Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Niliona juzi kati kunaa mdau anaulizia gari ambalo akiendesha watu wajue amejipata.
Sasa leo nikawa nafanya comparison ya kutaka kuagiza magari mawili, yote ya mwaka mmoja 2006.
BMW 3 series, 2006 generation ya E90, model 320i, ikiwa mpya 2006 iliuzwa $40,000 na leo naweza ipata kwa $930 bila usafiri na $2,800 hadi inafika Dar.
Ukiileta ukakutana na TRA wao watakuomba kama Mil 6.5 tu.
Kwahiyo roughly jumla Mil 14 top top umemiliki Germany machine.
Toyota IST, 2006 ya engine ya 1.5L ilivyokua mpya huo mwaka 2006 iliuzwa kwa $16,000 ila leo used naipata kwa $1,600 bila usafiri na $3,200 hadi inafika Dar.
TRA wao watataka Mil 8 kwahiyo ukijumlisha na Mil 8 ya kununua na malipo mengine top top ni Mil 17.
Hii mifano tu, ila inatufundisha nini?Mi naona Luxury cars zina depreciate kwa kasi ya ajabu sana. Umeona BMW imetoka $40,000 hadi $900 wakati IST imetoka $20,000 hadi $1,600!
KWa wanaonunua gari uku wakiwaza kuna kuliuza mbeleni, ili nalo la kulitazama.
Sasa leo nikawa nafanya comparison ya kutaka kuagiza magari mawili, yote ya mwaka mmoja 2006.
BMW 3 series, 2006 generation ya E90, model 320i, ikiwa mpya 2006 iliuzwa $40,000 na leo naweza ipata kwa $930 bila usafiri na $2,800 hadi inafika Dar.
Ukiileta ukakutana na TRA wao watakuomba kama Mil 6.5 tu.
Kwahiyo roughly jumla Mil 14 top top umemiliki Germany machine.
Toyota IST, 2006 ya engine ya 1.5L ilivyokua mpya huo mwaka 2006 iliuzwa kwa $16,000 ila leo used naipata kwa $1,600 bila usafiri na $3,200 hadi inafika Dar.
TRA wao watataka Mil 8 kwahiyo ukijumlisha na Mil 8 ya kununua na malipo mengine top top ni Mil 17.
Hii mifano tu, ila inatufundisha nini?Mi naona Luxury cars zina depreciate kwa kasi ya ajabu sana. Umeona BMW imetoka $40,000 hadi $900 wakati IST imetoka $20,000 hadi $1,600!
KWa wanaonunua gari uku wakiwaza kuna kuliuza mbeleni, ili nalo la kulitazama.