mapema! Ni kama alarm!

Wanyama kuzaliana ilikuwa taarifa ya jambo na wanyama kufa ilikuwa taarifa ili anaeitafisiri ajiandae!

Hata wakati wa farao waliamuliwa kuchinja na kupaka damu mlango ile ilikuwa fomula!
 
Naomba kujifunza huu ujuzi
 

Aye aye Captain. Thanx, kuna mambo nayafahamu kidogo lakini kutokana na kifaa nnachotumia inaniwia vigumu kuandika kwa kirefu zaidi. ntajitahidi kuandaa kitu ktk PC na ntachangia kile nielewacho kuhusu, namba, na hizo element nne ambazo umezizungumzia vizuri Mkuu. ntakuja kuongezea tu watu wanatakiwa kufanya nini ili wawe kama Wahindi. unajua wahindi wanatumia hizi formula? mtu anauza penseli na zipu na vishikizo lakini anakula good times, ni codes tu. ambazo kila mtu akizingatia kuna wepesi ndani yake. najua lakini cjui ni nini kinanifanya kuwa mpuuziaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…