KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
ilipigwa mwaka 1958 na picha ya pili ilipigwa mwaka 1996 na watu wale na kila mmoja akapanga kukaa nafasi ile ile aliyokaa mwaka 1958. Nafasi zilizo wazi ni za rafiki zao ambao wametangulia mbele ya haki Maisha ni mafupi tupendane na kutendeana wema kabla mmoja wetu hajatutoka. #Life is a very short Journey. Stay kind and be safe.ReincarnationMaisha ni haya haya....ujapokufa utaishi.
Ujumbe umfikie Saa 100View attachment 3102734
Picha ya kwanzailipigwa mwaka 1958 na picha ya pili ilipigwa mwaka 1996 na watu wale na kila mmoja akapanga kukaa nafasi ile ile aliyokaa mwaka 1958. Nafasi zilizo wazi ni za rafiki zao ambao wametangulia mbele ya haki Maisha ni mafupi tupendane na kutendeana wema kabla mmoja wetu hajatutoka.#Life is a very short Journey. Stay kind and be safe.
View attachment 3102734
Picha ya kwanzailipigwa mwaka 1958 na picha ya pili ilipigwa mwaka 1996 na watu wale na kila mmoja akapanga kukaa nafasi ile ile aliyokaa mwaka 1958. Nafasi zilizo wazi ni za rafiki zao ambao wametangulia mbele ya haki Maisha ni mafupi tupendane na kutendeana wema kabla mmoja wetu hajatutoka.#Life is a very short Journey. Stay kind and be safe.
Kale hakafikishi 70Ujumbe umfikie Saa 100
Hivi huwa kuna watu mnaamini ktk hiyo kitu?Reincarnation
Hao madogo wa chini walikuwa nobody na picha ya pili wamewakata tu, na Kuna wengine madirishani wamekatwa tu na dirisha limefungwa, hapa targeted ni somebodyImekuaje wazee baadhi wako hai mpaka leo ila hao walokua watoto ndo hawapo wote? Una uhakika wamekufa au ni kusambaratika tu katika harakati za maisha?