Maisha ni mafupi sana, ona huu uthibitisho wa picha

Maisha ni mafupi sana, ona huu uthibitisho wa picha

Na miaka 30 tu ijayo, wote ambao sasahivi unawaona watu wazima kuanzia viongozi serikalini, watu wazima wote unaowasalimia shkamoo, wajomba, mashangazi, baba wakubwa, wasanii maarufu, nk wote watakua hawapo! Wewe ndio utakua unaitwa babu.
Ni sahihi,. Na hapo kama mwenyezimungu atatupa umri,. Vinginevyo tunaondoka na ujana hivihivi. Wangapi wameondoka wakiwa watoto au vijana? Wanaofikia uzee ni wachache sana
 
View attachment 3102734

Picha ya kwanza ilipigwa mwaka 1958 na picha ya pili ilipigwa mwaka 1996 na watu wale na kila mmoja akapanga kukaa nafasi ile ile aliyokaa mwaka 1958. Nafasi zilizo wazi ni za rafiki zao ambao wametangulia mbele ya haki Maisha ni mafupi tupendane na kutendeana wema kabla mmoja wetu hajatutoka. #Life is a very short Journey. Stay kind and be safe.
We acha tuu mkuu,juzi niliugua nikajua Sasa huku ndio kukata moto!Hela niliificha Sehemu mwenyewe niliionyesha ili waniwahishe hospital,kwa kweli Namshuru sana Mungu.
 
Hao madogo wote walikata moto mzee??
Hata hivyo hao waliosimama umri ulikua ushaenda hadi apo 1958 kwa haraka haraka wote walikua above 20 yrs.
 
View attachment 3102734

Picha ya kwanza ilipigwa mwaka 1958 na picha ya pili ilipigwa mwaka 1996 na watu wale na kila mmoja akapanga kukaa nafasi ile ile aliyokaa mwaka 1958. Nafasi zilizo wazi ni za rafiki zao ambao wametangulia mbele ya haki Maisha ni mafupi tupendane na kutendeana wema kabla mmoja wetu hajatutoka. #Life is a very short Journey. Stay kind and be safe.
Ama Hakika
 
View attachment 3102734

Picha ya kwanza ilipigwa mwaka 1958 na picha ya pili ilipigwa mwaka 1996 na watu wale na kila mmoja akapanga kukaa nafasi ile ile aliyokaa mwaka 1958. Nafasi zilizo wazi ni za rafiki zao ambao wametangulia mbele ya haki Maisha ni mafupi tupendane na kutendeana wema kabla mmoja wetu hajatutoka. #Life is a very short Journey. Stay kind and be safe.

Najua nia yako ni njema ya kuelimisha ILA
mbona kama huyo mtu aliyekaa hapo chini mbele, yule wa mwaka 1958 ni mzee kuliko huyu wa 1996
 
Me nitakuwa na 74 aisee naweza kuwepo inshaallah...ila nitakuwa yatima.
Mungu akusaidie

Sisi wengine tutakuwa makaburi tupu, na iwapo tutazikwa sehemu zenye migogoro basi hata makaburi yetu yatakuwa yamehamishwa au kupotea kabisa 😭😭
 
Back
Top Bottom